Jamani watu wameachwa nyuma bado,,,WhatsApp call au messenger ni MB kadhaa tuu tofauti na salio la kupiga kawaida.Mkuu hii mitambo ya wachina. Kupiga simu China sh ngapi kwa simu ya kawaida na Kutumia WhatsApp Call na Message Ni sh ngapi? Upo nyuma kimaendeleo wewe.
Kumbe nikweli...kuliko kuzaliwa raia tz bora uwe kondoo australia utungeneze sufi watu wapate joto mabachelor apa tuko sawaHakika Kitendo chenu Cha kuzima WhatsApp kimeniuzi na kuniumiza Sana.
Nimepata hitilafu kwa mitambo ya kiwanda. Nikiwa napokea maelekezo ya Nini Cha kufanya kupitia Whatsapp ghafla mmeifungia.
Mmenipa hasara kubwa Sana.
Ninyi mngeacha WhatsApp. Mtu akivunja sheria mumuadhibu.
Tupe maelezo kidogo mkuu.Tumia VPN mkuu
Kwangu imekataaTumia VPN mkuu
Pole hii mpaka wiki 2Hapa Kama robo saa nimeikosa JF tena na Internet. Sasa hata kwa email nakwama kufanya Kazi.
Simu inasema check your internet connection and try again hivi ninavyoandika sijui Kama hii meseji itakuja.
Ni Airtel natumia. Wafungue WhatsApp haraka.
Pole, kuna kazi bila internet haziendi.na hatujui hii inaisha lini.Hakika Kitendo chenu Cha kuzima WhatsApp kimeniuzi na kuniumiza Sana.
Nimepata hitilafu kwa mitambo ya kiwanda. Nikiwa napokea maelekezo ya Nini Cha kufanya kupitia Whatsapp ghafla mmeifungia.
Mmenipa hasara kubwa Sana.
Ninyi mngeacha WhatsApp. Mtu akivunja sheria mumuadhibu.
Mpaka Playstore wamepiga pini kwa sasa Musio na VPN imekula kwenuKwangu imekataa
Mkuu,damka asubuhi sana kisha nenda kituo ulichojiandikisha kupiga kura. Ukipewa karatasi ya kura ya Urais nenda mwisho kabisa. Weka alama ya vema isiyoumiza ndani ya box. Tatizo lako litakuwa limeishia hapo.Hakika Kitendo chenu Cha kuzima WhatsApp kimeniuzi na kuniumiza Sana.
Nimepata hitilafu kwa mitambo ya kiwanda. Nikiwa napokea maelekezo ya Nini Cha kufanya kupitia Whatsapp ghafla mmeifungia.
Mmenipa hasara kubwa Sana.
Ninyi mngeacha WhatsApp. Mtu akivunja sheria mumuadhibu.
Nitafute pm nikupe mbinuDash hii kitu inaumiza wengi basi tu...
Nna order ilibidi niwasiliane na mchina kuconfirm kesho,
na Pesa za watu mkononi,
ikiendelea wiki nitakuta mChina ananisubiri?!
Watu watanielewa?!
mbona siasa za wachache zinatuumiza hivi!!
Daah kati ya Siku nimegundua nipo kwenye Rubbish country ni leo
kama ni VPN simu yangu ilireject toka Jana.Nitafute pm nikupe mbinu
Njia ni kama ifuatavyo
Kitu cha kwanza jaribu kuingia google kupitia opera au chrome au uc mini au nyingijnezo yaani jaribu kuingia google kupitia hizo njia google ikifunguka tu yaani hakikisha google search inafunguka google ikifunguka kati ya hizo fuata hatua ya 2
Hatua hiyo ni kudownload vpn kwa google unadownload kupitia google kwa sababu playstore au appstore pashafeli download huko kwenye google kisha ukishadownload install
Pia usisahau kuallow installation from unknown sources
Kila la kheri!
Unatatua tatizo ktk jamii au unataka kutatua tatizo la mtu, point yake ya msingi kwanini mitandao ya kijamii izimwe full stopNaona post yako ipo kama ya kiudaku hivi;
option1: wewe unamiliki Kiwanda unashindwa kuweka simu shs 10,000 kwenye simu upige hata kama ni China au marekani tena huko hiyo hela unapada madakika kibao.
Option 2: Si ungeandika tatizo la kiwanda chako hapa usaidiwe; wapo maingeneer humu wamepumzika wanasubiri kupiga kura kesho. Describe ni mashine gani, model #, inafanya kazi gani, na nini haikifanyi kwa sasa au unahitaji msaada gani