TBT: Foleni ya kwenda kwa Babu wa Loliondo

Nakumbuka baba yangu aligeuza fuso la mizigo akawa anabeba abiria kutoka A town mbaka loliondo kwa Babu

Mungu mkubwa Mzee alifanikiwa kwa ule upepo
 
Hii ilidhihirisha kuwa watanzania ni wajinga.ukiwaambia hata mkia wa fisi unatibu magonjwa yote ukiula wataamini.
Na waliotoka mataifa mengine unasemaje?
maana walifika hapo pia kupata kimoja.
 
Hivi Mwamposa ndo amechukua nafasi ya mzee wa Samunge?
 
Mpaka leo watu wa namna hiyo wapo wengi tu, kama huamini nenda kwa wauza dawa za asili/mitishamba uone,,,, hasa wale maarufu 🫣🫣🙌🏽
 
Hilo sio tatizo kila mtu miti anaijua

Changamoto ni vichanganyio mfano chai ya muarobaini inatibu igonjwa fulani ili ikamilike inabidi utie ndimu kama kichanganyio ili formula ikamilike

Hicho ndicho nilichomaanisha mkuu.

Uganga una siri zake
 
Ukijichanganya tu ukaenda loliondo huku nyuma watu wanapigia mstari kuwa una ngoma
 
Mkuu usilaumu watu

Chukulia mfano ndio wewe unaumwa upo mihimbili dawa zote zimedunda

Alafu unaangalia ITV chanel credible watu wanakunywa dawa wanapona na wewe ni bilionea kifo unakiona hiki hapa

Utashindwa kukodi hrlkopta uende loliondo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…