The New York Times lasambaza uongo Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze, au uongo tukanushe?

Ukimuangalia Paskali yule aliyemuuliza maswali Raisi kwenye Press na huyu wa leo...

Utagundua kuwa huyu JAMAA ana First Degree ya UNAFKI

Sent from my SM-M105F using JamiiForums mobile app
Nasikia alikashifiwa na rais na akakumbushwa kwamba jina lake lenyewe tafsiri yake ni Njaa, kwahiyo rais alitaka kumkumbusha kwamba yeye (Paskali) ni zao la njaa na yeye ni njaa, lakini pia nasikia aliwahi kuitwa kule bungeni akaenda kupewa vitisho alipotoka huko kuhojiwa akaja hapa amekuwa kama zezeta
 
Ukimuangalia Paskali yule aliyemuuliza maswali Raisi kwenye Press na huyu wa leo...

Utagundua kuwa huyu JAMAA ana First Degree ya UNAFKI

Sent from my SM-M105F using JamiiForums mobile app

Pascal is unquestionably an intelligent man
Ukimuangalia Paskali yule aliyemuuliza maswali Raisi kwenye Press na huyu wa leo...

Utagundua kuwa huyu JAMAA ana First Degree ya UNAFKI

Sent from my SM-M105F using JamiiForums mobile app


Binafsi naona ni zaidi ya unacho dhania, kitu cha kwanza Pascal is unquestionably an intelligent man, cha kujiuliza hapa ni kitu gani kimemsukuma kutuletea habari za kuhuma na kupuliza, behaving like a neither nor like a BAT!!

Looking back now nakumbuka Dk.Magufuli aliwahi kumtania kuhusu maana ya jina "MAYALLA" kwenye lugha ya Kisukuma - Pascal tufafanulie jina Mayalla linamaanisha nini? Je, siku hizi anakuwa driven na "Mayalla" ndio maana unakosa msimamo au unayo yaleta hapa ni usanii tu lakini msimamo wako kuhusu mwanenu wa Chato huko pale pale tangu kampein zako za 2015 ulipo kuwa unampigia debe la nguvu Mh.Lowassa, kisa? Mlisoma wote Ilboru! Bottom line is: kuwa na msimamo unao eleweka usichanganya Watanzania wenzako akili.
 

Aaah, well said - naona umeniwahi.
 
U. S wamemwibia kura trump, na amegoma kuondoka ikulu. Hilo lenyewe wamelizungumziaje
Amegomaje kuondoka ikulu??? Hivi mbona lumumba ni wajinga sana???? Unajua Raisi mpya wa Marekani kwa mujibu wa katiba yao anaapishwa lini????!

Kweli Ccm ni wajinga sana😂😂
 

As I said Pascal ni intelligent na very crafty - angalia alivyo frame habari yenyewe pamoja na link zake - lawama ni 99% wakati supposedly support ni a mere 1% - what does that tell you kwa kile anacho maanisha?
 
Fanya kazi mzee kwani ushasikia Biden anafuatilia kilichoandikwa na Mwanahalisi. Kikubwa cha kujifunza ni kusimamia tunachoamini kelele za chura haziwezi mzuia tembo kunywa maji
Au kama vipi Tcra wafungie hilo gazeti kwa muda usiojulikana. Ooh kumbe gazeti la Marekani!
 
Unakoenda Pascal Mayala utavua nguo, bipolar disorder uliyonayo imefikia at the maximum, unashangilia wauaji ? Wakiukaji wakubwa wa demokrasia, haki za binadamu , wavurugaji wa uchaguzi , watekaji , wizi wa kura , wauaji wavaa suti kwa mgongo wa siasa, mchana kweupe.
 
Acheni watu wapaze sauti zao!
Acheni watu waseme ukweli ulivyokuwa!
Acheni wasio waoga waseme udhalimu na wizi uliofanywa na ccm!
Mnaoshabikia huu wizi ni watu msio na ufahamu wala kujitambua ktk maisha yenu!
 
Nadhani ni vizuri na ni ustaarabu tuwashauri hao New York Times washughulike na uchaguzi wao ambao umekuwa kichekesho duniani pote; na nimekuwa nawaambia wasafishe nyumba yao kwanza, kabla ya kusema ya wengine. Kutokana na yanayo endelea huko US kwenye uchaguzi wao, pia nashauri tuwapuze kwani hawana na wamepoteza the so called moral authority in this area of democracy and elections. Kwa kujibu swali lako, nasema tuwapuuze hadi hapo watakapo weka mambo yao ya kisiasa na uchaguzi SAWA!
 
Umekuwaje kichekesho???
 
Hongera wewe umezidi kuianika Serikali na tume yake juu ya utekaji wa uchaguzi,maana sasa tumezidi kupata nguvu kuwa magombe yanakurupushwa na mabeberu.
 
Tanzania hakukuwa na uchaguzi mkuu bali kulikuwa na uchafuzi mkuu, asiyeona hilo apelekwe milembe
 
Kwa Mara ya kwanza nmekuelewa rangi yako. Paskali.".Mayala mana yake ni njaa "

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…