Lakini wenzetu wamesoma sana, lazima tuwape kipaumbele,, 😁🤷🏻♀️Unajua hakuna kitu kinakera kama wakristo wa nchi hii
kujiona kama wao ndio wenye haki ya kila kitu,
Yan wanavyotaka wao mkeka ukitoka wawe wao tuu
Magufuli kafanya udini kupindukia + ukabila na Ukanda, teuzi zake alijaza wakristo, ila waislamu walikuwa kimyaaàa.
Hii nchi ni ya wote sio yenu peke yenu, kwanza walioumia na nchi hii ni waislamu, nyié hata kudai uhuru mliambiwa makanisani ni dhambi
Hahaaa sahihi..Akivurunda lawama wanapewa washauri wa kufikirika,akifanya vyema pongezi anapewa yeye!
Hili neno washauri linataka kuwa maarufu sana awamu hii ni vile tu watu hamtaki kuamini kama hiki kinachotokea ndiyo utashi wa "Mama" mwenyewe.
Hebu andika hapa teuzi zote za Rais ili tujue anaegemea dini gani!!Nsingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha ndugu zangu wanaJF.
Naungana na ndugu Charles Kitwanga kuhitimisha kwamba mama Samia ni rais mzuri mwenye uwezo wa kuivusha nchi salama lakini amezungukwa na GENGE la watu (possibly SUKUMA GANG) wanaomshauri vibaya. Tangu Rais Samia aanze uteuzi wa viongozi, kwa kuondoa timu aliyoirithi kutoka kwa hayati Magufuli, nimekuwa nikifuatilia teuzi zake nimegundua ziko biased kwa misingi ya udini na ujinsia.
Mara nyingi kila anapofanya teuzi mpya, kuwahamisha wizara au kuwafuta kazi baadhi ya viongozi, anarudia tatizo lile lile. Nadhani huu ni mwendelezo mbaya kutoka kwa genge la watu wanaomshauri. Mfano, mzuri ni huu uteuezi aliofanya jana. Yaani uteuzi wake umejaa udini na ujinsia kila kona. Ifike mahali Rais Samia aache kusikiliza ushauri wa hili genge ili asijiingize kwenye tatizo la kuigawa nchi kidini bila sababu za msingi. Nashauri anapofanya uteuzi ajaribu kubalance kwa sababu watanzania wote wanamtazama na bahati mbaya wengine hawajuia kama anashauriwa bibaya. Wanadhani anafanya makusudi.
Nawasilisha.
Hata wakiristo wakikaa wote nje ya serikali, waislam watajaza hizo nafasi na mambo yataendaLakini wenzetu wamesoma sana, lazima tuwape kipaumbele,, 😁🤷🏻♀️
Kila akiingia Rais kutoka Unguja na Pwani swala Udini katika teuzi huwa linajitokeza. Sasa limeongezeka jinsia na Uzanzibari. Angalia wabunge wote kutoka mkoa wa Pwani ni mawaziri!Nsingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha ndugu zangu wanaJF.
Naungana na ndugu Charles Kitwanga kuhitimisha kwamba mama Samia ni rais mzuri mwenye uwezo wa kuivusha nchi salama lakini amezungukwa na GENGE la watu (possibly SUKUMA GANG) wanaomshauri vibaya. Tangu Rais Samia aanze uteuzi wa viongozi, kwa kuondoa timu aliyoirithi kutoka kwa hayati Magufuli, nimekuwa nikifuatilia teuzi zake nimegundua ziko biased kwa misingi ya udini na ujinsia.
Mara nyingi kila anapofanya teuzi mpya, kuwahamisha wizara au kuwafuta kazi baadhi ya viongozi, anarudia tatizo lile lile. Nadhani huu ni mwendelezo mbaya kutoka kwa genge la watu wanaomshauri. Mfano, mzuri ni huu uteuezi aliofanya jana. Yaani uteuzi wake umejaa udini na ujinsia kila kona. Ifike mahali Rais Samia aache kusikiliza ushauri wa hili genge ili asijiingize kwenye tatizo la kuigawa nchi kidini bila sababu za msingi. Nashauri anapofanya uteuzi ajaribu kubalance kwa sababu watanzania wote wanamtazama na bahati mbaya wengine hawajuia kama anashauriwa bibaya. Wanadhani anafanya makusudi.
Nawasilisha.
Unaipimaje kuwa hapa mtu kateuliwa kwa kigezo Cha dini!?wanayo haki, lakini hatutakiwi kuteua kwa hicho kigezo,weledi katika kazi uzingatiwe kwenye kuteua
Lakini sisi tunajiweza hata kitaa, kwenye mipira, miziki, ujenzi, biashara, viwanda, uigizaji, etc,Hata wakiristo wakikaa wote nje ya serikali,waislam watajaza hizo nafasi na mambo yataenda
Awamu ya kwanza palikua na nini Cha ajabu!!!?...foleni za unga?!!!ndio,anza kurejea kuanzia awamu ya kwanza
wenzetu tatizo umwinyi mwingi
Wakishika hatamu nchi haisogei, umungu mtu, wizi, njaa mitaani nkLakini sisi tunajiweza hata kitaa, kwenye mipira, miziki, ujenzi, biashara, viwanda, uigizaji, etc,
Tungewaacha wasomi wafanye yao, na sisi street smart tufanye yetu🤷🏾♂️😂
😂😂Wakishika hatamu nchi haisogei,umungu mtu,wizi,njaa mitaani nk
Hata kwa Magufuli tulifanya hivyo hivyoKwanini kila jambo lake mnalaumu washauri wake?!!!
Vipi kuhusu GwajiboyMtu ambaye si wa kujaribishia kumpa nchi ni shekhe Zitto peke yake!
Huyo ndo mdini sasa! Wengine mnawasingizia tu
Hahah kweli mwananguBora kuvaa kobazi kuliko wewe mvaa ushanga.
Ila Pengo sikuhizi kauona ukweli baada ya kukumbana na dhoruba za chuma's,Huo udini wenyewe unaleta matunda baada ya kupata hizo nafasi au ndiyo mnapakana matope Tu. Upande fulani wamejaa lawama kila mtawala anapokuwa wa upande wa pili tena kwa kigezo cha udini na ukanda lakini game ikiwa kwao utosikia hayo yote. Tuwapime kwa utendaji kazi wao ndiyo msingi wa uwepo wao.
Ndo mana wote wanavaa malemba ili teuzi zisiwapiteAnaona wa dini yake ndo wanaelewana na watafanya kazi vizuri pamoja🙏isitoshe ndo wamesoma sana 😅😅😅