TFF yapokea barua ya Malalamiko ya Yanga dhidi ya Feisal

TFF yapokea barua ya Malalamiko ya Yanga dhidi ya Feisal

Sasa mimi swali langu ni moja,je kama yanga atashinda kesi hii na feisal akatakiwa kurudi yanga JE ATACHEZA KWA MOYO MMOJA AU NDO ATAJIVUNJA KILA MECHI??.

Nadhani ni heri kumuacha mtu mzima akishaamua aende zake.

Huwezi kumlazimisha mtu mzima,akiamua lake ndo kashaamua hivyo.
Atakuwa anapangwa dakika kumi tu za mwisho
 
Sasa mimi swali langu ni moja,je kama yanga atashinda kesi hii na feisal akatakiwa kurudi yanga JE ATACHEZA KWA MOYO MMOJA AU NDO ATAJIVUNJA KILA MECHI??.

Nadhani ni heri kumuacha mtu mzima akishaamua aende zake.

Huwezi kumlazimisha mtu mzima,akiamua lake ndo kashaamua hivyo.
Atakua anamkomoa nani?
 
Atakuwa anapangwa dakika kumi tu za mwisho

In case atarudi,kitu ambacho sioni kama kinawezekana,-afu yanga mnamwachiaje bm3 akati ndo kawauza hapa,kwanini akamuunganishe feisal na mawakili wake wenye roho mbaya[emoji23]?
 
Back
Top Bottom