Umerithi miradi ya kimkakati na kudhamiria kuimaliza...SGR ,BWAWA LA UMEME MWALIMU NYERERE ,UPANUZI WA BANDARI ,VIWANJA VYA NDEGE n.k
Umepandisha madaraja watumishi wa umma.....(miaka mingi ilipita)
Umeanza kuajiri vijana 8000(Tamisemi+Wizara ya Afya)....vijana hao wako mitaani toka wamalize vyuo 2012...(miaka mingi hawakuajiriwa kwa wingi huo)....
Umerudisha kazini watumishi 3300 ambao WALIKWENDA KUJIENDELEZA ELIMU YA KIDATO CHA NNE.....
Umeongeza FEDHA katika "kapu" la BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU(HESLB)ili vijana wengi wanufaike....
Umefuta TOZO ya RETENTION FEE ya 6% kwa wanufaika wa HESLB....
Umeahidi kupandisha mishahara watumishi wa umma mwaka ujao wa fedha......
Unadhamiria kuinua KILIMO CHETU kwa kuzijenga barabara mpaka mashambani.....
Unadhamiria KUONGEZA IDADI YA VITUO VYA AFYA viwafikie mpaka maeneo YA NDANI HUKO....
*******************
YOTE HAYO UTAYAFANYAJE KAMA HUTOBUNI NA KUONGEZA VYANZO VYA MAPATO NA TOZO?!!!
Hebu tuweni wa kweli jama...[emoji44][emoji44]
#NchiKwanza
#TozoNiMuhimu
#SiempreJMT