Thamani ya pesa yetu inazidi kuporomoka. Shida ni nini?

Thamani ya pesa yetu inazidi kuporomoka. Shida ni nini?

Leo dola moja ni Tsh 2350 mtandaoni. Gharama za vitu tunavyoagiza itazidi kupanda. Shida nini pesa yetu kuporomoka namna hii? Hivi kuna namna tunaweza kuachana na kuagiza vitu kwa dola?
Baki hivyó hivyo wenzako Wana account za dólar wewe umeweke katika pesa za madafu Lazima ulilie.
 
siyo kweli kitu gani, fuatilia taarifa kutoka vyanzo vya kuaminika. Leo hii tar 24.04.2023 dola ya Marekani ilinunuliwa kwa sh. 2301 na kuuzwa kwa sh 2324. Taarifa ya BOT. nenda hata kwenye tovuti yao siyo mnajidanganya vijiweni. Huyo mpotoshaji ana malengo yake maovu.
Nenda na hiyo pesa yako uone kama hujafukuzwa
 
Mwendazake aliacha 2310 imeongezeka 40 Siku 720 tu ikifika miaka 5 itakuwaje
Ukisikia wanaahangilia mama anaonya nchi ni pamoja na kuruhusu Beru de change .hii mbona bado sana itafika 5000 muda si mrefu
 
Hamjui kusoma alama za nyakati.

Kuanzia 2023 imetabiriwa Uchumi wa Dunia kuporomoka, Mungu aliumba Dunia, akatukabidhi, Badala ya kumwabudu Mungu, tunatumia pesa zetu kumtenda dhambi.

Kila kitu kitavurugwa, ni tuanze moja, tukumbuke tulipojikwaa.

Kuanzia 2023 na kuendelea, hayupo atakayetegemea pesa ktk mabenki alikotunza akiba maana vyote vitapukutika.

Imeandikwa, mwenye HAKI ataishi Kwa Imani, huu ni mwanzo wa Ishara tu, mziki wenyewe unaanza 2024 na kuendelea.

Tutarudi tu shambani, Ili mtu ale ni lazima afanye KAZI na atoke JASHO, mifumo yote ya ajira itavurugika.

Ingia kwenye safina kama utapenda kustahimili mkwamo unaokuja .

Ameen
Sawa kibwetere safina inakamilika lini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo dola moja ni Tsh 2350 mtandaoni. Gharama za vitu tunavyoagiza itazidi kupanda. Shida nini pesa yetu kuporomoka namna hii? Hivi kuna namna tunaweza kuachana na kuagiza vitu kwa dola?
Wewe!! Ni sh 2,402 NMB hao
 
Na yeye aliikuta 1650 mwaka 2015
Mpaka anaondoka ongezeko la 660 siku 2160
Sijui angemaliza ingekuwaje
Wewe mnafiki sana! Nyie ndio
Screenshot_2023-04-24-21-01-26-995_com.android.chrome.jpg
mataahira ya Samia! Soma hapo!
 
Kwa kuwa ni wagalatia wenzako?
Mwongo mkubwa, magufuli alikuta daola 1600/= ikapanda mpaka 2300
Wewe pimbi sana! Huyo Samia amekupa nini? Taahira mkubwa unaparamia tu mada hata hoja huna taarifa!
 

Attachments

  • Screenshot_2023-04-24-21-01-26-995_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2023-04-24-21-01-26-995_com.android.chrome.jpg
    127.7 KB · Views: 3
Hamjui kusoma alama za nyakati.

Kuanzia 2023 imetabiriwa Uchumi wa Dunia kuporomoka, Mungu aliumba Dunia, akatukabidhi, Badala ya kumwabudu Mungu, tunatumia pesa zetu kumtenda dhambi.

Kila kitu kitavurugwa, ni tuanze moja, tukumbuke tulipojikwaa.

Kuanzia 2023 na kuendelea, hayupo atakayetegemea pesa ktk mabenki alikotunza akiba maana vyote vitapukutika.

Imeandikwa, mwenye HAKI ataishi Kwa Imani, huu ni mwanzo wa Ishara tu, mziki wenyewe unaanza 2024 na kuendelea.

Tutarudi tu shambani, Ili mtu ale ni lazima afanye KAZI na atoke JASHO, mifumo yote ya ajira itavurugika.

Ingia kwenye safina kama utapenda kustahimili mkwamo unaokuja .

Ameen
Unaleta kunena kwa lugha kwenye uchumi?
 
Back
Top Bottom