Team “Kataa ndoa” wapuuzwe, hawana maadili, ndoa iheshimiwe na watu wote

Team “Kataa ndoa” wapuuzwe, hawana maadili, ndoa iheshimiwe na watu wote

Kumekuwepo na wimbi kubwa la "Vijana wa ovyo " wakiendesha kampeni yao maarufu Kama Kataa ndoa! Wengi wanaopinga ni kuonyesha kiasi gani jamii yetu inakosa maadili! Mwanaume anaogopa na hawezi kuiongoza familia ,anaishia kuandika KATAA NDOA? hebu tukumbushane!

Umewahi kuona mgombea urais asiye na mke? Kama umeshindwa kuiongoza familia yako utaongoza taifa lipi? Kila siku kuna nyuzi kibao wanawake wanatafuta kuolewa (Mpaka wanaombewa kwa Mwamposa) halafu mtu mmoja hapo sinza anatype KATAA NDOA!! STUPID

Jamii zetu mwanaume alipofikia umri wa kujitegemea alitafutiwa mke tayari kwa kuanzisha familia yake. Siyo ninyi wavaa vinjuga wa huko Sinza.Hivi mnasurvive Vipi au mnapiga punyeto wakuu??

Mwanaume uliyetimia kila idara kukataa ndoa unataka kuzaa watoto wenye maadili yapi? Mnawafokea single mama kumbe mliwarubuni?Ni sawa na kuacha kusafiri kisa magari yanapata ajali.


DINI ZINAELEZA, maagizo ya Mungu ni wanadamu wazaliane na kuongezeka, kufanikisha hilo taasisi ya ndoa iliwekwa mahsusi sasa wewe unayekataa una matatizo yapi?

OK UMEKATAA NDOA, je utaendelea kufanya ngono na kununua malaya kwenye madanguro? Hiyo ndiyo heshima?
ANGALIZO, kama unakataa ndoa kwa sababu ni padre au una matatizo ya nguvu za kiume Uzi huu haukuhusu.
DJ NILETEE MR LIVERPOOL!
Hakika ndoa iheshimiwe na watu wote.

Yule anaetaka kuingia kwenye ndoa akumbuke kuwa " Ndoa ni agano la milele baina ya mwanadamu na mwenzie pamoja na M/Mungu likishuhudiwa na ndugu, jamaa na marafiki na sio mkataba".

Hivyo wakati wa kuingia kwenye ndoa inakupaswa ujitafakari ( ukubaliane na yote) kabla ya kutia mguu.
 
Hakika ndoa iheshimiwe na watu wote.

Yule anaetaka kuingia kwenye ndoa akumbuke kuwa " Ndoa ni agano la milele baina ya mwanadamu na mwenzie pamoja na M/Mungu likishuhudiwa na ndugu, jamaa na marafiki na sio mkataba".

Hivyo wakati wa kuingia kwenye ndoa inakupaswa ujitafakari ( ukubaliane na yote) kabla ya kutia mguu.
Amina mkuu, naona watu makini bado wapo JF
 
Asante DJ kwa kunileta na ngoma ya ""Tunagonga sanaa wake zenu""

Ndugu mleta mada naomba nishike maiki halafu nakujibu kwa paragraph zako za ajaaabu ulizopost ....

1. Nani amekwambia anaogopa familia, Kwani nini maana ya Familia, Hebu rudia "Types of families" kwenye elimu yetu ya Form two.

Mimi binafsi nina familia, ila SINA MKE na wala SIHITAJI MKE.

2. Kuoa hawana uhusiano wowote na uongozi.
Kuna wateuliwa wa raisi kibaoo hawana ndoa.
Kuna matajiri wana miliki ""multiple businesses"" wanaziendesha biashara zao balaa ila hawana ndoa.
Nafikiri uliposema "Sinza" umemaanisha wakataa ndoa ni wanaume wa hovyo, sasa iko hivi, mimi binafsi nina maisha yangu safi tu na naheshimika tu vizurii serikalini ila ndio hivyo "In JF we are ghosts" siwezi reveal ID yangu.

3. Narudia tena, sisi ni wanaume wa heshima tu.
Na ndoa haina uhusiano wowote na kutomb(a)

4. Kwahiyo wewe huoni, mnavyogongewa, mnavyo dhurumiwa, mnavyofokewa na wanawake na menginee kibaoo. MNAFIKIRI HATUYAONI BRAZA MNAYOFANYIWA NA WAKE ZENU??

5. Ushasema Mungu aliagiza "Kuzaa na kuongezeka" ila sio kuoana.

6. Narudia tena kutomb(a) hakuna uhusiano wowote na ndoa.
Kama ni umalaya, waume za watu ni malaya, wake za watu ni malaya.
Kifupi malaya ni malaya tu.

CC.
Katibu dronedrake - Aione kwenye jalada

Nakala kwa:-
Wajumbe wote wa CMT yetu ya chama.

Wenu, Mwenyekiti.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Kumekuwepo na wimbi kubwa la "Vijana wa ovyo " wakiendesha kampeni yao maarufu Kama Kataa ndoa! Wengi wanaopinga ni kuonyesha kiasi gani jamii yetu inakosa maadili! Mwanaume anaogopa na hawezi kuiongoza familia ,anaishia kuandika KATAA NDOA? hebu tukumbushane!

Umewahi kuona mgombea urais asiye na mke? Kama umeshindwa kuiongoza familia yako utaongoza taifa lipi? Kila siku kuna nyuzi kibao wanawake wanatafuta kuolewa (Mpaka wanaombewa kwa Mwamposa) halafu mtu mmoja hapo sinza anatype KATAA NDOA!! STUPID

Jamii zetu mwanaume alipofikia umri wa kujitegemea alitafutiwa mke tayari kwa kuanzisha familia yake. Siyo ninyi wavaa vinjuga wa huko Sinza.Hivi mnasurvive Vipi au mnapiga punyeto wakuu??

Mwanaume uliyetimia kila idara kukataa ndoa unataka kuzaa watoto wenye maadili yapi? Mnawafokea single mama kumbe mliwarubuni?Ni sawa na kuacha kusafiri kisa magari yanapata ajali.


DINI ZINAELEZA, maagizo ya Mungu ni wanadamu wazaliane na kuongezeka, kufanikisha hilo taasisi ya ndoa iliwekwa mahsusi sasa wewe unayekataa una matatizo yapi?

OK UMEKATAA NDOA, je utaendelea kufanya ngono na kununua malaya kwenye madanguro? Hiyo ndiyo heshima?
ANGALIZO, kama unakataa ndoa kwa sababu ni padre au una matatizo ya nguvu za kiume Uzi huu haukuhusu.
DJ NILETEE MR LIVERPOOL!
Kwani wanawake mnataka kuongozwa siku hizi.
 
Karibu
Asante DJ kwa kunileta na ngoma ya ""Tunagonga sanaa wake zenu""

Ndugu mleta mada naomba nishike maiki halafu nakujibu kwa paragraph zako za ajaaabu ulizopost ....

1. Nani amekwambia anaogopa familia, Kwani nini maana ya Familia, Hebu rudia "Types of families" kwenye elimu yetu ya Form two.

Mimi binafsi nina familia, ila SINA MKE na wala SIHITAJI MKE.

2. Kuoa hawana uhusiano wowote na uongozi.
Kuna wateuliwa wa raisi kibaoo hawana ndoa.
Kuna matajiri wana miliki ""multiple businesses"" wanaziendesha biashara zao balaa ila hawana ndoa.
Nafikiri uliposema "Sinza" umemaanisha wakataa ndoa ni wanaume wa hovyo, sasa iko hivi, mimi binafsi nina maisha yangu safi tu na naheshimika tu vizurii serikalini ila ndio hivyo "In JF we are ghosts" siwezi reveal ID yangu.

3. Narudia tena, sisi ni wanaume wa heshima tu.
Na ndoa haina uhusiano wowote na kutomb(a)

4. Kwahiyo wewe huoni, mnavyogongewa, mnavyo dhurumiwa, mnavyofokewa na wanawake na menginee kibaoo. MNAFIKIRI HATUYAONI BRAZA MNAYOFANYIWA NA WAKE ZENU??

5. Ushasema Mungu aliagiza "Kuzaa na kuongezeka" ila sio kuoana.

6. Narudia tena kutomb(a) hakuna uhusiano wowote na ndoa.
Kama ni umalaya, waume za watu ni malaya, wake za watu ni malaya.
Kifupi malaya ni malaya tu.

CC.
Katibu dronedrake - Aione kwenye jalada

Nakala kwa:-
Wajumbe wote wa CMT yetu ya chama.

Wenu, Mwenyekiti.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Mr Liverpool ,sasa hiyo one parent family unaiita ni familia?? Mama ya watoto wako yuko wapi au uliwazaa peke yako?

Ni Ego /uhuni tu, lakini kuna wakati ukifika lazima utulie na mke wako.

Kuhusu kugongewa ndiyo uache kuoa? Siyo kila mwanamke ni Malaya mkuu!! Mwanaume anazikabili changamoto head on Siyo kuzikimbia.

Utafurahi kiasi gani mtoto wako wa kike adate na team KATAA NDOA??
 
Asante DJ kwa kunileta na ngoma ya ""Tunagonga sanaa wake zenu""

Ndugu mleta mada naomba nishike maiki halafu nakujibu kwa paragraph zako za ajaaabu ulizopost ....

1. Nani amekwambia anaogopa familia, Kwani nini maana ya Familia, Hebu rudia "Types of families" kwenye elimu yetu ya Form two.

Mimi binafsi nina familia, ila SINA MKE na wala SIHITAJI MKE.

2. Kuoa hawana uhusiano wowote na uongozi.
Kuna wateuliwa wa raisi kibaoo hawana ndoa.
Kuna matajiri wana miliki ""multiple businesses"" wanaziendesha biashara zao balaa ila hawana ndoa.
Nafikiri uliposema "Sinza" umemaanisha wakataa ndoa ni wanaume wa hovyo, sasa iko hivi, mimi binafsi nina maisha yangu safi tu na naheshimika tu vizurii serikalini ila ndio hivyo "In JF we are ghosts" siwezi reveal ID yangu.

3. Narudia tena, sisi ni wanaume wa heshima tu.
Na ndoa haina uhusiano wowote na kutomb(a)

4. Kwahiyo wewe huoni, mnavyogongewa, mnavyo dhurumiwa, mnavyofokewa na wanawake na menginee kibaoo. MNAFIKIRI HATUYAONI BRAZA MNAYOFANYIWA NA WAKE ZENU??

5. Ushasema Mungu aliagiza "Kuzaa na kuongezeka" ila sio kuoana.

6. Narudia tena kutomb(a) hakuna uhusiano wowote na ndoa.
Kama ni umalaya, waume za watu ni malaya, wake za watu ni malaya.
Kifupi malaya ni malaya tu.

CC.
Katibu dronedrake - Aione kwenye jalada

Nakala kwa:-
Wajumbe wote wa CMT yetu ya chama.

Wenu, Mwenyekiti.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Biashara nyingi kutofanikiwa inapaswa kuwa sababu ya msingi watu kutofanya Biashara moja kwa moja ? kutofanikiwa biashara inawezekana mtu hakuwa na mtaji wa kutosha , hakusoma vizuri mazingira au nature ya biashara anayotaka kuanzisha , Kutokuwa siriaz na kufuata misingi ya biashara nk .

Ndoa nayo ina misingi yake katika kuchangua mwenza, maisha yake , utatutuzi wa migogoro nk hivyo mtu anapokurupuka kuingia kichwa kichwa lazima ataniona ndoa chungu.
 
Back
Top Bottom