samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,223
Na sababu hasa ilikuwa ni kukurupuka ili kumfunika Lisu.
kwahiyo Rais wa nchi aache kuhutubia watu wake eti kwasababu ya Lissu.... Rais kuhutubia au kutoa salamu za Mwaka mpya mbona ni utaratibu wa kawaida tu....kwa hiyo alikuwa anashindana na Lissu.