TRA imekusanya Trilioni 11.11 kuanzia Julai hadi Desemba 2021 na trilioni 2.51 Desemba 2021 pekee

TRA imekusanya Trilioni 11.11 kuanzia Julai hadi Desemba 2021 na trilioni 2.51 Desemba 2021 pekee

Kuna watu wanaamini kuwa kweli hiyo hela imekusanywa???? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuongoza mafala raha jamani duu
 
Kwamba kwa sasa Azina imejaa.. . Anyway nchi hii drama haiwezi kuisha hata kidgo. .
Yaani unazalisha trillion 2.5 per month then unaenda kukopa 1.3tril,
 
Zittoo Kabwee siku hizi hatii neno kwenye hayo maswala!

Awamu ile alikuwa anasema kana kwamba was cooked but he is keeping silent .

[emoji3][emoji3]
 
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya TZS trilioni 2.51 Desemba 2021, kikiwa ni kiwango cha juu zaidi kuwahi kufikiwa tangu kuanzishwa mamlaka hiyo mwaka 1996.

Aidha, Julai - Desemba 2021, TRA imekusanya TZS trilioni 11.11, sawa 98% ya lengo la TZS trilioni 11.302.
View attachment 2065326View attachment 2065327
Kwa nn tukupe sasa na pesa nyingi inapelekwa Zanzibar ambao hata hawawezi kulipa denj
 
Ukweli ni kwamba mwamko wa watu kulipa kodi umepungua, kwa sasa mambo ya EFD wafanyabiashara hawaogopi tena tofauti na miezi michache imepita. Hayo makusanyo ya kuvunja rekodi yanatoka wapi?

Ni sawa na kusema rushwa imepungua wakati imeongezeka mara dufu. Polisi (hasa wale wa barabarani) siku hizi wanaomba rushwa waziwazi bila kificho, na kwangu mimi hawa jamaa ndiyo kipimo cha rushwa inchini.
kipimo chako kwenye buku buku za barabarani? Ile sio rushwa Ni mfano wa rushwa
 
1641080005155.jpeg

1641080024582.jpeg
 
===
Tangu Uhuru wa Taifa hili la Tanzania na tangu uasisi wa TRA mwaka 1996 hakuna kipindi chochote katika historia ya ukusanyaji kodi|mapato tulikusanya TZS 2.51Trilioni kwa mwezi mmoja,

Pamoja na kwamba ukusanyaji kodi wa awamu hii ya Sita ni rafiki na hakuna kukimbiza wafanyabiashara wala zile "Presumptive Tax Accessment" hazipo tena, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan,

Kama kuna mtu wa kuombewa kwa nguvu zote na Watanzania wote bila kujali tofauti zetu basi ni huyu Mama,

IMG-20220102-WA0004.jpg


IMG-20220102-WA0003.jpg
 
Back
Top Bottom