Valentino huyu ambaye ameshaanza kumsaidia Zimbwe? We jamaa vpSimba wanatakiwa Kuachana na wachezaji wafuatao.
KATI YA DIRISHA DOGO NA DIRISHA KUBWA.
1. Ayoub Lakred.
2. Valentino Nouma.
3. Karabue Chamoe.
4. Fabrice Ngoma.
5.Agustine Okejepha.
_____________________
6.Charles Ohua.
7. Joshua Mutale
Mhn! Hapo ulitaka tu kutuambia huwa unazungumza naye.Nilikuwa na maongezi mafupi na Injinia Hersi (hata mimi ni injinia kwa hiyo tunaelewana sana) akaniambia kuwa yanga imeamka na sasa hivi dozi za tano tano zinaanza tena kwa sababu ya "YANGA BINGWA."
Tuliongea muhtasari wa mikakati ya Yanga, siyo engineering.Mhn! Hapo ulitaka tu kutuambia huwa unazungumza naye.
Otherwise hakuna cha maana mulichoongea hapo.
Labda story za engineering.
Sijaelewa. Alipokwambia “Yanga sasa imeamka”, ilikuwa imelala?Tuliongea muhtasari wa mikakati ya Yanga, siyo engineering.
Kwani we humjui. Sheria za JF zinakataza kufichua identity ya mtu ila code ya huyu jamaa ni nyepesi. Huyu ndiye yule anayesimangwa sana Simba ikifungwa Mr. Out huyo. 😀😀Mwamba wa taarifa za ukweli.....Sasa elie mpanzu kashatua Simba ngoja ucheki mavitu vitu
Hapo vipi mkuuKama nilivyoripoti kuhusu Gamondi kutohudhuria kikao, taarifa za hivi punde ni kuwa kaachana na Yanga
Inaonekana tatizo lako ni kuwa na misamiati michache ya kiswahili. Kuamka unakuelewa kwa maana moja tu ya kutoka usingizini (wake up). Hujui kuamka kwa maana ya nyingine ya kuwa "on the alert."Sijaelewa. Alipokwambia “Yanga sasa imeamka”, ilikuwa imelala?
Sasa ndo umeongea nini?Inaonekana tatizo lako ni kuwa na misamiati michache ya kiswahili. Kuamka unakuelewa kwa maana moja tu ya kutoka usingizini (wake up). Hujui kuamka kwa maana ya nyingine ya kuwa "on the alert."
nimeongea nilichoongeaSasa ndo umeongea nini?
To hell with it.nimeongea nilichoongea
Ok. Ngungu sio?Kwani we humjui. Sheria za JF zinakataza kufichua identity ya mtu ila code ya huyu jamaa ni nyepesi. Huyu ndiye yule anayesimangwa sana Simba ikifungwa Mr. Out huyo. 😀😀
Sijui ilikuwaje wakamwacha na kumsajili Valentino MashakaNataman saadun aje msimbaz
Tumeacha mkuu ndio maana tunaongoza ligii na magoli ya kutosha kontena mbili.Mmeacha kuisajili wachezaji uwanja wa ndege?
Subiri kidogoHapo vipi mkuu
Labda wakatae kumuachia ila hela siyo issueAbdelhay forsy : huyu jamaa anajua sana kama tutampata na akawaka+mpanzu nae akawaka nawaonea huruma sana wakina bravos,stade malien,cs sfaxien,cs constantine na wenzao. Shida ni moja tunaweza kumpata? Tupo tayari kutoa hela? Kutoboka mifuko? Mo fanya kweli mnyaturu wewe.
Mashaka ana potential ya kuwa mchezaji mkubwa zaidi ya SaaduniSijui ilikuwaje wakamwacha na kumsajili Valentino Mashaka
Ngumu kwa sasaNataman saadun aje msimbaz
AnajuaHuyu Ibrahima Seck naambiwa ni fundi haswaa, sijui kama tutamuweza.