Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania

Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania

kesho utaskia mamlaka zenye wasomi wa maphd ya hali ya hewa wakielezea kiutalaam kwamba ni kawaida kutokea blah blah.. taifa linashindwa hata kuwa na vifaa accurate kujua vitu kama hivi in advance na bado tunasema tupo uchumi wa kati..
Uchumi wa Kati una uhusiano gani na mambo ya tetemeko. Nonsense kabisa!
 
Tanzania has had: (M1.5 or greater)

1 earthquake in the past 24 hours

1 earthquake in the past 7 days

2 earthquakes in the past 30 days

11 earthquakes in the past 365 days

The largest earthquake in Tanzania:

today: 5.9 in Kilindoni, Pwani, Tanzania

this week: 5.9 in Kilindoni, Pwani, Tanzania

this month: 5.9 in Kilindoni, Pwani, Tanzania

this year: 5.9 in Kilindoni, Pwani, Tanzania
Umepona..?
 
Mkuu ninashukuru kwa hii Taarifa kwani nilikuwa zangu Chumbani Jimbo la Halima Mdee nikaona 'natetema' na kuhisi labda 'ninaugua' huu Moyo.
 
Dah nilikuwa ndani nikahisi ni mimi tu nikatoka mbio kwenda nje nikawauliza wenzangu nao wamehisi kutikiswa.
Kuna mjinga mmoja akasema “Baba wa Taifa anajigeuza!... “ Daaamn [emoji28][emoji28][emoji28]
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo legend mpe soda nitakuja kumlipia
 
Aisee hili tetemeko leo linanipa zari, kila anayetaja location ya huku kwangu zamani PM jinsia pendwa halafu kwa hofu na kutiana moyo leo wanafunguka
 
Back
Top Bottom