John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Karl Peters au Karl Max?Au Leninn?Naongez tu
Ieleweke.Kwa wale wasiojua, Muasisi wa Ujamaa alikuwa KCarl Peters wa Ujerumani. Na baadae kuigwa na Nchi zingine.
ujiridhie kuhusu hilo
Wazungu walijua bila ya uwepo wa aina fulani wa Ujamaa na Kujitegemea, Capitalist system ina lenda ku Collapse.
=======
Itoshe, kuna wajinga na wapuuzi waliomezeshwa nakukaririshwa maneno, kwamba Ujamaa na kujitegemea ni Itikadi ya Kisiasa kama ilivyo itikadi ya WaCommunist wa Ulaya mashariki. Sio kweli kabisa.
Hawajui wanachokiongelea.
Ukomunisti au ujamaa ni mfumo wa kijinga na siku zote lazima ushindwe tu na sababu ziko nyingi sana. Soko huria japo sio perfect lakini ndio kichocheo kikubwa cha ubunifu, uvumbuzi, maendeleo na uhuru wa binadamu kulinganisha na mfumo wowote ule.Wazungu wa west siku zote wamekuwa wakidemonize socialism na communism. There is no way watasifia ujamaa au kumsifia kiongozi wa kijamaa. Chuki za kiitikadi zipo deeply ingrained ni kama ambayo hamas hawezi kusifia chochote cha yahud au shabiki mnazi wa simba asivyoweza kuisifia Yanga.
Ni wazungu hao ndio ambao wamekuwa wakitoa skolaship kwa baadhi yetu kwenda kusoma kwenye vitabu vyao, vyuo vyao, kufundishwa na hao wazungu, na tunakuwa indoctrinated kuwa ujamaa ni mbaya na Nyerere was bad.
Kuna nchi jirani kadhaa, ambazo hazikufuata ujamaa wala hazikuwa na mtu kama Nyerere, ZIKO WAPI KIUCHUMI?
Na toka Nyerere kaondoka, tuko wapi kiuchumi?
Siyo ujamaa ni usimamizi mbovuKwa msiomjua, Thomas Sowell ni mchumi, mwanahistoria, mwandishi, mkufunzi mwandamizi katika Taasisi ya Hoover nchini Marekani,na kadhalika.
Sowell ni mzaliwa wa Gastonia, NC.
Kwenye hii video, anaizungumzia Tanzania na sera yake ya Ujamaa chini ya Rais Nyerere.
Isikilize/ iangalie halafu tuambie ni wapi kakosea.
I think he is spot on!
View: https://youtu.be/H-tUQmXQ-xk?si=UryuPvS5grgzt_rr
Ni Lawama big time.Kusema kwamba ujamaa ulifeli na legacy yake haijawa nzuri sana katika nchi sio lawama, ni kuelezea uhalisia wa historia. Pia katika taifa founders ni muhimu sana kwa sababu ndio wanaoweka msingi.
Ujamaa/Ukomunisti ni Kitu kibaya sana, hakuna ubishi juu ya suala hili.
Kufeli kwa nchi nyingi sana za Afrika zaidi sana kumesababishwa na Ubovu wa akili za waAfrika wenyewe (especially for Black Africans countries).
Rais wa zamani wa nchi ya Afrika Kusini enzi za Utawala wa Ubaguzi wa rangi Bw. Pieter W. Botha aliwahi kusema kwamba "Tuliwakataa, tuliwatenga na kuwaengua kabisa Watu weusi katika mchakato wa maendeleo ya nchi na ujenzi wake kwa sababu hawana akili nzuri. Endapo kama tungewajumuisha basi wangetuharibia mambo yetu mazuri yaliyopo Afrika Kusini leo hii."
😭😭kenya katuacha mbali sana GDP yake currently $108.+billion wakati Tanzania ina $79.+billion huoni kuna utofauti mkubwa . Per capital income ya mkenya ni $1808.+annually wakati Tz per capital income ni $1224.+ huoni utofauti mkubwa kuwa kenya katuachaKama sio ujamaa uchumi wetu ungelingana na Kenya.
😭😭kenya katuacha mbali sana GDP yake currently $108.+billion wakati Tanzania ina $79.+billion huoni kuna utofauti mkubwa . Per capital income ya mkenya ni $1808.+annually wakati Tz per capital income ni $1224.+ huoni utofauti mkubwa kuwa kenya katuachaTanzania ni kubwa karibia mara mbili ya Kenya, ina rasilimali nyingi zaidi ya Kenya na ardhi kubwa ya kilimo kuliko Kenya.
Katika muktadha upi hasa?Laana inakutafuna. Afrika ya Kusini ni ya Wazungu?
Fahamu kuwa kutoendelea kwa mataifa yoyote ya africa hakuna uhusiano na kufuata itikadi ya kijamaa au kibebari. Mifumo ya kiuchumi ya kibeberu ndiyo inayo control uchumi wa dunia. Mabeberu wakiamua kukupiga pini kiuchumi hutoboi. Na wakiamua pia wanaweza wakakuacha undelezs nchi yako lakini wakijua kuwa wao ndio wanafaidika zaidi. Na media wanacontrol wao. Wanauwezo wa kukupakazia na kusema nchi haijaendelea kwa sababu yako, na watafanikiwa.Ujamaa/Ukomunisti ni Kitu kibaya sana, hakuna ubishi juu ya suala hili.
Kufeli kwa nchi nyingi sana za Afrika zaidi sana kumesababishwa na Ubovu wa akili za waAfrika wenyewe (especially for Black Africans countries).
Rais wa zamani wa nchi ya Afrika Kusini enzi za Utawala wa Ubaguzi wa rangi Bw. Pieter W. Botha aliwahi kusema kwamba "Tuliwakataa, tuliwatenga na kuwaengua kabisa Watu weusi katika mchakato wa maendeleo ya nchi na ujenzi wake kwa sababu hawana akili nzuri. Endapo kama tungewajumuisha basi wangetuharibia mambo yetu mazuri yaliyopo Afrika Kusini leo hii."
Hii inaakisi kutokufikiri vizuri,kambona aliona yote hayoNia na malengo yalikuwa mazuri, matokeo yakawa kinyume na malengo...
Niliwahi kutazama makala moja ikielezea sababu zilizoifanya Tanganyika na sasa Tanzania kuporomoka kiuchumi na kuwa taifa hohehae, moja ya sababu zilizotajwa ni pamoja na siasa za kujitegemea na ujamaa
Elewa hoja.Yahudi anaweza kusifia hamas sio? Hamwez kuwa waelezeaji wa issue ukiwa una bias simba ulitaja yanga lakini mumeo yahudi umeshindwa kuweka vs ni kama mpuuzi mmoja hapa ety uchumi anasema ungerekebishwa na mkapa na magufuli hv huu udini mpaka lini nyie vibwetere aliona kutaja aliefata baada ya nyerere ni mwinyi akarukia mkapa than magu dah mnajua kujizima data
Thomas hajui chochote kuhusu Africa.Kwa msiomjua, Thomas Sowell ni mchumi, mwanahistoria, mwandishi, mkufunzi mwandamizi katika Taasisi ya Hoover nchini Marekani,na kadhalika.
Sowell ni mzaliwa wa Gastonia, NC.
Kwenye hii video, anaizungumzia Tanzania na sera yake ya Ujamaa chini ya Rais Nyerere.
Isikilize/ iangalie halafu tuambie ni wapi kakosea.
I think he is spot on!
View: https://youtu.be/H-tUQmXQ-xk?si=UryuPvS5grgzt_rr
Uliyakosa maduka ya ugawaji!Uongozi wa Nyerere kwenye uchumi na demokrasia ulikuwa sio kabisa. Namshukuru Mungu kutozaliwa wakati wake. Ila wazee wanasema aliyekuwa na roho mbaya enzi zake ni Kawawa. Huyu mzee alichukiwa mno kwa unoko aliokuwa nao.
Tatizo kubwa ni uongozi bora.Thomas hajui chochote kuhusu Africa.
Kuna nchi nyingi haizijawahi kufuata siasa za kijamaa na bado hali yao haina tofauti na Tanzania. Mfano Malawi.
Sio tu Malawi ilikataa ujamaa, itakataa hata kuwawekea vikwazo makaburu. Leo Malawi bado ni maskini wa kutupwa.
Kenya huwa inatolewa mfano kama nchi iliyofuata mfumo "sahihi" na kufanikiwa. Na ni kweli Kenya uchumi wao kwa miaka mingi hata leo ni mkubwa kuliko Tanzania. Lakini Kenya na Tanzania zote tulilikuwa chini ya Malkia. Sote tulikiwa tunatawaliwa kibepari kwa zaidi ya miaka 40, lakini Kenya likuwa juu, tena zaidi kuliko ilivyo sasa.
Kumbe umeelewa.Karl Peters au Karl Max?Au Leninn?
"No research no right to speak."
Mao Zedong
Unakoroga mambo tu kwa uchawa wa Wazungu. Upo kipropaganda sana weye.Ujamaa na Kujitegemea ni Itikadi ya Siasa ndiyo, hususani Siasa za Kikomunisti.
Ujamaa na Kujitegemea ni mojawapo ya misingi mikuu mitatu ya Itikadi za Ukomunisti wenye msimamo mkali, unafahamika zaidi kwa jina la "JUCHE".
Juche Ina Misingi mikuu mitatu, yaani: Jaju, Jurip na Jiraw kulingana na. Sera hiyo ya Ujamaa na Kujitegemea.
Sija angalia video hila ukimsikia mtu anasema ujamaa umehalibu tz muulize ni nchi ngapi za africa zilikuwa azifuati ujamaa hadi Nyerere anaondoka zenyewe zilikuwa bora kiasi gani ...mfano malawi au hata kenya je wakati nyerere anaondoka madarakani walikuwa wametuzidi kiuchumi kwa kiwango kikubwa kiasi gani ? Watu wanashindwa kuelewa kwa sababu ya kukosa akili nyerere alikuwa nanapigania waafrica dhidi ya wazungu hivyo fitina zao kwenye uchumi wetu zilikuwa kubwa....lengo lilikuwa kumkwamishaKwa msiomjua, Thomas Sowell ni mchumi, mwanahistoria, mwandishi, mkufunzi mwandamizi katika Taasisi ya Hoover nchini Marekani,na kadhalika.
Sowell ni mzaliwa wa Gastonia, NC.
Kwenye hii video, anaizungumzia Tanzania na sera yake ya Ujamaa chini ya Rais Nyerere.
Isikilize/ iangalie halafu tuambie ni wapi kakosea.
I think he is spot on!
View: https://youtu.be/H-tUQmXQ-xk?si=UryuPvS5grgzt_rr
🤣Faida za ujamaa kukosa akili
View attachment 3248383