TEC toeni tamko kukemea ubaguzi kwenye elimu

TEC toeni tamko kukemea ubaguzi kwenye elimu

Mleta mada pia ukumbuke kwamba seminaries nyingi lengo lao hasa ni kulea miito ili vijana waje wawe watawa. Na kimoja wanachikiangalia ni afya ya akili. Hawataki kuwa na mapadri vilaza
 
Kama hivyo ndivyo, basi tuanze kufuta utaratibu wa shule zote za vipaji za serikali
Kama:

Ilboru,
Mzumbe
Kibaha
Msalato
Nk
Hawa si wanabagua kwa kuchagua watoto wenye uwezo mkubwa pekee?

Na mtu aliyepata division 3 na 4 pia aende akasome Sheria chuo kikuu cha Dar es salaam wasichague div 1 na 2 pekee mbona vyuo vingine wanasoma??
Nadhani tusianze na TEC tuanze na Serikali halafu wengine waige mfano.
 
TEC wanadeal na ishu za kitaifa na kimataifa, kwa taarifa yako mahamuzi ya mkuu wa shule au mwl wa darasa hata askofu hawezi kuingilia kati, mwl wa darasa akisema unaondoka unaondoka kweli hata ulalamike mpaka Vatican hawawezi kukurudisha.
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
Ulishindwa kufikisha maksi hamsini?
 
Yaaani unalitoto linacheza magemu kuliko hata kula unataka likasome kwenye St??? Kabla ya yote unapita mchujo hakuna kukaa na kiazi shuleni,,,,,,kama litoto lako kiazi we lipeleke kwenye ile garage ya mme wa monalisa
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
Pole kwa kuzaa mtoto kiilazs
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
Sadaka za makanisa na misikiti yenu huwa mnawaachia wachungaji, mitume na manabii feki halafu mnalalamikia sadaka za wakatoliki?!
 
Tunaomba baraza katoliki la maaskofu (TEC) kukemea kwa sauti moja ubaguzi unaofanyika chini ya shule ambazo zinaendeshwa na kanisa katoliki hapa nchini.

Ni muda sasa shule husika kuchagua wanafunzi kwa misingi ya kuhakikisha ya kwamba mwanafunzi yoyote yule ambae anaonekana kutokuwa na uwezo wa kimasomo anatengwa ama kwa kuhamishwa shule au kurejeshwa nyumbani.

Shule ambazo zimekuwa sugu kwa kutoa elimu kwa ubaguzi ni pamaja na Santa Augustine (Tagaste),St joseph na nyinginezo nyingi tu.

TEC ni taasisi kubwa hivyo tunawaombeni mtoe kauli moja kuhusu utoaji wa Elimu kwa misingi ya ubaguzi ambao umeota mizizi kwenye shule zinazomilikiwa na TEC na hata zile ambazo zimeamua kwa makusudi kabisa kuiga huu unyama kwenye utoaji elimu hapa nchini.

Tanzani yetu ni moja.
Mpeleke FEZA mwanao akapate elimu isiyokuwa na ubaguzi mkuu na nina imani kuwa hata udini haupo pale.
 
Mpeleke folodhani secondary.... Kwani sio shule?. Mara zote ni ngumu mtoto akawa huru kusoma kwenye mazingira yasiyo rafiki na dini yake. Shule za kidini Mara nyingi uhusisha dini zao hata kwenye Mambo mengine ya kishule, ni mzazi mpumbavu aliye mkristo au muislam anaweza mpeleka mwanae shule tofaut na dini yake.
Shule za katoliki hazibagui imani ya mtoto. Kama ana vigezo anachukuliwa. Na atafuata taratibu zote za pale kama kwenda kanisani, kusali rosary ni lazima...
Waislam baadhi wanaojua umuhimu wa shule hupeleka watoto wao pale.
Hawabadilishwi dini ila ni lazima kufata utaratibu wa kikatoliki wakiwa shuleni.
 
nashauri mchujo uwe mkali kufikia wastani wa 85 kwa masomo yote na 75 kwa masomo ya sayansi
 
Back
Top Bottom