Tendo la ndoa ni dawa. Kukaa muda mrefu bila kufanya sex kunaharibu afya ya akili.

Tendo la ndoa ni dawa. Kukaa muda mrefu bila kufanya sex kunaharibu afya ya akili.

Unawaambia nini makasisi na maaskofu wa kanisa takatifu katoliki?
 
Kwa kweli ni dawa,
Ukiona tu lile tako kuna namna ubongo unarelax, the kissing hasa deep kiss inafanya mwili "ufanywe upya"🤣🤣

For men ukifika hitimisho na kushusha waajemi unakuwa umetoa mzigo mzigo wa msongo, mawazo, shida zako..sasa sijui unakuwa umemtupia mwenzako au niaje🤣
Yes ndio maana ukitua mzigo inabidi umkumbatie, umpe pole au asante, na umpige kiss kwenye komwe.
 
Dr Boaz ni Mganga njaa tu ,hana anachokijua , ukiweka mind yako kuwaza ngono muda wote ndiyo utasumbuka lakini ukiwa na issue za kufanya zinazokukeep busy hautopata athari ya aina yeyote ,mwili una self-healing.
 
Back
Top Bottom