Team “Kataa ndoa” wapuuzwe, hawana maadili, ndoa iheshimiwe na watu wote

Team “Kataa ndoa” wapuuzwe, hawana maadili, ndoa iheshimiwe na watu wote

kuoa sio lazima ni hiari
Swali la msingi Kama huoi je
1)wewe ni padri? Au Buddha?
2)Je hauna matatizo yoyote ya nguvu za kiume?
Let's say umeamua tu SIOI je utaweza kuishi maisha yako yaliyobaki bila kufanya mapenzi au ndiyo HIT AND RUN? ikitokea mwanamke wako akashika ujauzito unatengeneza kizazi gani??
 
Siungi mkoni hoja...😜
😂😂😂😂Namsubiri MR LIVERPOOL! mtuambie tatizo ni nini wanaume wanakuwaje waoga... Ndio wale wanaacha nyumba walizojenga wanawakimbia wake zao
 
Swali la msingi Kama huoi je
1)wewe ni padri? Au Buddha?
2)Je hauna matatizo yoyote ya nguvu za kiume?
Let's say umeamua tu SIOI je utaweza kuishi maisha yako yaliyobaki bila kufanya mapenzi au ndiyo HIT AND RUN? ikitokea mwanamke wako akashika ujauzito unatengeneza kizazi gani??
mwanamke akishika ujauzito tunaendeleza kizazi cha kataa ndoa
 
Swali la msingi Kama huoi je
1)wewe ni padri? Au Buddha?
2)Je hauna matatizo yoyote ya nguvu za kiume?
Let's say umeamua tu SIOI je utaweza kuishi maisha yako yaliyobaki bila kufanya mapenzi au ndiyo HIT AND RUN? ikitokea mwanamke wako akashika ujauzito unatengeneza kizazi gani??
Kifupi tu hali ya uchumi mkuu ndo inasababisha yote haya.
 
Kumekuwepo na wimbi kubwa la "Vijana wa ovyo " wakiendesha kampeni yao maarufu Kama Kataa ndoa! Wengi wanaopinga ni kuonyesha kiasi gani jamii yetu inakosa maadili! Mwanaume anaogopa na hawezi kuiongoza familia ,anaishia kuandika KATAA NDOA? hebu tukumbushane!

Umewahi kuona mgombea urais asiye na mke? Kama umeshindwa kuiongoza familia yako utaongoza taifa lipi? Kila siku kuna nyuzi kibao wanawake wanatafuta kuolewa (Mpaka wanaombewa kwa Mwamposa) halafu mtu mmoja hapo sinza anatype KATAA NDOA!! STUPID

Jamii zetu mwanaume alipofikia umri wa kujitegemea alitafutiwa mke tayari kwa kuanzisha familia yake. Siyo ninyi wavaa vinjuga wa huko Sinza.Hivi mnasurvive Vipi au mnapiga punyeto wakuu??

Mwanaume uliyetimia kila idara kukataa ndoa unataka kuzaa watoto wenye maadili yapi? Mnawafokea single mama kumbe mliwarubuni?Ni sawa na kuacha kusafiri kisa magari yanapata ajali.


DINI ZINAELEZA, maagizo ya Mungu ni wanadamu wazaliane na kuongezeka, kufanikisha hilo taasisi ya ndoa iliwekwa mahsusi sasa wewe unayekataa una matatizo yapi?

OK UMEKATAA NDOA, je utaendelea kufanya ngono na kununua malaya kwenye madanguro? Hiyo ndiyo heshima?
ANGALIZO, kama unakataa ndoa kwa sababu ni padre au una matatizo ya nguvu za kiume Uzi huu haukuhusu.
DJ NILETEE MR LIVERPOOL!
Mada kama hizi huanzishwa na mafeminist wasioolewaaa ilia mpate waume labda nikuambie tu dada POLE SANA na bado hujasema
 
Back
Top Bottom