TFF yapokea barua ya Malalamiko ya Yanga dhidi ya Feisal

TFF yapokea barua ya Malalamiko ya Yanga dhidi ya Feisal

Tayari imeshapatikana sababu ya kuvunja mkataba ambayo ilikuwa ina tafutwa...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Khee kumbe bado ngoma mbichi?
Mambo ni mengi Beshti....Na Muda hakuna...

Mtu analizimishwa kufanya kitu hataki[emoji1787]

Sasa hata akirudi ile kujituma itakuwepo kweli...Au atakuwa anashindia Bench ili kumkomoa tu?

Anyway:Happy New year Beshti yake...
 
Mambo ni mengi Beshti....Na Muda hakuna...

Mtu analizimishwa kufanya kitu hataki[emoji1787]

Sasa hata akirudi ile kujituma itakuwepo kweli...Au atakuwa anashindia Bench ili kumkomoa tu?

Anyway:Happy New year Beshti yake...
Hapo sasa wamwache aende hawatakii..
Happy new year kipenzi...
Mwaka umeanza na pilikapilka
 
Kwa hiyo leo ma imani na TFF na ndio maana mnaitumia kwenye swala la Feisali?

Chukwu emeka vile vipindi vya kuchekesha nilijua vimeishia mwaka 2022
Sio KUITUMIA, huo ni utaratibu unaopaswa kufuatwa. Kwani TFF inatumiwa kupeleka wapi mashitaka? Au ulitaka Yanga waende wapi?
 
Sio KUITUMIA, huo ni utaratibu unaopaswa kufuatwa. Kwani TFF inatumiwa kupeleka wapi mashitaka? Au ulitaka Yanga waende wapi?
Kama mnaheshimu utaratibu kwanini mlikuwa walalamishi kwenye swala la Kisinda kuenguliwa baada ya kukiuka utaratibu na baadaye mkaanza kusema TFF inachuki dhidi ya Yanga?

Kwanini ishu ya kufungiwa Manara ambayo ipo kiutaratibu hamkukubaliana nayo na kuitpia lawama TFF kuwa inachuki dhidi ya Yanga?

Leo hii kwenye ishu ya Feisal kwasababu wewe ndio inakusaidia, unaona TFF ni utaratibu?
 
Yanga waaache Roho mbaya na Chuki za kipumbavu. Kijana kawatumikia kwa Moyo wote, Kitambaa cha Unahodha kavaa kwa adabu zote. Leo kaaamua kuyasaka maisha Nje ya Nchi mnamletea Giza na Uchawi wa kijinga. Kweli hii mijitu akili zao ni nyeusi nyeusi sana fooolish sana
Anachezea timu gani huko nje ya nchi?
 
Yanga wameenda TFF sababu makamu mwenyekiti ni yule wakili wa mchongo aliyewadanganya kuhusu Morison
 
Hahahahaha TFF ambayo ilikuwa inapigwa vita kuwa inachuki na Yanga leo inatumiwa kama msaada
Ndio taasisi ya awali onayotakiwa kuwa sehemu ya kisheria... Nje ya hapo naamini Kama Kuna njia mbadala yanga hawezi peleka suala lake kwa Tff hii...
 
Ndio taasisi ya awali onayotakiwa kuwa sehemu ya kisheria... Nje ya hapo naamini Kama Kuna njia mbadala yanga hawezi peleka suala lake kwa Tff hii...
Kwa hiyo Yanga imeamua kwenda TFF baada ya kukosa option zaidi?
 
Kama mnaheshimu utaratibu kwanini mlikuwa walalamishi kwenye swala la Kisinda kuenguliwa baada ya kukiuka utaratibu na baadaye mkaanza kusema TFF inachuki dhidi ya Yanga?

Kwanini ishu ya kufungiwa Manara ambayo ipo kiutaratibu hamkukubaliana nayo na kuitpia lawama TFF kuwa inachuki dhidi ya Yanga?

Leo hii kwenye ishu ya Feisal kwasababu wewe ndio inakusaidia, unaona TFF ni utaratibu?
Mbona kama huna ufahamu? Naanza kutilia ashaka uelewa wako. Malalamiko pia ni sehemu ya UTARATIBU. Unashangaa nini? Kwa hiyo ulitaka kila kitu kiwe NDIO MZEE? Hebu acha ushabiki mandazi fungua ufahamu wako
 
Caf au FIFA si ndio wanakokimbilia Rudi ishu ya Morrison na bado mtu akaliwa kichwa
Kumbe mikia wengi ni mambumbumbu wakubwa wa sheria na taratibu zake. Kwani suala la Morrison lilianzia CAF moja kwa moja? Unaelewa maana ya rufaa na wakati gani inachukuliwa?
 
Mbona kama huna ufahamu? Naanza kutilia ashaka uelewa wako. Malalamiko pia ni sehemu ya UTARATIBU. Unashangaa nini? Kwa hiyo ulitaka kila kitu kiwe NDIO MZEE? Hebu acha ushabiki mandazi fungua ufahamu wako
Mkuu upande uliosimama wewe ndio upande unaotoa hoja za kishabiki na sio mpira

Club kubwa haiwezi kuendeshwa kihuni kama vile eti kwakua tu huwezi kubali kila kitu.

Kubisha ni mwanzo wa kuruhusu maarifa mapya lakini sio kila ubishi unatija

Nakupa mfano swala la mkataba wa GSM walioingia na TFF uliona namna Club ya Simba ilivyosimamia msimamo wake ambao ulikuwa supported na sheria mpaka TFF wenyewe wakagundua wamefanya makosa?

Niambie katika yale madai yenu ya kuilaumu TFF ni wapi mlikuwa na hoja zaidi ya malalamiko yasio na tija??
 
Kumbe mikia wengi ni mambumbumbu wakubwa wa sheria na taratibu zake. Kwani suala la Morrison lilianzia CAF moja kwa moja? Unaelewa maana ya rufaa na wakati gani inachukuliwa?
Sasa nyinyi utopolo si Amna Imani na tff nendeni uko mkapate aki au shida ni mwiko uko nyuma
 
Back
Top Bottom