Team “Kataa ndoa” wapuuzwe, hawana maadili, ndoa iheshimiwe na watu wote

kuoa sio lazima ni hiari
Swali la msingi Kama huoi je
1)wewe ni padri? Au Buddha?
2)Je hauna matatizo yoyote ya nguvu za kiume?
Let's say umeamua tu SIOI je utaweza kuishi maisha yako yaliyobaki bila kufanya mapenzi au ndiyo HIT AND RUN? ikitokea mwanamke wako akashika ujauzito unatengeneza kizazi gani??
 
Siungi mkoni hoja...😜
😂😂😂😂Namsubiri MR LIVERPOOL! mtuambie tatizo ni nini wanaume wanakuwaje waoga... Ndio wale wanaacha nyumba walizojenga wanawakimbia wake zao
 
mwanamke akishika ujauzito tunaendeleza kizazi cha kataa ndoa
 
Kifupi tu hali ya uchumi mkuu ndo inasababisha yote haya.
 
Mada kama hizi huanzishwa na mafeminist wasioolewaaa ilia mpate waume labda nikuambie tu dada POLE SANA na bado hujasema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…