Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja yako kwa 100%Bado ni ndogo sana.
Kodi ikikusanywa kiufasaha bila janja janja na rushwa, kwa mwezi trillion 5 zinakusanyika.
Kuna ukwepaji mkubwa sana wa kodi na janja janja.
Unakuta mtu ana turnover ya 200m annually ila TRA mashine inasoma 45m au 30m. Na hii ni biashara moja sasa piga mahesabu maelfu ya biashara yanayofanya ujanja.
Sijui hapa govt imeishiwa mbinu au vipi..Watu wanalaumu Kukopa huku Kodi hawalipi..
Serikali imeshindwa kuunda kikosi Kazi kweli Ili kuwabana watu wote wanaonunua bidhaa bila risiti? Polisi wapo,TRA wapo na watendaji wapo sasa sijui tatizo ni nini..
Hii nchi watu hawalipi Kodi, yaani kuna maduka ya madawa nayafahamu ya jumla wanauza balaa lakini waliacha kutoa risiti kitambo ukiomba hadi wanakushangaa mara mbili mbili..
Au TRA wekeni mawasiliano rahisi Ili tuwafahamishe.
Kwani hamtumii?, mishahara na matumizi mengineyo??Sasa hizo Trillion 8 tulizokopa ni za nini?
TRA wanatufelisha sanaBado ni ndogo sana.
Kodi ikikusanywa kiufasaha bila janja janja na rushwa, kwa mwezi trillion 5 zinakusanyika.
Kuna ukwepaji mkubwa sana wa kodi na janja janja.
Unakuta mtu ana turnover ya 200m annually ila TRA mashine inasoma 45m au 30m. Na hii ni biashara moja sasa piga mahesabu maelfu ya biashara yanayofanya ujanja.
Wewe umekalia nini? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Utabadili majina hadi kiama na hapo huchomoki!Utakalia hayo hayo mkuu
Unamkua mwendazake wewe?Sasa hizo Trillion 8 tulizokopa ni za nini?
Machadema mna hasara aiseeWewe umekalia nini? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Sasa hizo Trillion 8 tulizokopa ni za nini?
Maswali magumu unajibu kirahisi? Nani alikwambia mimi ni Chadema? Umeshidwa hoja sasa unatafuta huruma - shame on you.
Utakuwa Masikini wewe, Na unamuonea wivu aliyekuajiri.Bado ni ndogo sana.
Kodi ikikusanywa kiufasaha bila janja janja na rushwa, kwa mwezi trillion 5 zinakusanyika.
Kuna ukwepaji mkubwa sana wa kodi na janja janja.
Unakuta mtu ana turnover ya 200m annually ila TRA mashine inasoma 45m au 30m. Na hii ni biashara moja sasa piga mahesabu maelfu ya biashara yanayofanya ujanja.
Chadomo 😁😁😁Maswali magumu unajibu kirahisi? Nani alikwambia mimi ni Chadema? Umeshidwa hoja sasa unatafuta huruma - shame on you.
Huna hoja wewe, I officially ignore you.Chadomo 😁😁😁
Pale Chadomo anapobanwa kende🏃🏃Huna hoja wewe, I officially ignore you.
Ndiyo maana wakati ni mwingine ni kama unakubaliana na Mwigulu na mamake kukomaa na tozo ya miamala. Watanzania hawapendi kulipa kodi ila kwa tozo za simu wanalipa wapende wasipende.Watanzania wengi hatulipi kodi, huu ndio ukweli...hizi EFD machine zilipaswa kuwepo kila mahala.....kwa mama ntilie, viduka vya uswahilini huku, kwenye mabus ya abiria, magari ya mizigo...ifike mahala uwe utamaduni tu na jamii izoee..
Tuwekee ya ukweli mkuuHii report ni ya UWONGO
Hii mentality ndiyo tunao watanzania asilimia 90 ila tunataka maendeleo, na mambo mazuri ilihali ni wabinafsi na wezi, kuanzia raia wa kawaida mpaka viongozi wa juu.Utakuwa Masikini wewe, Na unamuonea wivu aliyekuajiri.
Ndugu, samahani sana nakuomba sana tena sana faragha.Bado ni ndogo sana.
Kodi ikikusanywa kiufasaha bila janja janja na rushwa, kwa mwezi trillion 5 zinakusanyika.
Kuna ukwepaji mkubwa sana wa kodi na janja janja.
Unakuta mtu ana turnover ya 200m annually ila TRA mashine inasoma 45m au 30m. Na hii ni biashara moja sasa piga mahesabu maelfu ya biashara yanayofanya ujanja.