Tetesi: TEC haifurahishwi na mwenendo wa Serikali kuhusu makubaliano ya bandari na DP World

Mnajifanya watu wamungu kumbe unafiki mtupu mahilizi machale matakataka yote mnayo ninyi mnaojifanya waenda peponi huwezi kuta mpagani kaanguka mapepo hililitakua laajabu sana
Unajichanganya sana ndugu. Unaongelea Ukatoliki au hizo imani mchongo za makanisa ya kiroho?. Au hata hujui tofauti maskini. Ulimkuta lini mkatoliki ameanguka mapepo?
 
Unajichanganya sana ndugu. Unaongelea Ukatoliki au hizo imani mchongo za makanisa ya kiroho?. Au hata hujui tofauti maskini. Ulimkuta lini mkatoliki ameanguka mapepo?
yote shina lake nihilo
 
Kuna katiba inayotamka kuwa wazanzibari wataingia mikataba ya kuuza rasilimali za Tanganyika?. Nipe hicho kifungu cha katiba.
Rasilimali gani imeuzwa? Imeuzwa shilingi ngapi?
 
Watu wamejipanga. Hakuna mtanzania mwenye akili timamu ambaye hana anachokipata kwenye makataba hutoa atakubali ana na masharti hayo. Swala la Udini ni watu mnachomekea tu.

Swala kuu ni kwamba sio sahihi kwa kitega uchumi kikuu kama hicho kuwapa Watu. Kama kiongozi ukiwa laini hamna ambaye ataacha kuiba. Hilo halijustify kwamba watanzania ni wajinga hawawezi kujiendesha.

Wezi ni hao hao, waingie mikataba ni hao hao. Akija mtu mwenye kukataza hayo anaonekana dicteta mara muuaji. Ila Watu wa kuachia holela holela ndio wanademocrasia. Mnashangaza sana. Hata kama uchawa sio design hiyo.
 
Kuna kipengere cha 27 kwenye mkataba kinasema. Ni marufuku kuuvunja mkataba kwa namna yoyote ile!
Sasa mpaka pale bado hujauza ile bandari?
 
Naona sasa ni muda wa nyoka kutoka shimoni....
Awamu ile watu walipokuwa wanapotezwa walikuwa wako kimya kweli.
Wengine walifunga hadi safari kwenda magogoni kupeleka zawadi za sanamu ya bikira Maria.
Acha unafiki au ujinga walishamtandika magufuli waraka wakamchana chana vibaya nakumbuka ulikua waraka wa pasaka ile... nadhani ulikua hujaja mjini bado
 
Naona sasa ni muda wa nyoka kutoka shimoni....
Awamu ile watu walipokuwa wanapotezwa walikuwa wako kimya kweli.
Wengine walifunga hadi safari kwenda magogoni kupeleka zawadi za sanamu ya bikira Maria.
Mi nachokaga hapo tu, sikuwahi kuwasikia awamu ile ila sasahivi hadi pini ikidondoka watatoa waraka hawa jamaa ni wanafki sijapata kuona
Siyo kweli..
Katika awamu mnayosema, hao watumishi walitoa matamko (nyaraka) yaliyosaidia kupunguza kasi ya utekaji, viroba, nk..


 
Ndani ya miaka yote 5, walitoa nyaraka mara ngapi hao maaskofu ???
 
Mwisho wayote Bunge ndio watanzania woote likikubali ndio tayali Democracy imetumika nionyeshe tec itasaidia nini hapo
Ndio tayari Bandari ishauzwa Ila wale wazee wa TEC ni vichwa Wana elimu kubwa kuliko darasa la 7 waliojaa bungeni
 
Wazee wataheshimiwa milele, lakini wakiwa wana hulka za kinafiki lazima wataambiwa ukweli.
Bandari kuuzwa kwa waarabu sio Jambo jema wenye akili wanalijua hilo ndio maana wanasema kulikua na alternative nyingi tu za kufanya Ila sio kuiuza
 
Bandari kuuzwa kwa waarabu sio Jambo jema wenye akili wanalijua hilo ndio maana wanasema kulikua na alternative nyingi tu za kufanya Ila sio kuiuza
Kwani nani kasema ni jambo jema ???
Mbona unanilisha maneno wewe dada ???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…