Teuzi za Rais Samia zina upendeleo?

Ni mdini hatari sn na upendeleo wa waziwazi, nchi imekuwa kama Islamic state
 
S/gang
 
Mimi ni Mkristo-rastaman kwa uongozi w Dr Samia
Ningemshauri ikiwezeka na vitengo vyote vya serikali aweke waislam.

Maana huko tulikotoka waliweka wakristo Chinja chinja tupu tena wengine nasikia eti walikuwa ni Wachungaji
 
Mupe Muruke style,yule Mama anapenda majungu na ndiyo maana anashauriwa vibaya.Lakini nadhani ni mkakati wa kumdhoofisha ili aonekane chenga mbele ya Wazanzibara.
 
Kama umeshindwa kuorodhesha majina ya hao wajumbe wote wa hilo Baraza ili kujiridhisha, hii taarifa yako itakosa mashiko.
 
Hapa ndipo wakoloni walifanikiwa kutugawa kwa itikadi zao na dini zilizoletwa kwa mitumbwi na ngalawa. Ukiona mtu anaendekeza udini ujue ni hamnazo kabisa.Mbona wapagani hatuwasemei, kwani wao hawastahili kuwa na uwakilishi?
 
Hii kitu nimeikuta maeneo ya Msikiti mmoja maeneo ya Dampo,Mwanza inajadiliwa.Kumbe ata wavaa Kobazi wenzie hawakubaliani na Mama.
 

Wakati wa dhalimu uliona sawa, acha na huyu afanye atakavyo. Mlikalia kimya huu ushenzi sasa imekuwa tabia mnalialia.
 
Waislam na Wakristo ni Kitu kimoja tofauti majina tu
STUPID! watu wanalalamika vitu vya msingi wewe unaleta ujinga. if ths is to be the trend, wakristo hawatapata ajira serikalini, nchi ya waislamu tu kazi za serikali. halafu wewe unaleta ujinga! stopthat pleae John! Ths is a very serious issue. Biafra ililetwa na haya haya ya kubagua watu fulani wakataka kujitenga wawe na taifa lao! Usiyaone madogo. watu wanalalamika kuwa TRA kuna majina yote ni Waislamu! Uko kkeka humu utafute utauona.
 
Mupe Muruke style,yule Mama anapenda majungu na ndiyo maana anashauriwa vibaya.Lakini nadhani ni mkakati wa kumdhoofisha ili aonekane chenga mbele ya Wazanzibara.
Hatodhofu hata siku moja. Mtasema hivyo hivyo mambo yanamwendea vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…