Teuzi za Rais Samia zina upendeleo?

yani watanganyika tusituke maana tutajaziwa wa makobazi na barakashia nchini kwetu hadi tushangae halafu kwao wao hawatutambui
 
tatizo watanzania tunakosoa kila kitu, tunajifanya tunajua kila kitu hapo najua akifanya teuzi kivingine mtasema tena hebu muachane mama afanye kazi
 
Mtoa post unadhani Rais Samia anapendelea dini gani na kwa ushahidi upi. Tuletee hapa hizo teusi tuzione ufafanue hoja zako kwa ushahidi.
Walishazoea 9:1
wakiona 7:3 wanaona bado hawajatendewa haki.
Wanajiona kama wao ndio wenye hati miliki ya hii nchi wengine wote wadandiaji tu.
 
Alishindwa kubalance mtangulizi wake nasi tukaona fresh tu..!! Saivi shida inatoka wapi? Tuchukulie poa....
 
wakichaguliwa wakristo wengi ukiuliza mitandaoni kwanini? wakristo wanakujibi kuwa wao wamesoma sana waislamu hawajasoma wanakalia kwenda kusoma quraan madrasa, wakichaguliwa waislamu wengi wakristo wanasema huu ni udini hawasemi waislamu wamesoma sana, wakristo ukiwauliza nani kaumba mbingu na ardhi watajibu mungu, ukimuuliza yesu ni nani watajibu mungu ukimuliza yesu kaaumba mbingu na ardhi watajibu hapana , hapo ujue hawa watu hawana akili
 
Eti wengine hawajajua wewe ndiye unajua. Je umejuaje.
 
Mleta mada ni kilaza yaani sukuma gang wamshauri rais kuwaondoa sukuma gang tena??

Si useme tu kuwa ulitaka kuwatetea Msoga gang kuwa ndio wanaoiharibu nchi kwa ubinafsi wao??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…