Hakuna anayewaita mashoga lakini mnataka mabinti zenu nao wasiolewe wawe wagawaji?? Maadili ganiMkuu sisi wala hatuna kelele tumetulia tu na misimamo yetu, sasa hawa ndugu zetu waliooa kutwakucha kufungua nyuzi kuwahusu kataa ndoa na kuleta visa vyao vinavyoonyesha jinsi ndoa zilivyo chungu na ubaya ni kwamba hawana fact zaidi ya kutuita mashoga
Mkuu sisi wala hatuna kelele tumetulia tu na misimamo yetu, sasa hawa ndugu zetu waliooa kutwakucha kufungua nyuzi kuwahusu kataa ndoa na kuleta visa vyao vinavyoonyesha jinsi ndoa zilivyo chungu na ubaya ni kwamba hawana fact zaidi ya kutuita mashoga
NDOA sio lazima, atakaeoa na kuolewa na afanye hivyo kwa sababu zake na asietaka pia asioe kwasababu zake. Kila mtu ashinde mechi zakeHakuna anayewaita mashoga lakini mnataka mabinti zenu nao wasiolewe wawe wagawaji?? Maadili gani
Kugawa wanagawa tu hata kama wana ndoa.Hakuna anayewaita mashoga lakini mnataka mabinti zenu nao wasiolewe wawe wagawaji?? Maadili gani
Achana naye Depression is realSiku ukijiona una FACTS za kuongea tofauti na MATUSI, Basi karibu Tujadili.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Akifika miaka 18 nitakua nimemwandalia maisha yake tayari , ana uhuru wa kufanya kila atakacho kipenda na hato kaa kwangu tena .Ongea Kama baba/baba mtarajiwa kwa binti yako? Ungependa azalie nyumbani??
Wazazi wakisikia mwanetu hataki kuoa lazima wawe na mashaka 😃😃
Mkuu mm wazazi wangu wamefunga ndoa zaman sana na wanaishi wote hadi now zaidi ya miaka 29 now.Nimependa tutumie familia yako maana mtoto umleavyo ndivyo akuavyo!! Je ukipata mtoto wa kike utamfundisha akatae ndoa agawe wastani kwa idadi??
Kama hauwezi basi si vyema ukafanya hivyo
Watoto wanalala na pesa basi?Usiamini mtu, keyboard inaandika kataa ndoa huku anapiga simu kwa mkewe
Note; Kufa kwa chama sio kufa kwa maono ya wanachama.😂😂😂@Mr Liverpool
Mashaka makubwa sanaWazazi wakisikia mwanetu hataki kuoa lazima wawe na mashaka 😃😃
Kuoa ndoa!!!!! Kuishi na mwanamke , kuwa na mpenzi !!!!!!!Mashaka makubwa sana
Vyote 3Kuoa ndoa!!!!! Kuishi na mwanamke , kuwa na mpenzi !!!!!!!
Mzee wako nampa kongole sasa wewe baada ya kupata papuchi za kununua unaona huhitaji mke 😃😃😃Mkuu mm wazazi wangu wamefunga ndoa zaman sana na wanaishi wote hadi now zaidi ya miaka 29 now.
Haya unataka kusema nn??
Sisi hatuna shida na FAMILIA Tunasisitiza vijana wawe na Familia tupate wanachama wengi.
Tunachokataa ni NDOA, HAKUNA KUOA na Kujinyima uhuru.
Familia haihusiani na Ndoa
#KATAA NDOA