TCRA: Ukikutwa unatumia VPN Tanzania, faini milioni 5, kifungo mwaka mmoja

TCRA: Ukikutwa unatumia VPN Tanzania, faini milioni 5, kifungo mwaka mmoja

Mbona hautazami kopo la BabyCare ? hapa unagundua kuwa kumwiingilia mwanamke ni hitaji la mwanaume.

#TafutaMkeUoe#NyeyohNiUbatili
skiza, nafuata hatua hizi hapa:

1. nafungua video naanza kuiangalia
2. nafungua babycare, nachota mafuta ya kutosha, napata kwa d1ckH3ad
3. naanza kwea mnazi uku video ikiendelea, mpaka napizi
4. naenda oga naendelea na kazi kama ni mchana, nalala kama ni usiku

wakati huo wewe umelala mzungu wa nne na mkeo
 
Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) imewataka wananchi na makampuni kiujumla ambazo kwa asili ya kazi zao hawawezi kuepuka matumizi ya VPN kutoa taarifa juu ya VPN wanazotumia na taarifa muhimu kabla ya Oktoba 30 mwaka huu...
Wasitishe watu!... Wadhibiti kama wanaweza! Kitambulisho cha Taifa tu kimewashinda!.... Sembuse VPN!?

Wanaota!? Wanafahamu umuhimu wa VPN!?..... Kuna taarifa very classified! ....Ili uzipate ..... VPN haiepukiki....
 
Mnatukana Serikali ya Mama mnajificha kwenye IP Adress virtually.
Kama ni hivyo sawa.

Mimi sijawahi kufungua VPN hata siku moja na siwezi kutukana mtu

Usiseme mnatukana kama una uhakika, bali Sema wanatukana
 
Twitter mbona mzigo upo hazarani yani oya oya bila kisimbusi
Unajua hii nchi ina vituko sana mkuu, vitu vingine mpaka unajiuliza, hivi hizo PHD zinazokaa kwenye ofisi za umma, zinawaza sawa sawa kweli?

Mtandao wa X (Zamani Twitter) porn zipo za kila aina, mpaka mashoga na zipo wazi tu, tiktok ndio usiseme, snapchat ndio hatari. Hii ni mifano michache tu, shuka telegram pale ndio aibu, na mingine mingi.

Bado links za wordpress zinafungua porn za kila aina, mnakuja kuongeza mnyororo wa ugumu wa watu kupata huduma ya VPN kwa mitikasi yao mingine kisa porn na Mange Kimambi, na solution mnasema anaetaka VPN akajiandikishe, dunia inasogea Tanzania tunarudi nyuma.

Itatuchukua mda sana aisee kufikia kule tunapawaza kila siku.
 
VPN zinatumika kweye makampuni yote makubwa kwa ajili ya usalama wa kuvuja kwa taarifa zao za kibiashara.

TCRA wajiangalie upya 😂😂😂😂😂 wanasikitisha na kuchekesha kwa wakati mmoja.
 
Kuna makampuni mengi ya kimataifa wana run virtual private networks kwa ajili ya kuendesha mambo yao, eti tisiarae wanapiga marufuku kama vile ni nyimbo ya Ney wa Mitego 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Wameshaanza kuogopa uchaguzi wa 2025, huu ni mkakati wa kuzima Internet wakati na uchaguzi na kusiwe na mbadala wa mawasiliano (VPN), hii nchi ina viongozi wajinga sana, badala ya ku-focus kuaddress changamoto zinazolikumba taifa wao wanafikilia next election. .... Crappy government
 
KIRABU HAUSI 🛠️🛠️🛠️🛠️🛠️ MALIA SIPASE🛠️🛠️🛠️🛠️🛠️🛠️
 
Back
Top Bottom