Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,020
- 6,161
Uchumi wa Kati una uhusiano gani na mambo ya tetemeko. Nonsense kabisa!kesho utaskia mamlaka zenye wasomi wa maphd ya hali ya hewa wakielezea kiutalaam kwamba ni kawaida kutokea blah blah.. taifa linashindwa hata kuwa na vifaa accurate kujua vitu kama hivi in advance na bado tunasema tupo uchumi wa kati..
Hamna lolote siyo la kuogopa hili ,kwa waliozoea kuishi bonde la ufa hi iliyopita ni ndogo sanaKama ni foreshock?
Mafia kisiwaniKilindoni ni wapi mkuu
Tegeta ..nadhanLikaendaenda wapi?
Umepona..?Tanzania has had: (M1.5 or greater)
1 earthquake in the past 24 hours
1 earthquake in the past 7 days
2 earthquakes in the past 30 days
11 earthquakes in the past 365 days
The largest earthquake in Tanzania:
today: 5.9 in Kilindoni, Pwani, Tanzania
this week: 5.9 in Kilindoni, Pwani, Tanzania
this month: 5.9 in Kilindoni, Pwani, Tanzania
this year: 5.9 in Kilindoni, Pwani, Tanzania
Siyo Mafia?Kilindoni ni wapi mkuu
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣Dah nilikuwa ndani nikahisi ni mimi tu nikatoka mbio kwenda nje nikawauliza wenzangu nao wamehisi kutikiswa.
Kuna mjinga mmoja akasema “Baba wa Taifa anajigeuza!... “ Daaamn [emoji28][emoji28][emoji28]
Sawa kaka mkubwa. Nitakutafuta siku moja tupige story kidogoKote kwangu Frame kumi unaingia hosipital ya kivule ulizia jeuri karibu mkuu
Kigamboni pia limepitaWakuu hili tetemeko limepita Huku Ubungo mkoa wa Dar es Salaam. Vipi huko kwenu?
--
Taarifa ya WanaJF walio mkoa wa Morogoro
Okay, basi lipo hazards maana nipo kwa msuguri hapa kulikuwa na foleni nikaingia bar. Watu wanaendelea tu na mambo yao.limepita nipo mbezi mpiji nimetoka ndani mbio