Fanton Mahal
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 1,597
- 4,661
Ahahaha sasa mkuu mbona kama kuna kitu unataka nifafanue 😂😂Weee kumbe!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha sasa mkuu mbona kama kuna kitu unataka nifafanue 😂😂Weee kumbe!?
Ukifanya hivyo itapendeza sana, hapa nimetoka kapa🤣Ahahaha sasa mkuu mbona kama kuna kitu unataka nifafanue 😂😂
Ahahah.tuishie tu hapaUkifanya hivyo itapendeza sana, hapa nimetoka kapa🤣
Mkuu na wewe ulikuwa unaleta appeal to authority fallacy, ndio maana nikasem hivyo..sijasema kwamba usipofanya ngono utaumwa, au utakufa, hapana.
ila ngono ina faida zake za kiakili, ni tulizo kisaikolojia.
hao wasiofanya ngono kwasababu maalum kama dini na mengineyo, watapata tulizo kupitia misingi ya hizo imani zao
pia kuna watu ambao ni walemavu sana kihisia, wana maisha yakustaajabisha.
kwa mtu wa kawaida, kesi ni tofauti.
na sipo tayari kukubali kwamba ngono ni kwa ajili ya kuzalisha tu, ili watu waifanye, mageuzi yalitengeneza mfumo ili ngono iwe na faida nyingi nje ya kuzalisha, lengo likiwa ifanyike "spontaneously" bila shurti, binadamu/mnyama asitoweke.
sichochei umalaya/uzinzi,
hizo tabia zitaidhuru akili kwasababu zitaleta migogoro, kusengenywa nk. ngono ifanyike kwenye mahusiano sahihi.
sasa kisa pope katetea ushoga na unaona hayuko sawa, ndo mimi nikitetea ngono salama sitokuwa? mzee baba hii ni moral equivalence fallacy...
Tendo la ngono je linatosha ?
Mkuu na wewe ulikuwa unaleta appeal to authority fallacy, ndio maana nikasem hivyo..
Daw za kupunguza makali ya nyeeee etySawa endelea
View attachment 3236253
Sasa kwa wale wachezaji wa EPL wanaokaa kambini miezi mpk 8 inakuwaje...
kwahiyo kwa hili tendo sio afya ya akili, kumbe na akili yenyewe hamnaNi tendo la kujitoa akili..
akili hazihusiki kabisa kwenye hili tendoTendo la mkono
Sasa kwa wale wachezaji wa EPL wanaokaa kambini miezi mpk 8 inakuwaje...
Nimeuliza ili tujue hili tendo tunaliweka kwenye kundi gani, tendo la ndoa au tendo nje ya ndoa?🤣🤣🤣🤣🤣🤣Eh!!
Usipofanya kwa akili utajichubuaakili hazihusiki kabisa kwenye hili tendo
Kwamba hata sista wa kanisani weee unaafumuaa tuYake mambo hayanaga muongozo...
Nimetubu na nimeokoka...Kwamba hata sista wa kanisani weee unaafumuaa tu
Mbinguni utapasikia tu lo😁
Hallelujah!Nimetubu na nimeokoka...