Teuzi za Rais Samia zina upendeleo?

Teuzi za Rais Samia zina upendeleo?

Huyu mama ni mdini sana, amefanya serikali msikiti, pili uzanzibari. Hela inapelekwa Zanzibar. Ameshikwa akili na akili na watu wachache hana maamuzi yake binafsi. Hatuna rais tuna proxy. Kuna mtu au kundi la watu linaendesha hii nchi. Km watu wanaweza kupuuza uteuzi wake na anakuja kuteua kimya kimya hapo kuna rais? Watu anaowateua ni wale wale, huu ni woga. Pummzisha watu mpaka wasahaulike. Christina ana nini kipya, Ulega eti waziri, mpaka mwanaFA? Nchi inaongozwa na wahuni.
Ni mdini hatari sn na upendeleo wa waziwazi, nchi imekuwa kama Islamic state
 
Raia tunahoji. Kwa nini Baraza la Sasa limejaa Dini Moja?

Rais haoni kama hii inaweza kuleta shida badae?

Kwa nini asilekebishe mapema tu kabla mambo hayajaenda vibaya hasa hii minong'ono inayoendelea?.

Upendeleo nao umekita mizizi, yaani, watu walewale wazazi wao watufikisha hapa ndio haohao wanaendelea kupewa madaraka.
S/gang
 
Raia tunahoji. Kwa nini Baraza la Sasa limejaa Dini Moja?

Rais haoni kama hii inaweza kuleta shida badae?

Kwa nini asilekebishe mapema tu kabla mambo hayajaenda vibaya hasa hii minong'ono inayoendelea?.

Upendeleo nao umekita mizizi, yaani, watu walewale wazazi wao watufikisha hapa ndio haohao wanaendelea kupewa madaraka.
Mimi ni Mkristo-rastaman kwa uongozi w Dr Samia
Ningemshauri ikiwezeka na vitengo vyote vya serikali aweke waislam.

Maana huko tulikotoka waliweka wakristo Chinja chinja tupu tena wengine nasikia eti walikuwa ni Wachungaji
 
Raia tunahoji. Kwa nini Baraza la Sasa limejaa Dini Moja?

Rais haoni kama hii inaweza kuleta shida badae?

Kwa nini asilekebishe mapema tu kabla mambo hayajaenda vibaya hasa hii minong'ono inayoendelea?.

Upendeleo nao umekita mizizi, yaani, watu walewale wazazi wao watufikisha hapa ndio haohao wanaendelea kupewa madaraka.
Mupe Muruke style,yule Mama anapenda majungu na ndiyo maana anashauriwa vibaya.Lakini nadhani ni mkakati wa kumdhoofisha ili aonekane chenga mbele ya Wazanzibara.
 
Raia tunahoji. Kwa nini Baraza la Sasa limejaa Dini Moja?

Rais haoni kama hii inaweza kuleta shida badae?

Kwa nini asilekebishe mapema tu kabla mambo hayajaenda vibaya hasa hii minong'ono inayoendelea?.

Upendeleo nao umekita mizizi, yaani, watu walewale wazazi wao watufikisha hapa ndio haohao wanaendelea kupewa madaraka.
Kama umeshindwa kuorodhesha majina ya hao wajumbe wote wa hilo Baraza ili kujiridhisha, hii taarifa yako itakosa mashiko.
 
Wakijazwa wakristo wala hamsemi lakini mkiona majina mawili matatu ya kiislamu yamejitokeza basi kwenu tayari huo ni udini! Hivi nyie mkoje yaani mnaona kama waislamu ni raia daraja la pili na hawastaili kupata uteuzi au haki nyingine yoyote hadi wakristo waridhie!
Hapa ndipo wakoloni walifanikiwa kutugawa kwa itikadi zao na dini zilizoletwa kwa mitumbwi na ngalawa. Ukiona mtu anaendekeza udini ujue ni hamnazo kabisa.Mbona wapagani hatuwasemei, kwani wao hawastahili kuwa na uwakilishi?
 
Raia tunahoji. Kwa nini Baraza la Sasa limejaa Dini Moja?

Rais haoni kama hii inaweza kuleta shida badae?

Kwa nini asilekebishe mapema tu kabla mambo hayajaenda vibaya hasa hii minong'ono inayoendelea?.

Upendeleo nao umekita mizizi, yaani, watu walewale wazazi wao watufikisha hapa ndio haohao wanaendelea kupewa madaraka.
Hii kitu nimeikuta maeneo ya Msikiti mmoja maeneo ya Dampo,Mwanza inajadiliwa.Kumbe ata wavaa Kobazi wenzie hawakubaliani na Mama.
 
Raia tunahoji. Kwa nini Baraza la Sasa limejaa Dini Moja?

Rais haoni kama hii inaweza kuleta shida badae?

Kwa nini asilekebishe mapema tu kabla mambo hayajaenda vibaya hasa hii minong'ono inayoendelea?.

Upendeleo nao umekita mizizi, yaani, watu walewale wazazi wao watufikisha hapa ndio haohao wanaendelea kupewa madaraka.

Wakati wa dhalimu uliona sawa, acha na huyu afanye atakavyo. Mlikalia kimya huu ushenzi sasa imekuwa tabia mnalialia.
 
Waislam na Wakristo ni Kitu kimoja tofauti majina tu
STUPID! watu wanalalamika vitu vya msingi wewe unaleta ujinga. if ths is to be the trend, wakristo hawatapata ajira serikalini, nchi ya waislamu tu kazi za serikali. halafu wewe unaleta ujinga! stopthat pleae John! Ths is a very serious issue. Biafra ililetwa na haya haya ya kubagua watu fulani wakataka kujitenga wawe na taifa lao! Usiyaone madogo. watu wanalalamika kuwa TRA kuna majina yote ni Waislamu! Uko kkeka humu utafute utauona.
 
Mupe Muruke style,yule Mama anapenda majungu na ndiyo maana anashauriwa vibaya.Lakini nadhani ni mkakati wa kumdhoofisha ili aonekane chenga mbele ya Wazanzibara.
Hatodhofu hata siku moja. Mtasema hivyo hivyo mambo yanamwendea vizuri.
 
Back
Top Bottom