Myebusi Mweusi
JF-Expert Member
- Jan 23, 2022
- 671
- 1,543
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wami ni kibanda muheza huo mto sio mkubwa ila basi ilizama na kukotwa mpaka machakani na maji. Mpaka Leo Pana mnara wa kumbukumbu ingawaje Ile sehemu iliondikwa majina watu wamechukua lile bangoPia No Challenge lilitumbukia mto Wami. Baada ya hapo wakabadilisha jina na kujiita Tashrif
Hii alifariki yule Dada Msanii wa Taarabu Shenaiza.Sabco sina hamu nayo na siwezi sahau ile ajali ya 2007 pale Chimala nilikuwepo na nikampoteza rafiki yangu
Aloo iyo chuma enzi izo tunaita Safari Buti mwenye Fuso akijipendekeza unampelekea nzimanzima.
Na dereva wake Devi mgogoHiyo Ngorika ilikuwa inamwaga moto balaa
T110ACM
"M A C E D O N I A"
Kwa hiyo huyu jamaa hayo majungu anaingia nayo! Zamani raha sana.
Jamaa wanaingiaga na ng'ombe zao sehemu ya abiria, hao vichwa ni vya kubebea mitungi tuKwa hiyo huyu jamaa hayo majungu anaingia nayo! Zamani raha sana.