Kujenga uwanja sio kuingia chooni nakutoka,team zenye zinawapigaji kibao
 
Simba na Yanga ni chambo kinachotumiwa na mafisadi ya CCM wakisaidiwa na wafanyabiashara wa kigabachori kuwapumbuza watanzania ili nchi iendelee kupigwa.
 
Dawa ni kujitoa tu kwenye ligi yao ili wasitunyonye.
Maana hata tukijenga víwanja vyetu % ya mgao wa mapato ya kiwanja yatapunguzwa na kupelekwa kwengine.
 
Inashangaza kuona timu zimeanzishwa kabla wengi wetu hatujazaliwa eti bado hazina hata viwanja vya mazoezi.

Wacha ziendelee kuvuja jasho huku likitiririkia TFF , maana zinazidiwa hata na timu za shule za msingi zina viwanja japo kulingana na mazingira yao
 
Hivi mnazani GSM na Mo kupotezea suala la ujenzi wa uwanja ni wajinga sanaeee. Hakuna mfanyabiashara mwenye akili ya kibiashara atapoteza muda wa kujenga viwanja kwa hizi timu
 
Hata mjenge viwanja vyenu mtakwepa gharama za uwanja tu, hvyo vingine viko palepale
 
Na hii ndo sababu hutakuja sikia yanga/simba wanakiwanja.
 
Viongozi wa serikali hawawezi kuruhusu Simba na Yanga wajenge viwanja vyao kwa miaka hii ambayo bado Watanzania ni wajinga kwa sababu watakosa pesa za hapa na pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…