Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Utafanyeje makosa makubwa kama hayo? Leo ni zaidi ya 72hrs hakuna any official statement kutoka kwao ya kukosoa au kurekebisha statement hio. Then nyie vibaraka ndio mnahangaika hapa, mtakua wajingaUnafikiria alikusudia kusema hivyo au ni makosa ya kiuandishi kwenye hutuba...?
Hotuba iliyohakikiwa? Mmmhhh, kuna uongo mwingi sana huwa unasemwa, kiasi tunashindwa kujua ipi ni kukosea na upi ni uongo. Rejea ujenzi ni wa fedha za ndani, leo hii ukweli uko wazi kubwa ilikuwa mikopo. Sababu hasa ya uongo wa serikali ni kuhadaa umma kuwa mambo ni mazuri.
EU nako mmekwama naona,
Tozo za miamala ya simu tunakatwa kwa ajili ya madawati na madarasa, kila mwezi zaidi ya bilioni 100, pesa za covid tumekopa Trillion 2 kwa ajili ya madarasa na madawati, bado tunekopa tena trillion 8 kwa ajili ya madarasa na madawati na Zanzibar, sasa madarasa ya Trillion 10 unayajua vizuri wewe?Kwani hamtumii?, mishahara na matumizi mengineyo??
Mtakwama tena, Mungu hawezi kukaa na watu wenye tabia za aina yenu,Tumekwama kabisa Boss, ngoja tujaribu SADC.
Kabisa kaka ndio siasa zetu zilipofikia, hela za umma zikitolewa unaambiwa ni pesa za rais, ila deni sio la rais ni la taifa! Hapo imekaaje kwa upande wako?
Mhusika aliamua kutumia siasa zilezile mnazopenda za kufurahisha watu ili kupata popularity na kuamua kuchanganya maneno kwa tafsiri hela hizo za mikopo mwisho wa siku zitalipwa na Watanzania ( ndio tafsiri yake ya fedha za ndani)...
Mtakwama tena, Mungu hawezi kukaa na watu wenye tabia za aina yenu,
Hayo mapato ya bil.100 kila mwezi yangekuwepo ungejenga sgr bila mkopo,,acha kuongea uongo na vitu usivyovijua.Tozo za miamala ya simu tunakatwa kwa ajili ya madawati na madarasa, kila mwezi zaidi ya bilioni 100, pesa za covid tumekopa Trillion 2 kwa ajili ya madarasa na madawati, bado tunekopa tena trillion 8 kwa ajili ya madarasa na madawati na Zanzibar, sasa madarasa ya Trillion 10 unayajua vizuri wewe?
Kwa maana hiyo tunakopeshwa pesa zetu wenyewe, halafu tunalipa na riba juu, tena riba ukute ni 40% na mkataba ni siri. Yaani tunalipa trillion 10 madeni, halafu hizo hizo tulizolipa wanatukopesha tena, hii ni a deadly vicious cycle, we need to break it, Ndugai azidi kupaza sauti!Zakulipa deni hilo
Utafanyeje makosa makubwa kama hayo? Leo ni zaidi ya 72hrs hakuna any official statement kutoka kwao ya kukosoa au kurekebisha statement hio. Then nyie vibaraka ndio mnahangaika hapa, mtakua wajinga
Inflation ya 3.5% utaipata wapi kama sio Tanzania pekee kwa sasa?Atakaa na nyie mlioshindwa kudhibiti inflation.
Kila kitu unabuni huna uhakikaKwa maana hiyo tunakopeshwa pesa zetu wenyewe, halafu tunalipa na riba juu, tena riba ukute ni 40% na mkataba ni siri. Yaani tunalipa trillion 10 madeni, halafu hizo hizo tulizolipa wanatukopesha tena, hii ni a deadly vicious cycle, we need to break it, Ndugai azidi kupaza sauti!
Makato ya miamala ya simu kwa ajili ya tozo ya kizalendo kwa mwezi wa 7 kwenda wa 8 Mwigulu alitangaza tumekusanya around 50 billion shillings, achilia mbali 80billion kwa wastani zinazokusanywa kwa mwezi kama makato na kodi ya kawaida ya kwenye simu, jumla jin130bn, hivyo kwa wastani ni 100bn. Bishana na data.Hayo mapato ya bil.100 kila mwezi yangekuwepo ungejenga sgr bila mkopo,,acha kuongea uongo na vitu usivyovijua.
Kama aliamua kutumia siasa hizo hizo tunazopenda na akaamini atatupa, ule uporaji kwenye uchaguzi ulikuwa wa nini wakati wajinga tulishamuamini?
Halafu hizo kodi zinaenda kulipa mikopo ya chanjo dozi milioni 2 ambazo hakuna mtu mwenye mpango wa kuzichoma, unadhani hayo ni matumizi sahihi ya akili?!Ndiyo maana wakati ni mwingine ni kama unakubaliana na Mwigulu na mamake kukomaa na tozo ya miamala. Watanzania hawapendi kulipa kodi ila kwa tozo za simu wanalipa wapende wasipende.
Mpwa, nalazimika kuamini kuwa akili zako hazina akili! Let's close this chapter! Una argue ujinga, kama hakuna time limit ya kufanya hivyo basi Wacha tuendelee kuamini dollar bilion 6 Hadi hapo watakapopata huo muda unaosema.....kwani kuna sheria yeyote inayowabana kwenye masaa yakufanya marekebisho?....wahusika unafikiri ni watu masela wa vijiweni, wewe ukilalama basi kesho tu wakujibu....lazima tathmini ifanyike na athari zipimwe ndio waone umuhimu wa kufanya hiyo official reseal ya kucounter...
sababu za kupika hizo data ni zipi?Ningeshangaa kama usingetokea kwenye hii data ya kupika ili kuhadaa umma. Magu alipandikiza sana hii tabia ya kupika data, na itachukua muda sana kuondoka.
Mwambie Ndugai kwamba anabuni, maana yeye hiyo mikataba kaiona, na anakwambia “tunalipa trillion 10 kwa mwaka, mariba matupu”.Kila kitu unabuni huna uhakika