TRA imekusanya Trilioni 11.11 kuanzia Julai hadi Desemba 2021 na trilioni 2.51 Desemba 2021 pekee

TRA imekusanya Trilioni 11.11 kuanzia Julai hadi Desemba 2021 na trilioni 2.51 Desemba 2021 pekee

Bado ni ndogo sana.
Kodi ikikusanywa kiufasaha bila janja janja na rushwa, kwa mwezi trillion 5 zinakusanyika.
Kuna ukwepaji mkubwa sana wa kodi na janja janja.
Unakuta mtu ana turnover ya 200m annually ila TRA mashine inasoma 45m au 30m. Na hii ni biashara moja sasa piga mahesabu maelfu ya biashara yanayofanya ujanja.
Naunga mkono hoja yako kwa 100%
 
Sijui hapa govt imeishiwa mbinu au vipi..Watu wanalaumu Kukopa huku Kodi hawalipi..

Serikali imeshindwa kuunda kikosi Kazi kweli Ili kuwabana watu wote wanaonunua bidhaa bila risiti? Polisi wapo,TRA wapo na watendaji wapo sasa sijui tatizo ni nini..

Hii nchi watu hawalipi Kodi, yaani kuna maduka ya madawa nayafahamu ya jumla wanauza balaa lakini waliacha kutoa risiti kitambo ukiomba hadi wanakushangaa mara mbili mbili..

Au TRA wekeni mawasiliano rahisi Ili tuwafahamishe.

Watanzania wengi ni wahalifu na wavunja sheria lakini pia ndio wepesi kulalamikia serikali..
 
Bado ni ndogo sana.
Kodi ikikusanywa kiufasaha bila janja janja na rushwa, kwa mwezi trillion 5 zinakusanyika.
Kuna ukwepaji mkubwa sana wa kodi na janja janja.
Unakuta mtu ana turnover ya 200m annually ila TRA mashine inasoma 45m au 30m. Na hii ni biashara moja sasa piga mahesabu maelfu ya biashara yanayofanya ujanja.
TRA wanatufelisha sana
 
Wewe umekalia nini? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Machadema mna hasara aisee

200 (13).gif
 
Bado ni ndogo sana.
Kodi ikikusanywa kiufasaha bila janja janja na rushwa, kwa mwezi trillion 5 zinakusanyika.
Kuna ukwepaji mkubwa sana wa kodi na janja janja.
Unakuta mtu ana turnover ya 200m annually ila TRA mashine inasoma 45m au 30m. Na hii ni biashara moja sasa piga mahesabu maelfu ya biashara yanayofanya ujanja.
Utakuwa Masikini wewe, Na unamuonea wivu aliyekuajiri.
 
Watanzania wengi hatulipi kodi, huu ndio ukweli...hizi EFD machine zilipaswa kuwepo kila mahala.....kwa mama ntilie, viduka vya uswahilini huku, kwenye mabus ya abiria, magari ya mizigo...ifike mahala uwe utamaduni tu na jamii izoee..
Ndiyo maana wakati ni mwingine ni kama unakubaliana na Mwigulu na mamake kukomaa na tozo ya miamala. Watanzania hawapendi kulipa kodi ila kwa tozo za simu wanalipa wapende wasipende.
 
Utakuwa Masikini wewe, Na unamuonea wivu aliyekuajiri.
Hii mentality ndiyo tunao watanzania asilimia 90 ila tunataka maendeleo, na mambo mazuri ilihali ni wabinafsi na wezi, kuanzia raia wa kawaida mpaka viongozi wa juu.
 
Pesa nyingi zote zinaishia kwenye matumbo yao hazina faida kwa raia wa hali ya chini.
 
Bado ni ndogo sana.
Kodi ikikusanywa kiufasaha bila janja janja na rushwa, kwa mwezi trillion 5 zinakusanyika.
Kuna ukwepaji mkubwa sana wa kodi na janja janja.
Unakuta mtu ana turnover ya 200m annually ila TRA mashine inasoma 45m au 30m. Na hii ni biashara moja sasa piga mahesabu maelfu ya biashara yanayofanya ujanja.
Ndugu, samahani sana nakuomba sana tena sana faragha.
 
Back
Top Bottom