Mkwala
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 1,164
- 1,243
Jamani watu wameachwa nyuma bado,,,WhatsApp call au messenger ni MB kadhaa tuu tofauti na salio la kupiga kawaida.Mkuu hii mitambo ya wachina. Kupiga simu China sh ngapi kwa simu ya kawaida na Kutumia WhatsApp Call na Message Ni sh ngapi? Upo nyuma kimaendeleo wewe.
Mimi siku hizi nawasiliana na Wadau wengi kutoka Ulaya,Asia,U.S.A kwa WhatsApp call au messenger call