Tendo la ndoa ni dawa. Kukaa muda mrefu bila kufanya sex kunaharibu afya ya akili.

Tendo la ndoa ni dawa. Kukaa muda mrefu bila kufanya sex kunaharibu afya ya akili.

Sidhani, kina Newton na Tesla sidhani hata nyapu waliwahi kuishuhudia katika maisha yao yote waliishi duniani, lakini walikuwa ni moto wa kuotea mbali kwenye hesabu na fizikia.

Kama umezaliwa una akili we una akili tu, ni genius hata usiposhiriki ngono na yeyote, kama umealiwa ni kiazi kitamu we ni kiazi kiazi tu hata ushiriki ngono na mabikra 70 wamekuzunguka, kama afya yako ya akili haipo sawa ni vyema kumuona daktari maana ngono haitokusaidia chochote zaidi ya kuzidi kuwa kichaa.

Hizi tafiti sijui nani huwa anaandika na sielewi wanatumia vigezo vipi na wanafanya majaribio gani kuhalalisha wasemayo...

Ndugu zangu tusiokote kila tunachoambiwa na hao wanajiita watafiti...
 
Watu watakupinga lakini una hoja,

Kizazi Z kinasumbuliwa sana na matatizo ya msongo wa mawazo pamoja na sonona, ukosefu wa ngono/mahusiano ukiwa ni moja ya sababu kubwa.

Tafiti zinaonesha masuala kama mitandao ya jamii na ponografia yanafifisha uwezo wa kizazi Z kutafuta na kushiriki kikamilifu kwenye ngono.

Kizazi Z kinaishi kwenye ubikra muda mrefu kuliko vizazi vilivyotangulia.

Haya yote yanachochea upweke mkali sana.
 
Sidhani, kina Newton na Tesla sidhani hata nyapu waliwahi kuishuhudia katika maisha yao yote waliishi duniani, lakini walikuwa ni moto wa kuotea mbali kwenye hesabu na fizikia.

Kama umezaliwa una akili we una akili tu, ni genius hata usiposhiriki ngono na yeyote, kama umealiwa ni kiazi kitamu we ni kiazi kiazi tu hata ushiriki ngono na mabikra 70 wamekuzunguka, kama afya yako ya akili haipo sawa ni vyema kumuona daktari maana ngono haitokusaidia chochote zaidi ya kuzidi kuwa kichaa.

Hizi tafiti sijui nani huwa anaandika na sielewi wanatumia vigezo vipi na wanafanya majaribio gani kuhalalisha wasemayo...

Ndugu zangu tusiokote kila tunachoambiwa na hao wanajiita watafiti...
wale walikuwa prodigies, sio watu wa kawaida.

iga ufe.
 
Ni kweli japo inaonekana ni mzaha. We kaa muda mrefu bila kunyandua utakapoona wanyama wananyanduana utatamani ndio uwe wewe huyo mnyama unyandue. Kuna jamaa alibambwa kwa kunyandua ng'ombe, kuna visa vingi tu vya kunyandua wanyama kama punda, mbuzi, kondoo, kuku kisa tu kukosa kunyandua kituz orijino. Ila ukinyandua pahala panapostahili hutatamani wanyama wala watoto, wala vikongwe, akili inakuwa imetulia. We pata hiyo kitu hata kama huna mke rasmi ila usile wake za watu na wanafunzi watoto na vikongwe
 
Watu watakupinga lakini una hoja,

Kizazi Z kinasumbuliwa sana na matatizo ya msongo wa mawazo pamoja na sonona, ukosefu wa ngono/mahusiano ukiwa ni moja ya sababu kubwa.

Tafiti zinaonesha masuala kama mitandao ya jamii na ponografia yanafifisha uwezo wa kizazi Z kutafuta na kushiriki kikamilifu kwenye ngono.

Kizazi Z kinaishi kwenye ubikra muda mrefu kuliko vizazi vilivyotangulia.

Haya yote yanachochea upweke mkali sana.
Haya mambo ni agenda tu za watu, soma hata kwenye biblia kuna ile njemba sijui nani yule alienda kuchumbia kwa Labani, anhaa nimekumbuka ni Yakobo, jamaa alichunga na kufanya kazi za shamba miaka saba ili ampate Raheli, alipomaliza miaka saba akaambiwa kwa tamaduni zao mdogo hawezi akaanza kuolewa kabla ya mkubwa, jamaa akarudi tena akala miaka saba mingine, jumla hapo 14...

Haya mambo sijui msongo wa mawazo na vitu gani ni kujiendekeza tu.. mtu anasotea nyapu miaka 14 usifanye mchezo mkuu, na jamaa nadhai alipoikamata nadhani alikuwa ananyesha hadi anapiga na miluzi... 🤣 🤣
 
Haya mambo ni agenda tu za watu, soma hata kwenye biblia kuna ile njemba sijui nani yule alienda kuchumbia kwa Labani, anhaa nimekumbuka ni Yakobo, jamaa alichunga na kufanya kazi za shamba miaka saba ili ampate Raheli, alipomaliza miaka saba akaambiwa kwa tamaduni zao mdogo hawezi akaanza kulewa kabla ya mkubwa, jamaa akarudi tena akala miaka saba mingine, jumla hapo 14...

Haya mambo sijui msongo wa mawazo na vitu gani ni kujiendekeza tu.. mtu anasotea nyapu miaka 14 usifanye mchezo mkuu, na jamaa nadhai alipoikamata nadhani alikuwa ananyesha hadi anapiga na miluzi... 🤣 🤣
wala sijatania,

kwenye sociology ubikra wa muda mrefu haswa kwa wanaume ni tatizo

ngono kwenye mahusiano sahihi ni hitaji la muhimu la binadamu

wanaume wakikosa ngono kuna mawili; wanakuwa wavivu, au wanakuwa radicalized(wakali) kupitiliza

unafahamu kwamba magaidi wanaingiza wanaume kwenye vikundi vyao kwa kuwaahidi wake?
 
Kuna hawa mabinti wanaokaa muda mrefu tangu wavunje ungo bila kunyanduliwa hurukwa na akili na kuwa kama wehu. Ndio maana wale wanafunzi wa kike hupelekwa kwenye disco la shule ya wanafunzi wa kiume walau wakashikweshikwe wanapocheza disco. Kule kushikwashikwa nyege hupapanda na kukojoa kimshindo hata kama hawatanyanduliwa effectivelly inatosha kukojozwa wanarudi shuleni kwao wakiwa freshi miili yao yenye kuwaka tamaa ya kunyanduliwa.
 
Mike Tyson alishakaa miaka mi 5 akipiga mazoezi bila kufanya ngono na mwanamke, still alikuwa mpiganaji bora zaidi...

Haya mambo mnajiendekeza tu, kutumia kichaka cha afya akili kuhalalisha uzinzi..
sasa hapo si aliamua kivyake, kwa imani zake

ndo hivyo,

hivi vitu vinahusiana ila unaweza usione vinaathiriana moja kwa moja
 
Back
Top Bottom