Tendo la ndoa ni dawa. Kukaa muda mrefu bila kufanya sex kunaharibu afya ya akili.

Tendo la ndoa ni dawa. Kukaa muda mrefu bila kufanya sex kunaharibu afya ya akili.

Mike Tyson alishakaa miaka mi 5 akipiga mazoezi bila kufanya ngono na mwanamke, still alikuwa mpiganaji bora zaidi...

Haya mambo mnajiendekeza tu, kutumia kichaka cha afya akili kuhalalisha uzinzi..
unaujua uzinzi au unautaja tu?
 
Valentine hii tumejichanganya kwahyo sis ambao hatupati Kwa wakati inamaan hatuna akili ety jamn
 
Sawa endelea
1738610939289.jpg
 
Kwa wanaume uliyeoa sitaj nyie mnaozini, 🤗. Ukikuta mwanamke yupo na kisiran na hasira ndan ya siku mbili tatu mfululizo huyo anahitaj sex the real one sio lile la papaaa tayar

Kesho taamka vizur na hasira kwishney amini ivo
 
wala sijatania,

kwenye sociology ubikra wa muda mrefu haswa kwa wanaume ni tatizo

ngono kwenye mahusiano sahihi ni hitaji la msingi la binadamu

wanaume wakikosa ngono kuna mawili; wanakuwa wavivu, au wanakuwa radicalized(wakali) kupitiliza

unafahamu kwamba magaidi wanaingiza wanaume kwenye vikundi vyao kwa kuwaahidi wake?
Hata wanaoamka kutetea haki za mashoga na wasagaji kuanzia makampuni , taasisi, serikali n.k nao ukiwasikiliza wana hoja zao kuhalalisha kile wanachotaka kiwe halali, tena watakuja na hoja za kisayansi na kidini, ndipo hapo unaona kina pope wanahalalisha ushoga makanisani, lakini je kiuhalisia wapo sahihi?

Ubikra wa muda mrefu kwa mwanaume hauna tatizo lolote kiafya ndio maana nimesema kina Tesla na Newton mbona walifanya ambayo hao wala mbususu walishindwa?

Hio wanaume kukosa ngono na kuwa wavivu, sidhani, Shaolin Monks wakiwa temple huwa hawaruhusiwi ngono, na wanakaa miaka mingi, wanachapa kazi kuliko hata wewe unayenyandua mara 30 kwa mwezi... ila huwa wanaruhusiwa kuoa wakitoka temple, kuna wengine maisha yao yote wanaishi kwenye temple, wana afya njema sana, wanaishi miaka mingi, wanafanya kazi sana.

Mi wanaoingia kwenye ugaidi kwa kuahidiwa wake sishangai, ni mbinu za ki intel, hata recruiting agency kama CIA huwa wana hiko kitu, wanaangalia unataka kitu gani hasa katika maisha yako, inakuwa rahisi kwao kuku motivate ukubaliane na kile wanachotaka wao, kama ni pesa watakupa, kama uraia utapewa, kikubwa wanafanya taifiti kwa kina matamanio yako hasa ni nini? wakifahamu lazima wakuchukue...
Hivyo si kila anaeingia kwenye ugaidi kaahidiwa mke, wengine ni fedha, msukumo wa ki imani n.k
 
Kuna watu wanajilia nyape huwezi kusema wanafanya uzinzi. Uzinzi ni hali ya kufanya mapenzi na mke wa mtu wakati we una mke wako, kufanya mapenzi na mume wa mtu wakati we una mume wako. Uasherati ni hali ya kufanya mapenzi kabla ya kuoa/kuolewa wakati ndio unaeleke huko kwenye ndoa/unakua hutakiwi kuanza mapenzi kabla ya kuoa/kuolewa. Sasa mtu mzima hana mke/mume unategemea akanyandue/nyanduliwe wapi?. Mtu ni mjane/mgane na ana hamu ya kufanya mapenzi, akafanye na nani? Hao watu wasio na wenza hawafanyi uzinzi, wanajikimu/wanakirimiwa ili kujisikia vizuri no matter wanajikimu kwa wake za watu/wanakirimiwa na waume za watu au wanapeana wenyewe kwa wenyewe yaani mwanaume asiye na mwenza rasmi na mwanamke asiye na mwenza rasmi. Hapo hakuna uasherati wala uzinzi, wala ukahaba bali ni penzi la kujikimu wanapeana kupunguza hamu za kufanya mapenzi
 
wala sijatania,

kwenye sociology ubikra wa muda mrefu haswa kwa wanaume ni tatizo

ngono kwenye mahusiano sahihi ni hitaji la msingi la binadamu

wanaume wakikosa ngono kuna mawili; wanakuwa wavivu, au wanakuwa radicalized(wakali) kupitiliza

unafahamu kwamba magaidi wanaingiza wanaume kwenye vikundi vyao kwa kuwaahidi wake?
Ngono sio hitaji la msingi,bali ni hitaji la muhimu.
Ulienda shule kusindikiza wenzako mkuu..
 
Hata wanaoamka kutetea haki za mashoga na wasagaji kuanzia makampuni , taasisi, serikali n.k nao ukiwasikiliza wana hoja zao kuhalalisha kile wanachotaka kiwe halali, tena watakuja na hoja za kisayansi na kidini, ndipo hapo unaona kina pope wanahalalisha ushoga makanisani, lakini je kiuhalisia wapo sahihi?

Ubikra wa muda mrefu kwa mwanaume hauna tatizo lolote kiafya ndio maana nimesema kina Tesla na Newton mbona walifanya ambayo hao wala mbususu walishindwa?

Hio wanaume kukosa ngono na kuwa wavivu, sidhani, Shaolin Monks wakiwa temple huwa hawaruhusiwi ngono, na wanakaa miaka mingi, wanachapa kazi kuliko hata wewe unayenyandua mara 30 kwa mwezi... ila huwa wanaruhusiwa kuoa wakitoka temple, kuna wengine maisha yao yote wanaishi kwenye temple, wana afya njema sana, wanaishi miaka mingi, wanafanya kazi sana.

Mi wanaoingia kwenye ugaidi kwa kuahidiwa wake sishangai, ni mbinu za ki intel, hata recruiting agency kama CIA huwa wana hiko kitu, wanaangalia unataka kitu gani hasa katika maisha yako, inakuwa rahisi kwao kuku motivate ukubaliane na kile wanachotaka wao, kama ni pesa watakupa, kama uraia utapewa, kikubwa wanafanya taifiti kwa kina matamanio yako hasa ni nini? wakifahamu lazima wakuchukue...
sijasema kwamba usipofanya ngono utaumwa, au utakufa, hapana.

ila ngono ina faida zake za kiakili, ni tulizo kisaikolojia.

hao wasiofanya ngono kwasababu maalum kama dini na mengineyo, watapata tulizo kupitia misingi ya hizo imani zao

pia kuna watu ambao ni walemavu sana kihisia, wana maisha yakustaajabisha.

kwa mtu wa kawaida, kesi ni tofauti.

na sipo tayari kukubali kwamba ngono ni kwa ajili ya kuzalisha tu, ili watu waifanye, mageuzi yalitengeneza mfumo ili ngono iwe na faida nyingi nje ya kuzalisha, lengo likiwa ifanyike "spontaneously" bila shurti, binadamu/mnyama asitoweke.

sichochei umalaya/uzinzi,

hizo tabia zitaidhuru akili kwasababu zitaleta migogoro, kusengenywa nk. ngono ifanyike kwenye mahusiano sahihi.

sasa kisa pope katetea ushoga na unaona hayuko sawa, ndo mimi nikitetea ngono salama sitokuwa? mzee baba hii ni moral equivalence fallacy...
 
Back
Top Bottom