masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Pascal Mayalla,
Pasco
TISS wamefanya kazi nzuri over the years.
Kwa wale mnaoweza kuwafuatilia kazi zao hazina kujitangaza wala kutangaza mafanikio yao.
Silence to them is a tool of the game.
Kuwasema sema sana haisaidii sana lakini kwa vile sasa mambo wanyotupiwa kama lawama na wanasiasa, unaweza kuona kuwa ,pengine, nasema pengine, kuna viongozi wanawatumia visivyo.
Uzuri wa TISS, is, they are everywhere, anytime, na wanajua yote yanayoendelea.
Tatizo ni kwamba hawawezi kusema, but time will absolve and prove them right.
Tiss ni kama bata bwawani, anapiga pedali ya kufa mtu, lakini usoni wala haonyeshi.
Pasco
TISS wamefanya kazi nzuri over the years.
Kwa wale mnaoweza kuwafuatilia kazi zao hazina kujitangaza wala kutangaza mafanikio yao.
Silence to them is a tool of the game.
Kuwasema sema sana haisaidii sana lakini kwa vile sasa mambo wanyotupiwa kama lawama na wanasiasa, unaweza kuona kuwa ,pengine, nasema pengine, kuna viongozi wanawatumia visivyo.
Uzuri wa TISS, is, they are everywhere, anytime, na wanajua yote yanayoendelea.
Tatizo ni kwamba hawawezi kusema, but time will absolve and prove them right.
Tiss ni kama bata bwawani, anapiga pedali ya kufa mtu, lakini usoni wala haonyeshi.