cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Kwa sababu kila jambo yeye hujibu kama tajiri wa gari winchi: HILI NALO MLIBEBE MKALITAZAME
Tangu lini nahusika na chama chochote au serikali?!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu kila jambo yeye hujibu kama tajiri wa gari winchi: HILI NALO MLIBEBE MKALITAZAME
Akina John wakijaa kwenye mkeka hakuna shida ila ikitokea kuna akina John 20 na akina Ali 10 tayari kuna udini. Mmezoea kuwa peke yenu akiteuliwa Muislam mmoja tu povu kama lote. Hii nchi si yenu peke yenu.Tunamlazimisha huyu mama atupende ila huyu mama hatupendi,Mama ni Mzanzbara na inajulikana fika kwamba wabara na watu wa huko katikat ya maji tunalazimisha tu undugu...Ishu ya Udini hiyo tukubaliane tu nayo.
Sasa hawa wote walikuwa wanatokea Mikoa ya Pwani tu!Mkeka wa 2020 hadi 2021 chini ya JPM
Haya mbona yapo muda mrefu ila wenyewe ndio mliyalea lea.
Hebu cheki mkeka ulivyoacha watu wa imani fulani na majeraha moyoni huku wa imani nyingine wakifurahia tuezi.
Toka jamaa alipoteuwa hadi siku yake ya mwisho hatukusikia malalamiko yoyote mitandaoni au kusoma comment yako ukilaumu teuzi hizo.
Lakini viongozi wa kitaifa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu walikuwa Waislamu.Kipindi cha magu mawaziri waislam walikua wawili tu na pm wa 3 lakini atukuona waislamu wakilalamika
Hata kama wote hawakutoka Pwani lkn wengi waliteuliwa kulingana na kanda pamoja na kabila.Sasa hawa wote walikuwa wanatokea Mikoa ya Pwani tu!
Kumekucha!Kama ni unguja hakuna la kustaajabu hapo. Nikajua watu wamepangiwa kuripoti kazini huku bara
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Ndio umeulimmishe mtoa uzi.88% ka sio 90% ,ya civil servants ni waksrito.kina sheh ponda wamesema wee mpaka vitabu vipo.Utafanya nini na Dunia inaendeshwa na Wakristo na Wakristo wa USA na UK ndiyo walileta serikali ya Muungano!
Mie hata shida siioniLakini viongozi wa kitaifa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu walikuwa Waislamu.
Hii ndo Tanzania. Akinya kuku poa, ila akinya bata kaharisha.Shida ndio unaiona leo
Hiv wewe kumbe hata sio msomi au mtu wa tafiti
Toka mwaka 1961, 88% mpaka leo yabwatumish ni wakristo.na watu wametoa mpaka takwimu.upo wap mzee
Serikali ya awamu ya tano ilipoingia madarakani Mwaka (2015), Rais alifanya uteuzi wa Mawaziri, Makatibu Wakuu, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala wa Mikoa, Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi mbalimbali. Uteuzi wake ulikuwa kama ifuatavyo:Raia tunahoji. Kwa nini Baraza la Sasa limejaa Dini Moja?
Rais haoni kama hii inaweza kuleta shida badae?
Kwa nini asilekebishe mapema tu kabla mambo hayajaenda vibaya hasa hii minong'ono inayoendelea?.
Upendeleo nao umekita mizizi, yaani, watu walewale wazazi wao watufikisha hapa ndio haohao wanaendelea kupewa madaraka.
Kwaiyo na yeye Mama ameamua kufuata upuuzi wa JPM!Hata kama wote hawakutoka Pwani lkn wengi waliteuliwa kulingana na kanda pamoja na kabila.
Usisahau kwamba jamaa aliongoza kwa kupendelea dini yake, kanda yake na kabila lake. Hilo kila mtu analifahamu pengine na wewe ukiwa mmoja wapo. Ila kwa leo unajifanya haujui.
Wewe ndo unawasalisha au kuwasswalisha?Raia tunahoji. Kwa nini Baraza la Sasa limejaa Dini Moja?
Rais haoni kama hii inaweza kuleta shida badae?
Kwa nini asilekebishe mapema tu kabla mambo hayajaenda vibaya hasa hii minong'ono inayoendelea?.
Upendeleo nao umekita mizizi, yaani, watu walewale wazazi wao watufikisha hapa ndio haohao wanaendelea kupewa madaraka.
Ndio hayo mzee wqngu.kunya anye kuku akinya bata.......Hii ndo Tanzania. Akinya kuku poa, ila akinya bata kaharisha.
Mkristo akichagua wakristo wote poa tu, Muislam akiweka waislam kadhaa anaitwa mdini.
Hao ni UPANDE WA ZANZIBAR, au umeona mtu aliyeelekezwa aende DODOMA kufata barua yake? TUMIA AKILIJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA Ref.No.JA.9/259/01/A/234 27 Februari, 2023 TANGAZO LA KUITWA KAZINI Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi kwa nafasi mbalimbali zilizotangazwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika Usaili uliofanyika tarehe 03 – 08 Januari 2023, matokeo ya waombaji kazi waliofaulu Usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Waombaji waliofaulu Usaili wanatakiwa kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi katika Ofisi za Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma zilizopo Unguja – Zanzibar (Mazizini) katika Jengo la Sheria Ghorofa ya 3. Aidha, waombaji kazi waliofaulu usaili na kupangiwa kituo cha kazi wanatakiwa kuripoti kwa Mwajiri katika muda ambao umeainishwa kwenye barua za kupangiwa kituo cha kazi wakiwa na vyeti halisi (Originals Certificates) za masomo kuanzia kidato cha nne na kuendelea ili vihakikiwe na mwajiri kabla ya kupewa barua ya Ajira. Kwa wale ambao majina yao hayapo katika tangazo hili watambue kuwa hawakupata nafasi/hawakufaulu Usaili, hivyo wasisite kuomba kwa mara nyingine nafasi za kazi zitakapotangazwa. NB: Waombaji wanaokuja kuchukua barua zao wanatakiwa wawe wamevaa Barakoa. NA MAMLAKA YA AJIRA KADA MAJINA YA WALIOITWA KAZINI 1 KAMISHNA MKUU, MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA (TRA) TAX MANAGEMENT OFFICER II
1. MOH’D ALI MOH’D
2. AHMED SALEH ABUBAKAR
3. AMIN KHAMIS AHMADA
4. ABDULHAMID JUMA ABEID
5. AHMED RAMADHAN ALLY
6. TAUHIDA SHAABAN RAJAB
7. ISSA ABDALLA ALI
8. SAFIA ASAA RAJAB
9. MSELEM ALI OTHMAN
10.HAJRA KHAMIS SAID
11.OMAR MASOUD SHINDANO
12.WARDAT MOH’D HUSSEIN
13.RAJAB SALUM SAID
14.KHATIB KHAMIS ABDI
15.NAIMOUR JAFFAR SHEHE
16.IS-HAQ RAMADHAN KIPPAYA
17.MARYAM ALI HAJI
18.ARQAM SALUM MPWANI
19.ALI HASSAN HAMAD
TAX MANAGEMENT ASSISTANT II
1. KHEIR OMAR ALI
2. WAHIDA KHAMIS SULEIMAN
3. SEIF MOH’D ALI
4. SIHABA ALI KHAMIS
5. RUKAYYA BWANGA MFAMAU
6. SAFIA KHAMIS SULEIMAN CUSTOMS OFFICER II
1. SEIF ALI ABDALLA
2. AISHA JAMAL SAID
3. HUSSEIN BAKARI HAMADI
4. SABRA NASSOR ALI
5. ASHA MUHSIN HAMAD
6. MARIAM MUHAMMAD HASSAN
7. SULEIMAN JUMA HAJI
8. MAKAME USSI SHEHA
9. ABDULLA IBRAHIM ABDALLA NA MAMLAKA YA AJIRA KADA MAJINA YA WALIOITWA KAZINI
10.FATMA MOHAMED ALLY
CUSTOMS ASSISTANT II
1. ABDULKARIM KHATIBU SANDUKU
2. NIHIFADH ABDULLA ALI
3. RUWAIDA ABDALLAH SALUM
ICT TECHNICIAN II
1. YUNUS SALIM ALI
2. BUSHIR MAKAME MGONGO
3. MOHAMED BAKAR RASHD
LIMETOLEWA NA; KATIBU, SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTU
HAYA HAYA HAYAAAAAAAAA.
ASIYE NA MWANA AELEKEE JIWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
Kwenye dini sina hakika. Ila swala la watoto na ndugu wa watu waliotufikisha hapa tulipo, hilo linanisikitisha.Raia tunahoji. Kwa nini Baraza la Sasa limejaa Dini Moja?
Rais haoni kama hii inaweza kuleta shida badae?
Kwa nini asilekebishe mapema tu kabla mambo hayajaenda vibaya hasa hii minong'ono inayoendelea?.
Upendeleo nao umekita mizizi, yaani, watu walewale wazazi wao watufikisha hapa ndio haohao wanaendelea kupewa madaraka.