Gari ambazo ni mtori ni zile za bei ya chini ya 7.5m!Mkuu huogopi kuuziwa mbuzi kwenye gunia?, maana ndo tatizo kubwa ambalo wengi wanalikimbia kununua magari bongo
Njoo na ushahidi wako.Sio kweli,narudi hapa na ushahidi wa kumvua mtu nguo
Sure!Yale mameli mabovu yaliyokuwa yamerundika feri pale miaka ya 90's hadi yakawa machaka ya vibaka, hivi sasa yote yameliwa na wafanyabiashara wa vyuma chakavu. Hata yale magari yaliyopata ajali na kushindwa kukarabatiwa. Kwa hiyo hoja ya "dumping place" ya huyo jamaa uliyemjibu ni kweli haina mashiko kwa sasa.
Pamoja na kuhamasisha Viwanda vya ndani, kwani viwanda vya kutengeneza magari vipo vingapi hapa Bongo?Hapo wanahamasisha viwanda vya ndani..[emoji28][emoji120]
Kamuulize jiwePamoja na kuhamasisha Viwanda vya ndani, kwani viwanda vya kutengeneza magari vipo vingapi hapa Bongo?
Sio ushuru tu haina rivasi pia
Kuna jamaa alinunua lakini alipofika spidi 70kph engine ika paralyse.Kuweni wazalendo, nunueni nyumbu nimewahi kuyaona kwenye sherehe gani sijui hayana ushuru wa kuingiza
View attachment 1477424
Watuwekee viwanda ili tupate unafuu
We nawe ni limbukeni tu.Acha tu uwe mkubwa sio kila mtu amiliki gar bhna. Hata hadhi ya kumiliki gar imeanza kupungua. Nashauri ushuru uwe mara 4.
Gari baya kama kichwa cha jiweKuweni wazalendo, nunueni nyumbu nimewahi kuyaona kwenye sherehe gani sijui hayana ushuru wa kuingiza
View attachment 1477424
Hii gari kweli Ni nyumbuKuweni wazalendo, nunueni nyumbu nimewahi kuyaona kwenye sherehe gani sijui hayana ushuru wa kuingiza
View attachment 1477424
Acha kuleta theory zisizokua na msingi tunalize ubishi huu nenda beforward.co.jp angalia gari inaitwa VW Jetta ya 2009 au 2010 utaona CIF yake ni kuanzia $3000-4000 lakini ukija lwenye calculator ya TRA CIF iliyowekwa ni $9000 ambayo inaleta kodi ya 18,500,000 sasa hapo unasema evidence zipi zinatakiwa kuletwa ? Proof of payment? Commercial Invoice ? Wakati hizo documents zote haziwi attached kwenye TANCIS?Hiko kitu hakipo, ila wewe upo na shida ya uwelewa wa kikotoo cha kodi ya magari. Kikotoo kimewekwa kwenye standardization ambayo kwa kila CIF (cost of insurance and Fright) matokeo yake ya kodi hayawezi kuzidi gharama za manunuzi.
Sasa shida inakuja umepata vipi gari kupewa gari bure, kununua gari mnadani, umenunua gari mkononi kwa mtu. Kwahiyo ikiwa gharama ulizotumia kuipata hyo gari zipo china kutokana na makadilio yaliyowekwa kwenye kikokotoo lazima italeta matokeo ya kodi kua kubwa zaidi ya Gharama za gari.
Note; Sheria ya kodi inasema, kodi inakua calculate kwenye CIF *whichever is higer* kati ya makadilio ya CIF kwenye TRA calculator na gharama halisi za gari hadi inafika port(CIF).
Pia, first method ya calculation za kodi ya forodha zinafanyika kwenye gharama halisi( actual transaction value) ila hii kwenye magari inakua applied endapo utatoa Reasonable evidence kua hiyo gari umeipata kwa hiyo gharama kwasababu makadilio ya gharama yalishafanyika na kupata Tools ya kutafuti kodi( TRA calculator).
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni swala la mtu kutoka bush sio sera ya serikali wala niniSiyo swala la mtu katoka wapi, hiyo ni sera ya serikali hata ukienda wewe hapo TRA utatumia formula hiyo hiyo
Kama haina ushuru utakuwa mtambo huo.Kuweni wazalendo, nunueni nyumbu nimewahi kuyaona kwenye sherehe gani sijui hayana ushuru wa kuingiza
View attachment 1477424
Serikali ipo mbioni kuanzishaHivi ulempango wa kuunda magari hapa Tz umefikia wapi .. Mwenye up-to-date jamani