Ulishindwa kufikisha maksi hamsini?Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.
Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.
Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.
TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.
Tanzani yetu ni moja.
Napia sio Kila mtoto lazima asome secondaryAcheni kutetea ujinga ,haiwezekani kila mwanafunzi awe na uwezo darasani unaofana
Pole kwa kuzaa mtoto kiilazsTunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.
Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.
Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.
TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.
Tanzani yetu ni moja.
Sadaka za makanisa na misikiti yenu huwa mnawaachia wachungaji, mitume na manabii feki halafu mnalalamikia sadaka za wakatoliki?!Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.
Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.
Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.
TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.
Tanzani yetu ni moja.
Ningekuwa wewe ningewaomba modes wafute hii post. Si kwa ujinga ulioexpose hapa. Ona unavyopigwa mawe.Acheni kutetea ujinga ,haiwezekani kila mwanafunzi awe na uwezo darasani unaofana
Ukiita ujinga wako kuwa ubaguzi unataka kila mtu akubaliane nawewe?Hata wewe unatetea ubaguzi aisee?
Hata mimi sijaelewaSijaielewa...
NakaziaPeleka mwanao Madrasa
Mpeleke FEZA mwanao akapate elimu isiyokuwa na ubaguzi mkuu na nina imani kuwa hata udini haupo pale.Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.
Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.
Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.
TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.
Tanzani yetu ni moja.
Shule za katoliki hazibagui imani ya mtoto. Kama ana vigezo anachukuliwa. Na atafuata taratibu zote za pale kama kwenda kanisani, kusali rosary ni lazima...Mpeleke folodhani secondary.... Kwani sio shule?. Mara zote ni ngumu mtoto akawa huru kusoma kwenye mazingira yasiyo rafiki na dini yake. Shule za kidini Mara nyingi uhusisha dini zao hata kwenye Mambo mengine ya kishule, ni mzazi mpumbavu aliye mkristo au muislam anaweza mpeleka mwanae shule tofaut na dini yake.
Kama hana uwezo mpeleke st kayumba atashika nafasi ya kwanza ktk wajingaAcheni kutetea ujinga ,haiwezekani kila mwanafunzi awe na uwezo darasani unaofana
Zipo shule zinazo mfaa mwao pia,mpeleke huko.Acheni kutetea ujinga ,haiwezekani kila mwanafunzi awe na uwezo darasani unaofana
Zingatia post no 16 ina majibu ya matatizo yako yooooote.Acheni kutetea ujinga ,haiwezekani kila mwanafunzi awe na uwezo kupata daraja la kwanza
Huo si ubaguzi!🤣🤣🤣Endeleea kushabikia ubaguzi iko siku utaelewa tu