Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Tanzania inazidi kuchanua KIDIPLOMASIA.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhusiano wetu mkubwa na nchi zilizoendelea....Huyu si alikuwepo nchini juzijuzi hapa?
Anafuata nini huku?
Sadam alikuwa ni Dikteta mbaya sana.Tont Blair mwenyewe ndio mtaalamu wa kubambikia watu kesi, alimbambikia Saddam Hussein kuwa ana silaha za maangamizi View attachment 1957604
Huyu si alikuwepo nchini juzijuzi hapa?
Anafuata ni
Ametukumbuka ama amekuja kuangalia watazidi kuchota nn kati ya tanzanite na goldView attachment 1957478
Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair ameonekana kwenye Ikulu ya Tanzania akizungumza na Rais Samia Suluhu , tunashukuru sana kwa Mkubwa huyu kutukumbuka .
Swali ni hili , Amefuata nini ?
Blair ni kiongozi wa nchi gani ?Tanzania inazidi kuchanua KIDIPLOMASIA.....
Tundu ndo angekuwa rais mambo yao yangenoga, Ila kwa Mama big no.Tony Blair alimwambia Mugabe kama hutaki ndoa za jinsia moja misaada utaisikia kwenye bomba.
Tujiandae ndoa za jinsia moja.
Wiki ijayo baba la baba David Cameron naye anakuja.
kkkkk
Unamzungumzia GURU la siasa duniani ?!!!Blair ni kiongozi wa nchi gani ?
Huenda anakuja kumfundisha mama kwamba "Demokrasia siyo Coca Cola"; lakini haiwezi kuwa karibu na 'udikteta'.View attachment 1957478
Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair ameonekana kwenye Ikulu ya Tanzania akizungumza na Rais Samia Suluhu , tunashukuru sana kwa Mkubwa huyu kutukumbuka .
Swali ni hili , Amefuata nini ?
Nilikuwa nikilitafuta jibu hili, hatimae nimelipata kwako.Ndo mwenye rimoti ya Msoga
Hawezi kumzidi baba yako udalali[emoji125][emoji125]
Kwanza ni mfadhili wa mkapa foundation,pia ni mshauri wa nchi nyingi sana na pia ni mtu wa demokrasia na utawala boraView attachment 1957478
Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair ameonekana kwenye Ikulu ya Tanzania akizungumza na Rais Samia Suluhu , tunashukuru sana kwa Mkubwa huyu kutukumbuka .
Swali ni hili , Amefuata nini ?
Hako kazee ni kajanja kajanja sana.....kuna ishu zinazohusu maslahi ya mabeberu kanaziweka sawa.View attachment 1957478
Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair ameonekana kwenye Ikulu ya Tanzania akizungumza na Rais Samia Suluhu , tunashukuru sana kwa Mkubwa huyu kutukumbuka .
Swali ni hili , Amefuata nini ?
Tony Blair ni mtu wa demokrasia na utawala bora? Ingekuwa kweli, basi aasingekuwa karibu sana na kagameKwanza ni mfadhili wa mkapa foundation,pia ni mshauri wa nchi nyingi sana na pia ni mtu wa demokrasia na utawala bora
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
unachangia shiling ngapi kwenye chanjo?Kaja kuangalia makampuni ya uchimbaji dhahabu ambayo ana hisa zake na bila kusahahu biashara ya chanjo.
[emoji38][emoji38][emoji38]unachangia shiling ngapi kwenye chanjo?
Siku mtoto wako akiwa shoga ndo akili zitakukaa sawa!!Katika ustawi wa jamii yako na familia yako, ndoa za jinsia moja zinakutatiza nini? what is so special with ndoa moja. As long as hawaingilii maisha ya wengine in whatever way, ya mtu yeyote let them live their life they think fit!