Teuzi za Rais Samia zina upendeleo?

Teuzi za Rais Samia zina upendeleo?

Ujinga ni kujaribu kubalance idadi ya wateule kwa dini au jinsia ilihali vigezo havimatch na hiyo idadi.

Kama wenye sifa bora wameonekana wote wakiume basi wateuliwe hao hao sio kuchomeka magugu ati unatafuta usawa wa kijinsia kazini hatuendi kucouple.

Kama Wenye sifa ni Wakristu wote basi wateuliwe hao sio utuchomekee pumba lwa kigezo cha dini maana kazini hatuendi kusali.

Na kama wenye sifa ni wasukuma wote basi chukua wasukuma sio ufosi mambo utatuharibia kazi.

Huu upumbavu unafanya tunapata viongoz wasiojua kazi kwa kubebwa na jinsi, dini au kabila.

Wivu ka kidini kijinsia na kikabila au kisiasa ukipona tutapata viongozi wa kweli tu.
 
wakichaguliwa wakristo wengi ukiuliza mitandaoni kwanini? wakristo wanakujibi kuwa wao wamesoma sana waislamu hawajasoma wanakalia kwenda kusoma quraan madrasa, wakichaguliwa waislamu wengi wakristo wanasema huu ni udini hawasemi waislamu wamesoma sana, wakristo ukiwauliza nani kaumba mbingu na ardhi watajibu mungu, ukimuuliza yesu ni nani watajibu mungu ukimuliza yesu kaaumba mbingu na ardhi watajibu hapana , hapo ujue hawa watu hawana akili
Fact wavaa kobaz wengi wana ilmu ilee 😅
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha ndugu zangu wanaJF.

Naungana na ndugu Charles Kitwanga kuhitimisha kwamba mama Samia ni rais mzuri mwenye uwezo wa kuivusha nchi salama lakini amezungukwa na GENGE la watu (possibly SUKUMA GANG) wanaomshauri vibaya.

Tangu Rais Samia aanze uteuzi wa viongozi, kwa kuondoa timu aliyoirithi kutoka kwa hayati Magufuli, nimekuwa nikifuatilia teuzi zake nimegundua ziko biased kwa misingi ya udini na ujinsia. Mara nyingi kila anapofanya teuzi mpya, kuwahamisha wizara au kuwafuta kazi baadhi ya wasaidizi wake, anarudia tatizo lile lile.

Nadhani huu ni mwendelezo mbaya kutoka kwa genge la watu wanaomshauri. Mfano, mzuri ni huu uteuezi aliofanya jana. Yaani uteuzi wake umejaa udini na ujinsia kila kona. Ifike mahali Rais Samia aache kusikiliza ushauri wa hili genge ili asijiingize kwenye tatizo la kuigawa nchi kidini bila sababu za msingi.

Nashauri anapofanya uteuzi ajaribu kubalance kwa sababu watanzania wote wanamtazama na bahati mbaya wengine hawajuia kama anashauriwa bibaya. Wanadhani anafanya makusudi.

Nawasilisha.
Hizi nongwa siku zote zipo afrika, ni asili yetu. JPM alivyokuwa akiwaapisha jamaa zake wa karibu huyo Kitwanga aliufunga mdomo wake.

Leo wanateuliwa watu ambao rais anawafahamu zinaanza nongwa na maneno maneno ya kipuuzi kama haya,

Tuwe wapole tu.
 
Raisi samia ni mtu mwenye utulivu katika kuamua jambo. Huo udini ni upi uliona wewe? Yeye anateua kulingana na sifa alizonazo kipngozi ikiwa ni pamoja na uchapakazi.
 
Waache wateuliwe tu mradi ni watanzania
Tatizo ni pale unapoangalia kiudini au kabila, kama alivyokuwa anateua Marehemu pia maneno yalikuwa haya haya
Haya matatizo yameletwa na awamu ya nne kwa sababu ya ile timu ya mtandao ilikuwa ni kubwa nafasi serikalini zilikuwa chache. Kama unakumbuka Mh rais Mkapa aliunda tume huru ya uajiri na akasema nafasi zote za serikalini zinapokuwa wazi zitangazwe na waombaji wafanyiwe interview kuna mzee mmoja jina lake refu akateuliwa kuongoza tume. Alipoingia rais wa awamu ya nne akaifuta ile tume na yule kiongozi akaambiwa aende likizo na akimaliza astaafu. Mchezo uliishia hapo. Kenya nafasi zote zinaombwa na interview inafanyika.
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha ndugu zangu wanaJF.

Naungana na ndugu Charles Kitwanga kuhitimisha kwamba mama Samia ni Rais mzuri mwenye uwezo wa kuivusha nchi salama lakini amezungukwa na GENGE la watu (possibly SUKUMA GANG) wanaomshauri vibaya.

Tangu Rais Samia aanze uteuzi wa viongozi, kwa kuondoa timu aliyoirithi kutoka kwa hayati Magufuli, nimekuwa nikifuatilia teuzi zake nimegundua ziko biased kwa misingi ya udini na ujinsia. Mara nyingi kila anapofanya teuzi mpya, kuwahamisha wizara au kuwafuta kazi baadhi ya wasaidizi wake, anarudia tatizo lile lile.

Nadhani huu ni mwendelezo mbaya kutoka kwa genge la watu wanaomshauri. Mfano, mzuri ni huu uteuzi aliofanya jana. Yaani uteuzi wake umejaa udini na ujinsia kila kona. Ifike mahali Rais Samia aache kusikiliza ushauri wa hili genge ili asijiingize kwenye tatizo la kuigawa nchi kidini bila sababu za msingi.

Nashauri anapofanya uteuzi ajaribu kubalance kwa sababu watanzania wote wanamtazama na bahati mbaya wengine hawajuia kama anashauriwa vibaya. Wanadhani anafanya makusudi.

Nawasilisha.

Salama mkuu? Weka hivi hapa chini halafu uje na hitimisho la Udini;

Makatibu wa Wizara
Mabalozi w nchi mbalimbali
Mawaziri & Manaibu Mawaziri
Makatibu Tawala wa Mikoa & Wilaya
Wakuu wa Mikoa & Wilaya
Wakurugenzi wa Halmashauri
Wakurugenzi wa Mashirika ya Umma na Wenyeviti wao wa Bodi

Ili tuone UDINI wa Rais Samia kwenye hayo maeneo

Asante sana[emoji1488][emoji1488]
 
Wakijazwa wakristo wala hamsemi lakini mkiona majina mawili matatu ya kiislamu yamejitokeza basi kwenu tayari huo ni udini! Hivi nyie mkoje yaani mnaona kama waislamu ni raia daraja la pili na hawastaili kupata uteuzi au haki nyingine yoyote hadi wakristo waridhie!
Mleta mada na wengine wenye mawazo kama yake walishazoea teuzi za 10:0, 9:1 au 8:2. Sasa wakiona hata 4:6, 5:5 au 6:4 wanashtuka sana.

Mama angekua mdini angepiga hata 2:8, 1:9 au hata 0:10 kama yule jamaa.
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha ndugu zangu wanaJF.

Naungana na ndugu Charles Kitwanga kuhitimisha kwamba mama Samia ni Rais mzuri mwenye uwezo wa kuivusha nchi salama lakini amezungukwa na GENGE la watu (possibly SUKUMA GANG) wanaomshauri vibaya.

Tangu Rais Samia aanze uteuzi wa viongozi, kwa kuondoa timu aliyoirithi kutoka kwa hayati Magufuli, nimekuwa nikifuatilia teuzi zake nimegundua ziko biased kwa misingi ya udini na ujinsia. Mara nyingi kila anapofanya teuzi mpya, kuwahamisha wizara au kuwafuta kazi baadhi ya wasaidizi wake, anarudia tatizo lile lile.

Nadhani huu ni mwendelezo mbaya kutoka kwa genge la watu wanaomshauri. Mfano, mzuri ni huu uteuzi aliofanya jana. Yaani uteuzi wake umejaa udini na ujinsia kila kona. Ifike mahali Rais Samia aache kusikiliza ushauri wa hili genge ili asijiingize kwenye tatizo la kuigawa nchi kidini bila sababu za msingi.

Nashauri anapofanya uteuzi ajaribu kubalance kwa sababu watanzania wote wanamtazama na bahati mbaya wengine hawajuia kama anashauriwa vibaya. Wanadhani anafanya makusudi.

Nawasilisha.
Huyu mama ni mdini sana, amefanya serikali msikiti, pili uzanzibari. Hela inapelekwa Zanzibar. Ameshikwa akili na akili na watu wachache hana maamuzi yake binafsi. Hatuna rais tuna proxy. Kuna mtu au kundi la watu linaendesha hii nchi. Km watu wanaweza kupuuza uteuzi wake na anakuja kuteua kimya kimya hapo kuna rais? Watu anaowateua ni wale wale, huu ni woga. Pummzisha watu mpaka wasahaulike. Christina ana nini kipya, Ulega eti waziri, mpaka mwanaFA? Nchi inaongozwa na wahuni.
 
Raia tunahoji. Kwa nini Baraza la Sasa limejaa Dini Moja?

Rais haoni kama hii inaweza kuleta shida badae?

Kwa nini asilekebishe mapema tu kabla mambo hayajaenda vibaya hasa hii minong'ono inayoendelea?.

Upendeleo nao umekita mizizi, yaani, watu walewale wazazi wao watufikisha hapa ndio haohao wanaendelea kupewa madaraka.
 
Raia tunahoji. Kwa nini Baraza la Sasa limejaa Dini Moja?

Rais haoni kama hii inaweza kuleta shida badae?

Kwa nini asilekebishe mapema tu kabla mambo hayajaenda vibaya hasa hii minong'ono inayoendelea?.

Upendeleo nao umekita mizizi, yaani, watu walewale wazazi wao watufikisha hapa ndio haohao wanaendelea kupewa madaraka.

Mama yupo Sahihi tuache majungu

Mimi ndo maana naipenda Sana Chadema
 
Akivurunda lawama wanapewa washauri wa kufikirika, akifanya vyema pongezi anapewa yeye!

Hili neno washauri linataka kuwa maarufu sana awamu hii ni vile tu watu hamtaki kuamini kama hiki kinachotokea ndiyo utashi wa "Mama" mwenyewe.
Point mambo yakienda vizuri anasifiwa, akiharibu wanalaumiwa washauri, kifupi maza ni mdini sn
 
Back
Top Bottom