THE NEW YORKER: Rais Samia amefika Marekani kusahihisha taswira iliyoachwa na Magufuli aliyeitenga Tanzania na Dunia. Lairarua ziara ya Royal Tour

THE NEW YORKER: Rais Samia amefika Marekani kusahihisha taswira iliyoachwa na Magufuli aliyeitenga Tanzania na Dunia. Lairarua ziara ya Royal Tour

Ebu fikiria Floor tatu za Ritz carton ni vyumba vingapi? Na wamekaa muda wa siku ngapi? THE OPPORTINITY COST FALLACY njoo huku utetee safari yenu mlivyoikomba nchi!!
Yaani.....au basi!
 
The RITZ CARLTON HOTEL

Vyumba kama nyumba walizolala kina Mwigulu Nchemba na Zuhura Yunus

Waandishi wa Marekani wanasema msafara ulijaza floor tatu

89cd307b637f3fbb299dc6e384c1cf557079764c


061465efe89727ff7d44457b6efb1dbed829bae0






c6a1fd9ae3d9876a9716cba8d5cdb336c344c5c5



d3018961de5a1f0262b7b56a4c8a85724503ffd5


a8e8c3124379a1215dd35fbd31b33bc8b4d342ee


5f731a2975c7b1b819e9878eb102c94de69f924c
 
Siku sio nyingi hao The New Yorker watagundua hakuna mtawala wa CCM aliye na nia ya dhati na hili taifa, waweke akiba ya maneno.

Vyote wanavyoambiwa nao wakiwa huko nje huwa ni uongo mtupu, na hufanya hivyo ili kupata pesa za misaada pekee, hakuna ukweli wowote.

Mfano juzi Samia akiwa huko aliwadanganya ataanzisha mchakato wa Katiba Mpya, watu wakakurupuka na kuanza kutoa pongezi, matokeo yake mpaka leo bado anaendelea kuvunja sheria bila aibu yoyote.

Hebu kasome walivyoandika, acha kuwalalamikia bila kusoma.
The new yorker wenyewe wamemponda Samia.
 
Hata Adolf Hitler hadi leo anatajwa sana,ukifanya mema hata ukifa mema yako yataendelea kuishi,vile vile ukifanya maovju hata ukifa maovu yako yataendelea kuishi. Leo hii tunapomkumbuka Ben Saanane,Azori Gwanda,tunapomuona Tundu Lissu na ulemavu aliopata hatuwezi kuacha kumtaja huyo dhalim.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Umesema kweli na ndiyo maana watu kama Hayati Nyerere na Mkapa japo kuna namna wanalaumiwa kwa machache lakini hawafikii namna ambavyo huyu HAYAWANI wa Chato anavyolaumiwa. Sijui kwa nini misukule yake kama tameer au Nyankurungu2020 na Crimea pamoja na Etwege hayaelewi. Akili zao aliondoka nazo Magufuli. Ndiyo maana Zitto anawaambia wakachimbe makaburi yao chato wazikwe karibu na DIKTETA
 
Mbinu zote alizotumia Magu kupambana na Covid ndio wanazotumia sasa mabeberu.

Kipindi kile covid ikiwa juu.

Jamaa akaruhusu Ligi ya mpira kuanza tena.

Pale ndipo nilielewa the guy was good upstairs.

Wazungu jambo la kwanza walilolifanya nao ni kuruhusu ligi za michezo mbali mbali kurejea.

Hiyo ilikua mbinu nzuri sana ya kuondosha hofu katika jamii.

Nitajie mwanasoka yeyote maarufu aliyeondoka kwa korona.

Ndio ujue ile ilikua ni ajenda ya kishetani ya kupunguza watu duniani.

Na hapa JF zimeanza kuibuka nyuzi za kuishinikiza serikali kuweka sheria ya kulimit namba ya watoto katika familia.

Depopulation ndio agenda kuu kwa sasa za New World Order na ndio wenye mpini kwa sasa na ndio wenye korona yao.
Eti depopulation. Akili ya kipuuzi kabisa. Huoni watoto wa mtaani na Panya road wa kutosha? Achilia mbali ombaomba? Fikra za kusadikika, innuendos na conspiracy theories za kipumbavu zinawatesa sana wajinga mnaaojiona mumeelimika kumbe bure kabisa.
 
Dah!...upo serious mkuu ?...ina maana huko ughaibuni ndio kuna suluhisho la hayo ?

Kwamba kitakachopatikana baada ya hiyo ziara ni zaidi ya gharama za msafara ?.... tusubiri tuone
Statesman
Zinafuatwa pesa, zinazokwenda kutumika huko vijijini, tatizo letu waswahili tumejikita katika lawama mpaka tunapoteza uwezo wa kuyatazama mambo katika jicho lenye usawa.

Royal Tour mambo yakikaa sawa inakwenda kuifungua nchi kwa mapana yake. Inakwenda kutafuta wateja wa biashara zitakazoitumia treni ya umeme, wanakwenda kutafuta wawekezaji watakaoanzisha biashara zitakazoutumia umeme wa Stieglers.
 
Duuh mzafara umejaza floor tatu ya the ritz carlton Hotel.

Na wamekwenda kufanya shopping tu.

Daah.

Halafu Samia anaulizwa anapenda kufanya shopping wapi na yeye anaingia mkenge anajibu... "Calvin Klein... Zara." Anataka kuonyesha sio mshamba wa maduka ya New York. Hajui kwamba angeheshimika zaidi kama angewaambia mimi sijui maduka yenu ya nguo au sijaja kuongelea maduka ya mavazi.

Pombe Magufuli na Julius Nyerere wanabingirika kaburini.

Julius Nyerere alisema ugumu wa kazi ya Urais ni kutembea vijijini na kuona watoto wa shule matako nje, miguu peku, na una feel responsible, asingeweza kumtamkia Mzungu kwamba anapenda kufanya shopping kwenye maduka yao ya Calvin Klein na Zara! NEVER! Samia Hassan is in over her head.


Kutembea vijijini, kusikiliza matatizo ya Watanzania? SSH hana huo muda labda kusafiri nje ya nchi, kutembelea red carpet, shopping.
 
Zinafuatwa pesa, zinazokwenda kutumika huko vijijini, tatizo letu waswahili tumejikita katika lawama mpaka tunapoteza uwezo wa kuyatazama mambo katika jicho lenye usawa.

Royal Tour mambo yakikaa sawa inakwenda kuifungua nchi kwa mapana yake. Inakwenda kutafuta wateja wa biashara zitakazoitumia treni ya umeme, wanakwenda kutafuta wawekezaji watakaoanzisha biashara zitakazoutumia umeme wa Stieglers.
Weka facts straight, Royal Tour sio sababu ya hayo uliyoyataja. Bila royal tour hayo pia yangeweza kufanyika, japo sio mbaya pia kufanya hiyo royal tour.

Ila Rais kuomba kuwapa Marekani Tembo, faru na Simba ni Jambo la ajabu kidogo. Sijui viongozi wetu wa Afrika wamekumbwa na nini.
 


Neno au maana ya tishio haujalitumia vema. Labda ungefafanua tishio kivipi?
Limetumika kwa usahihi kabisa mkuu.
Tishio (threat) au kikwazo ni neno sahihi kama lilivyotumika.
Yaani hayati hakuonekana kama opportunity kwenye mipango ya aliowaita yeye 'mabeberu'

Unajua kwenye kupanga, ili mambo yaende vema, unaangalia uwezo (strength) weakness (madhaifu) fursa (opportunity) na vikwazo au vitu vinavyotishia mipango kushindwa kukamilika (threats)
Sasa, inaonesha kwenye karibu kila mipango ya mabeberu, hayati JP alionekana kikwazo/tishio!

I hope umeelewa.
 
Aisee. Mzungu si RAFIKI yako, wametuanika big time
sio rafiki hata kidogo wazungu

imagine huyo huyo Peter Greenberg aliyekuwa "rafiki" wa Samia ndio anamchana Samia kwenye hiyo article...

Peter Greenberg ndio aliyesema kwenye msafara wa Samia "everybody wants to go shopping...."

Na ni huyo huyo Greenberg aliyeliambia gazeti kwamba samaki aliyevuliwa na Samia kiukweli alitumbukizwa kwenye mtumbwi kimazingira kwa sababu Samia ni Rais, lakini hakuvuliwa na Samia. Yani Samia mwongo!

Samia hajaishi na wazungu, hajui wazungu walivyo wanafiki.
 
Back
Top Bottom