Kelele nyiiingi,ROMA aeleze ametekwa na nani?kuvipaka matope vyombo vyetu vya ulinzi na usalama bila ya kuwa na facts,ni ujuha tu
TISS wanafanya kazi kubwa sana,lakini mwisho wa siku ni wao wanaotupiwa lawama na wanasiasa haswa wa upinzani baada ya mipango yao ovu,ya kuivuruga nchi kuharibiwa na TISS.
Kwenye uchaguzi wa 2010,TISS walichafuliwa sana na Chadema,kiasi cha Jacky Zoka,kuita waandishi na kusema wanasiasa msituingize kwenye mambo yenu.TISS hii mnayoilaumu,tuliambiwa zaidi ya nusu yao wanaripoti Chadema,imekuaje tena leo ndio wawe wanalaumiwa na wapinzani?
Mpaka sasa kuna tukio moja tu la utekaji,alietekwa hataki kusema katekwa na nani na kwa sababu ipi.Je kama walidhulumiana bangi au madawa ya kulevya?
Tuache ramli chonganishi,na chuki za kisiasa TISS bado wapo vizuri sana,hawahitaji hata kuguswa achilia mbali kuvunjwa