kipanga85
JF-Expert Member
- Apr 15, 2024
- 2,459
- 6,466
Mnaogopa majukumu ya familia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaogopa majukumu ya familia
Hakika ndoa iheshimiwe na watu wote.Kumekuwepo na wimbi kubwa la "Vijana wa ovyo " wakiendesha kampeni yao maarufu Kama Kataa ndoa! Wengi wanaopinga ni kuonyesha kiasi gani jamii yetu inakosa maadili! Mwanaume anaogopa na hawezi kuiongoza familia ,anaishia kuandika KATAA NDOA? hebu tukumbushane!
Umewahi kuona mgombea urais asiye na mke? Kama umeshindwa kuiongoza familia yako utaongoza taifa lipi? Kila siku kuna nyuzi kibao wanawake wanatafuta kuolewa (Mpaka wanaombewa kwa Mwamposa) halafu mtu mmoja hapo sinza anatype KATAA NDOA!! STUPID
Jamii zetu mwanaume alipofikia umri wa kujitegemea alitafutiwa mke tayari kwa kuanzisha familia yake. Siyo ninyi wavaa vinjuga wa huko Sinza.Hivi mnasurvive Vipi au mnapiga punyeto wakuu??
Mwanaume uliyetimia kila idara kukataa ndoa unataka kuzaa watoto wenye maadili yapi? Mnawafokea single mama kumbe mliwarubuni?Ni sawa na kuacha kusafiri kisa magari yanapata ajali.
DINI ZINAELEZA, maagizo ya Mungu ni wanadamu wazaliane na kuongezeka, kufanikisha hilo taasisi ya ndoa iliwekwa mahsusi sasa wewe unayekataa una matatizo yapi?
OK UMEKATAA NDOA, je utaendelea kufanya ngono na kununua malaya kwenye madanguro? Hiyo ndiyo heshima?
ANGALIZO, kama unakataa ndoa kwa sababu ni padre au una matatizo ya nguvu za kiume Uzi huu haukuhusu.
DJ NILETEE MR LIVERPOOL!
Hata msipooa..who cares?Kabisa kupanga ni kuchagua kutokuoa kbs hapana tutachelewa ila tutaoa.
Amina mkuu, naona watu makini bado wapo JFHakika ndoa iheshimiwe na watu wote.
Yule anaetaka kuingia kwenye ndoa akumbuke kuwa " Ndoa ni agano la milele baina ya mwanadamu na mwenzie pamoja na M/Mungu likishuhudiwa na ndugu, jamaa na marafiki na sio mkataba".
Hivyo wakati wa kuingia kwenye ndoa inakupaswa ujitafakari ( ukubaliane na yote) kabla ya kutia mguu.
Kwani wanawake mnataka kuongozwa siku hizi.Kumekuwepo na wimbi kubwa la "Vijana wa ovyo " wakiendesha kampeni yao maarufu Kama Kataa ndoa! Wengi wanaopinga ni kuonyesha kiasi gani jamii yetu inakosa maadili! Mwanaume anaogopa na hawezi kuiongoza familia ,anaishia kuandika KATAA NDOA? hebu tukumbushane!
Umewahi kuona mgombea urais asiye na mke? Kama umeshindwa kuiongoza familia yako utaongoza taifa lipi? Kila siku kuna nyuzi kibao wanawake wanatafuta kuolewa (Mpaka wanaombewa kwa Mwamposa) halafu mtu mmoja hapo sinza anatype KATAA NDOA!! STUPID
Jamii zetu mwanaume alipofikia umri wa kujitegemea alitafutiwa mke tayari kwa kuanzisha familia yake. Siyo ninyi wavaa vinjuga wa huko Sinza.Hivi mnasurvive Vipi au mnapiga punyeto wakuu??
Mwanaume uliyetimia kila idara kukataa ndoa unataka kuzaa watoto wenye maadili yapi? Mnawafokea single mama kumbe mliwarubuni?Ni sawa na kuacha kusafiri kisa magari yanapata ajali.
DINI ZINAELEZA, maagizo ya Mungu ni wanadamu wazaliane na kuongezeka, kufanikisha hilo taasisi ya ndoa iliwekwa mahsusi sasa wewe unayekataa una matatizo yapi?
OK UMEKATAA NDOA, je utaendelea kufanya ngono na kununua malaya kwenye madanguro? Hiyo ndiyo heshima?
ANGALIZO, kama unakataa ndoa kwa sababu ni padre au una matatizo ya nguvu za kiume Uzi huu haukuhusu.
DJ NILETEE MR LIVERPOOL!
Nyie oleweni tu hatuwazuiiNarudi tena
1. Kutomb(a)
2. Kuwa shoga
3. Kuwa hanithi
HAVINA UHUSIANO WOWOTEE NA NDOA
1. Kwenye ndoa MALAYA NI WA KUTOSHA
2. KWENYE NDOA MASHOGA NI YA KUTOSHA ya kike na kiume
3. Kwenye ndoa, wasiodindisha ni wa kutosha.
#YNWA
Mr Liverpool ,sasa hiyo one parent family unaiita ni familia?? Mama ya watoto wako yuko wapi au uliwazaa peke yako?Asante DJ kwa kunileta na ngoma ya ""Tunagonga sanaa wake zenu""
Ndugu mleta mada naomba nishike maiki halafu nakujibu kwa paragraph zako za ajaaabu ulizopost ....
1. Nani amekwambia anaogopa familia, Kwani nini maana ya Familia, Hebu rudia "Types of families" kwenye elimu yetu ya Form two.
Mimi binafsi nina familia, ila SINA MKE na wala SIHITAJI MKE.
2. Kuoa hawana uhusiano wowote na uongozi.
Kuna wateuliwa wa raisi kibaoo hawana ndoa.
Kuna matajiri wana miliki ""multiple businesses"" wanaziendesha biashara zao balaa ila hawana ndoa.
Nafikiri uliposema "Sinza" umemaanisha wakataa ndoa ni wanaume wa hovyo, sasa iko hivi, mimi binafsi nina maisha yangu safi tu na naheshimika tu vizurii serikalini ila ndio hivyo "In JF we are ghosts" siwezi reveal ID yangu.
3. Narudia tena, sisi ni wanaume wa heshima tu.
Na ndoa haina uhusiano wowote na kutomb(a)
4. Kwahiyo wewe huoni, mnavyogongewa, mnavyo dhurumiwa, mnavyofokewa na wanawake na menginee kibaoo. MNAFIKIRI HATUYAONI BRAZA MNAYOFANYIWA NA WAKE ZENU??
5. Ushasema Mungu aliagiza "Kuzaa na kuongezeka" ila sio kuoana.
6. Narudia tena kutomb(a) hakuna uhusiano wowote na ndoa.
Kama ni umalaya, waume za watu ni malaya, wake za watu ni malaya.
Kifupi malaya ni malaya tu.
CC.
Katibu dronedrake - Aione kwenye jalada
Nakala kwa:-
Wajumbe wote wa CMT yetu ya chama.
Wenu, Mwenyekiti.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Biashara nyingi kutofanikiwa inapaswa kuwa sababu ya msingi watu kutofanya Biashara moja kwa moja ? kutofanikiwa biashara inawezekana mtu hakuwa na mtaji wa kutosha , hakusoma vizuri mazingira au nature ya biashara anayotaka kuanzisha , Kutokuwa siriaz na kufuata misingi ya biashara nk .Asante DJ kwa kunileta na ngoma ya ""Tunagonga sanaa wake zenu""
Ndugu mleta mada naomba nishike maiki halafu nakujibu kwa paragraph zako za ajaaabu ulizopost ....
1. Nani amekwambia anaogopa familia, Kwani nini maana ya Familia, Hebu rudia "Types of families" kwenye elimu yetu ya Form two.
Mimi binafsi nina familia, ila SINA MKE na wala SIHITAJI MKE.
2. Kuoa hawana uhusiano wowote na uongozi.
Kuna wateuliwa wa raisi kibaoo hawana ndoa.
Kuna matajiri wana miliki ""multiple businesses"" wanaziendesha biashara zao balaa ila hawana ndoa.
Nafikiri uliposema "Sinza" umemaanisha wakataa ndoa ni wanaume wa hovyo, sasa iko hivi, mimi binafsi nina maisha yangu safi tu na naheshimika tu vizurii serikalini ila ndio hivyo "In JF we are ghosts" siwezi reveal ID yangu.
3. Narudia tena, sisi ni wanaume wa heshima tu.
Na ndoa haina uhusiano wowote na kutomb(a)
4. Kwahiyo wewe huoni, mnavyogongewa, mnavyo dhurumiwa, mnavyofokewa na wanawake na menginee kibaoo. MNAFIKIRI HATUYAONI BRAZA MNAYOFANYIWA NA WAKE ZENU??
5. Ushasema Mungu aliagiza "Kuzaa na kuongezeka" ila sio kuoana.
6. Narudia tena kutomb(a) hakuna uhusiano wowote na ndoa.
Kama ni umalaya, waume za watu ni malaya, wake za watu ni malaya.
Kifupi malaya ni malaya tu.
CC.
Katibu dronedrake - Aione kwenye jalada
Nakala kwa:-
Wajumbe wote wa CMT yetu ya chama.
Wenu, Mwenyekiti.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Fine.Wataalamu wa matatizo ya akili wanasema hivi "Dalili moja wapobya matatizo ya akili ni kujiona wewe ni mzima huna tatizo""
#YNWA
#YANGA_BINGWA