TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

Hivi kumbe na yeye alikwendaga Semunge kwa Babu kupata kikombe ... Ha ha ha ha haaaaaa .... maisha ya dunia bwana yatatupeleka mitoni aisee .... da!!!

Sasa alikua anamcheka Lowasa kuwa mgonjwa kumbe na yeye mwenyewe hayuko sawa ... nikwambie kitu ... mpaka ulikua ukiona mtu anapiga gia kwenda kwa Babu Semunge ujue alikua ana ugonjwa mkubwa unao msumbua sio bure, ujue kule kulikua mbali sana
 
Kumbe lissu unayajua hayo mbona mabunge mengi yame pita uja yasema leo hii ndio unaropokwa acheni majungu nyinyi mnataka kupotosha umma waichukie serekali yao
 
Pascal Mayalla,
Kaka Mayalla.Ikulu si mahali patakatifu hata kidogo.ni mahali patakafujo.kila mbinu chafu na manyanyaso ya nchi hii order yake inatokea hapo.sasa iweje leo unataka kutuaminisha vinginevyo.huo ulikuwa msemo na ulitendewa haki wakati huo .wahusika watoke hadhalani kujisafisha juu ya tuma zinazoendelea juu yao.Mungu anawaona kila walifanyalo japo sisi kama WaTZ hatuwezi kuona kwa macho ya kibinadamu ila macho ya rohoni yanawasuta na ipo siku Mwenye haki atasimama kuwatetea watu wake hata mawe na kuta nazo zitazungumza kishuhudia hili.
 
Watu wamezushaga story za uongo za kuwapandisha chati TISS, mara wanaongoza duniani kwa upelelezi, mara sijui nini... Blah blah... Sasa wakavimba kichwa. Wanajiona untouchable! Hawasikii hawaambiliki! Vitendo vinavyoendelea vinatofauti gani na vilivyokuwa vinaendelea kipindi cha iddi amin? Watu wanatekwa, wanapotea, wanauwa maiti zinaokotwa.. Halaf kuna watu wanajifanya hawaoni haya. Wameshampa mtu umungu
 
Jana mchana kwenye kipindi cha mbiu ya mnyonge idhaa ya DW-ujerumani. Waliongelea masuala ya utekaji na udikteta yanayoendelea. Sifa hizi mbaya zimesikika kote duniani. Mpaka wakapiga nyimbo ya Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote. Inasikitisha sana CCM wameshindwa kutawala wametufikisha huku
 
Pascal pole sana,najua JKN alikuwa anashida lakini hili la kuua na kutesa kwa sababu ya kutukana,kuhojiwa sidhani kama lingekuwepo kwa JKN.

Kiongozi yeyote akishashindwa kuongoza basi matokeo yake ni kutumia idara hii kunyamazisha watu.
Kipindi ambacho watu wengi walikufa na kupotea ni kipindi cha Nyerere,na Tiss walitesa sana watu,ukikosoa tu,unakwenda na maji,matokeo yake hata wagonjwa wa akili majalalani tulikuwa tunawaogopa,tunadhani ni watu wa Tiss,kuwekwa watu kuzuizini ilikuwa ni kawaida,mahasimu wake kisiasa Crisstopher kasanga Tumbo,Lifa Chipaka,na wengineo waliwekwa kizuini kisa tu kuwa mitazamo yao haikubali....
 
TISS isifumuliwe bali iondolewe wajenge walinzi wengina wa taifa, kwa mbinu za kisasa, waliopo wengi wemeingizwa kindugu na utawala, wengi wao hawana weledi wa kungamua wabaya wa taifa. Mafunzo wanaweza kuyatumia ya nchi zilizoendelea kama vile Urusi na china au waombe kusaidiwa na Mfumo wa ulinzi wa Knisa katoriki, hawa ni balaa, angalia anavyolindwa Papa.
 
Pascal Mayalla,
Zamani hakuna idara ilikuwa na heshima kama Tiss,,heshima iyo haikuwepo kwa nidham ya uwog au walilazimisha kuheshimiwa,,HAPANA ila WELEDI,,USIRI NA UMAKINI wa watumishi wa idara husika.

Kazi kubwa ya Idara hii ni INTELIJENSIA na kazi iyo ufanywa na watu wenye uwezo mkubwa kiakili na SIO WANYANYUA VYUMA WALA WAPIGA KARETI.

Katika nchi zote zilizoendelea duniani,,idara zenye watumishi wenye uwezo mkubwa KIAKILI,,KUFANYA MAHAMUZI SAHIHI KWA WAKATI SAHIHI NA WADADISI WA MAMBO KWA KINA ni Idara 3 tuu,,nazo ni;

1)USALAMA WA TAIFA
2)ELIMU
3)AFYA.

Sasa hapa kwetu mambo yamebadilika sana tena sana,,mtu anapata zero kidato cha 4 au 6 anapewa jukumu la kulinda USALAMA WA TAIFA,,je kwa vigezo vipi?ndio maana ugonvi kidogo wa bar mtu anatoa bastola na kukutisha me usalama wa Taifa.

Zamani maofisa wa usalama ilikuwa ngumu mno kumjua kwa kuwa walikuwa wanajua "MAADILI NA MIIKO YA KAZI ZAO",,mtu hata mke/mme wake anaweza ishi naye nyumba,,kitanda 1 kwa zaidi ya miaka kadhaa hasijue mumewe/mkewe anafanya kazi usalama wa Taifa.

Vitendo vinavyosemekana sasa kama vinafanywa na idara hii kwa kweli ni aibu sana na mnaishushia hadhi idara nyeti kama hii.

Ili kurudisha HESHIMA NA HADHI ya idara hii LAZIMA MABOLESHO yafanyike.
 
Hahahaa duh we kiboko. Ujuaji mwingiii huna unalojua....yani unaleta hapa zile story zako za vijiweni....
 
Wewe mama kwa mapenzi yako ya CCM na ukada uliotukuka unatetea uozo Mara nyingi sana.Hebu shirikisha ubongo basi hata kidogo.Au jambo km hujui ni busara kukaa kimya,sio lazima kujibu kila kitu!

Msoni unayeshirikisha ubongo wako, si umesoma au... eti??? Lol

Nimetofauti au na maana ya haya


!? na .
 

Na wewe unaesema wanahusika na huu uharamia lete evidence hapa au na wewe ni sajenti katika jeshi la kina karumekenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…