Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inamaana hujui kuwa tunalipa madeni ya nyuma au unajusahaulisha makusdi. Unavyosikia tunadaiwa trillion 70 hujui kwamba tunaendelea kulipaMbona tunakopa
Kwa nn tukupe sasa na pesa nyingi inapelekwa Zanzibar ambao hata hawawezi kulipa denjMamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya TZS trilioni 2.51 Desemba 2021, kikiwa ni kiwango cha juu zaidi kuwahi kufikiwa tangu kuanzishwa mamlaka hiyo mwaka 1996.
Aidha, Julai - Desemba 2021, TRA imekusanya TZS trilioni 11.11, sawa 98% ya lengo la TZS trilioni 11.302.
View attachment 2065326View attachment 2065327
kipimo chako kwenye buku buku za barabarani? Ile sio rushwa Ni mfano wa rushwaUkweli ni kwamba mwamko wa watu kulipa kodi umepungua, kwa sasa mambo ya EFD wafanyabiashara hawaogopi tena tofauti na miezi michache imepita. Hayo makusanyo ya kuvunja rekodi yanatoka wapi?
Ni sawa na kusema rushwa imepungua wakati imeongezeka mara dufu. Polisi (hasa wale wa barabarani) siku hizi wanaomba rushwa waziwazi bila kificho, na kwangu mimi hawa jamaa ndiyo kipimo cha rushwa inchini.
Kazi inaendelea, kuna watu walitamani Awamu ya 6 isikusanye kodi kabisaAisee!
Tangazeni pia matumizi ya serikali ya kila mwezi.Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya TZS trilioni 2.51 Desemba 2021, kikiwa ni kiwango cha juu zaidi kuwahi kufikiwa tangu kuanzishwa mamlaka hiyo mwaka 1996.
Aidha, Julai - Desemba 2021, TRA imekusanya TZS trilioni 11.11, sawa 98% ya lengo la TZS trilioni 11.302.
View attachment 2065326View attachment 2065327
Imekusanywa Tsh ngapi?Kuna watu wanaamini kuwa kweli hiyo hela imekusanywa???? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuongoza mafala raha jamani duu
Huna akiliSasa hizo Trillion 8 tulizokopa ni za nini?
Ni mapumbavu kabisa, hayana jema, always kuiombea serikali mabayaHii mijitu ndio maana mwendazake alikuwa anafungasha kwenye viroba