TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

obama what.gif
 
Njia rahisi jiunge upinzani piga piga bla bla, kisha hamia ccm....udc huu hapa, unawaacha uvccm wametoa mimacho
 
Kuwa na maDC wa style ya kina Godwin Gongwe na Jerry Muro ni kuendelea kurudi nyuma kimaendeleo kwa kasi ya ajabu. Hao jamaa hawafai na hawajawahi kufaa. Ni watu wakupenda sifa za kijinga na umaarufu wa vyombo vya habari.
 
Paschal Mayala,hivi huna connection,au yale maswali uliyauliza kipindi kile yamesababisha wakufyekeleee mbali?
 
1. Godwin Gondwe

2. Jerry Muro

Kama kuna sehemu labda wanakengeuka ( wanakosea ) basi tuambiwe, kwani tunaogopa akina Chopa Mchopanga ( DC Mteule Rorya ) anaweza kuja kuwa RC baadae na wao wakaendelea kubaki kuwa DC's tu.
Mkuu binafsi Gondwe namuona ni mtu smart and matured. Lakini pengine mamlaka ya uteuzi inamwelewa zaidi kuliko mimi.
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
GENTAMYCINE tangu jana upo moto na Teuzi.
Kuna sehemu hazijakufurahisha nin
😀😀😀😀😀😀
Usijali kuna mkeka mwingine utatandikwa sio mda.
Nao ni wa jackport ya M 367 wa Sportpesa😀😀😀😀😀😀
Ukibet laazma ule. Achana na mkeka wa maza.
 
Katika Hao 139 Madisiii Waislamu Ni Wengi Zaidi Ya Madisii Wakristo. Waislamu wanaupiga Mwingi Sana Kwa Sasa
Huu ni wakati wao wa kutamba sasa [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom