min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Unaweza kuwa na mwanamke ila usioe na usiwe na ndoa Na unaweza kuishi na mwanamke ila asiwe mwana ndoa wako .Vyote 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kuwa na mwanamke ila usioe na usiwe na ndoa Na unaweza kuishi na mwanamke ila asiwe mwana ndoa wako .Vyote 3
Hata mke unaweza inunua mkuu ,kwani ukitoka huwa hauachi pesa mezani?Mzee wako nampa kongole sasa wewe baada ya kupata papuchi za kununua unaona huhitaji mke 😃😃😃
Atakodi girlfriend au mke wa jirani yakeLakini kuna heshima fulani utaikosa mkuu, niambie wakikutembelea wazee utapika wewe?
NAKAZIAKATAA NDOA
IyeeWatoto wanalala na pesa basi?
Sitaki ku-sacrifice uhuru wangu kwa binadam maskiniMzee wako nampa kongole sasa wewe baada ya kupata papuchi za kununua unaona huhitaji mke 😃😃😃
NAKAZIA HAPO KWENYE MKE WA JIRANIAtakodi girlfriend au mke wa jirani yake
Umeongea kwa uchungu sana aisee.Kumekuwepo na wimbi kubwa la "Vijana wa ovyo " wakiendesha kampeni yao maarufu Kama Kataa ndoa! Wengi wanaopinga ni kuonyesha kiasi gani jamii yetu inakosa maadili! Mwanaume anaogopa na hawezi kuiongoza familia ,anaishia kuandika KATAA NDOA? hebu tukumbushane!
Umewahi kuona mgombea urais asiye na mke? Kama umeshindwa kuiongoza familia yako utaongoza taifa lipi? Kila siku kuna nyuzi kibao wanawake wanatafuta kuolewa (Mpaka wanaombewa kwa Mwamposa) halafu mtu mmoja hapo sinza anatype KATAA NDOA!! STUPID
Jamii zetu mwanaume alipofikia umri wa kujitegemea alitafutiwa mke tayari kwa kuanzisha familia yake. Siyo ninyi wavaa vinjuga wa huko Sinza.Hivi mnasurvive Vipi au mnapiga punyeto wakuu??
Mwanaume uliyetimia kila idara kukataa ndoa unataka kuzaa watoto wenye maadili yapi? Mnawafokea single mama kumbe mliwarubuni?Ni sawa na kuacha kusafiri kisa magari yanapata ajali.
DINI ZINAELEZA, maagizo ya Mungu ni wanadamu wazaliane na kuongezeka, kufanikisha hilo taasisi ya ndoa iliwekwa mahsusi sasa wewe unayekataa una matatizo yapi?
OK UMEKATAA NDOA, je utaendelea kufanya ngono na kununua malaya kwenye madanguro? Hiyo ndiyo heshima?
ANGALIZO, kama unakataa ndoa kwa sababu ni padre au una matatizo ya nguvu za kiume Uzi huu haukuhusu.
DJ NILETEE MR LIVERPOOL!
Wewe unaonaje ephen?Una uhakika?🤔
Naona utapeliWewe unaonaje ephen?
Kwann umeniuliza??Upo kwenye list ya Forbes??