Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jokate nilifikiri angekuwa RC wa mikoa midogo Kama Singida au njombe
Gondwe angekuwa RC kigoma hivi au iringa
Mkuu binafsi Gondwe namuona ni mtu smart and matured. Lakini pengine mamlaka ya uteuzi inamwelewa zaidi kuliko mimi.1. Godwin Gondwe
2. Jerry Muro
Kama kuna sehemu labda wanakengeuka ( wanakosea ) basi tuambiwe, kwani tunaogopa akina Chopa Mchopanga ( DC Mteule Rorya ) anaweza kuja kuwa RC baadae na wao wakaendelea kubaki kuwa DC's tu.
Hahahahahahahaa mbavu zang mimi..wapiWamepigwa ile kitu tunaita Daflau ya kidevu, ujue hata ccm kwenyewe hua wanawaona vijana wao hawana akili ndio maana hua wanaamua kuyaacha tu
Subutu yakeUnajiajir kama @YEHODAWA hajateuliwa? Hapa si anatumia fake id
Ndugai kazeeka harqka sana aise
Huu ni wakati wao wa kutamba sasa [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Katika Hao 139 Madisiii Waislamu Ni Wengi Zaidi Ya Madisii Wakristo. Waislamu wanaupiga Mwingi Sana Kwa Sasa