Hahaha walime barua nyingineHawa TRA kuna siku walinitumia msg 4 mfululizo, kisimu changu kidogo kilivibrate hadi kikaanguka. Ila biashara yenyewe nilishafunga kitaambo
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Umruke m-TRA ambaye hajafikisha target ya mwezi.. Kabisaa..!!??? Umewahi fuatwa na TRA?Boss ila ukiwa na barua ni rahisi kuwaruka
Kuna jamaa mmoja alikuja kutembea kwetu kama mtalii mnyonge. Akaona fursa, akatafuta mkopo, akawekeza na sasa ana kampuni kubwa inayo ajiri watu wengi tu na ni mlipa kodi mzuri. Lakini ilimchukua muda na kujinyima sana mpaka kufika alipo sasa. Nadhani angekuja wakati huu angeisharudi kwao zamani sana. Na ndugu zetu wangeendelea kusota bila ajira. Wako wengi tu kama hao ambao wanaona fursa ambazo sisi hatuzioni na wana uwezo wa kuzitumia vizuri. Tusiwakatishe tamaa.Point yangu ni matumizi ya lugha. Anyway, wafanyabiashara (wawekezaji) gani hao? Wanakuja na briefcase ya makaratasi wakitegemea fedha ya ndani! Hapo cash inflow iko wapi? Watu wa aina hiyo wakiondoshwa kuna hasara gani?
Aidha kuna utaratibu wa mawasiliano na TRA kama biashara yako haija-takeoff. Je, wamefanya hivyo?
Inawezekana kakaUmruke m-TRA ambaye hajafikisha target ya mwezi.. Kabisaa..!!??? Umewahi fuatwa na TRA?
Noted.Kwa hio according to wewe watakuja wengi sana ee?
Ulicheza vemaMimi ajira sikuitupa nilikua naangalia upepo, nimeona upepo unavyovuma nimeielewa situation wanayoipitia wafanyabiashara
Kwanini wasilipe kodi?Jioni ya leo, TRA imevamia na kufunga ofisi moja ambayo ilikuwa bado haijaanza kufanya kazi wakidai kodi. Hii ni kampuni ya Waturuki inayohusika na kutengeneza tiles za majengo. Mashine zililetwa lakini kwa bahati mbaya jamaa walishindwa kuanza kufanya kazi kutokana na mtaji kutokutosha.
Waturuki walitegemea kupata mkopo kwenye moja ya mabenki ya ndani, kitu ambacho kimechelewa. Mategemeo yao ilikuwa ni kupata mkopo mwezi wa 4 lakini hadi Desemba mkopo ulikuwa bado haujapitishwa. Kwa maana hiyo hawakuwa na jinsi ya kuanza operations zao.
Hii kampuni ipo maeneo ya Mbezi Afrikana, na kwa bahati mbaya, magari ya TRA wamevamia jioni hii na kufunga ile ofisi na kumchukua mtu anayesimamia ile mali maana wengine inaonekana wako nje ya nchi. Na kwa sababu hakuna kazi, ni mmoja wao amebakia pale kulinda mali.
Unapofuka kituo cha uwekezaji, unaeleza aina ya biashara na mtaji unaokuja nao. Vigezo vinayoonyesha wewe umejiandaa au ni tapeli. Kwa taarifa yako kampuni kama hizi ni za Watanzania wajanja wanaotafuta wawekezaji ama kuwauzia au kuingia nao ubia. Kosa lolote kabla ya muwekezaji kukamilisha taratibu zenu ni lako muanzilishi sio waturuki ambao hawajatambiliwa kisheria. Ati amekutwa mtanzania anayelinda mali Waturuki wako kwao, wanasubiri Mkopo unaofanywa na local bank😂😂 kukitokea queries, bank inasubiri walioko uturuki😃😃Mtu kama wewe ukiajiriwa TRA ndio unaenda kufunga ofisi za wawekezaji kwa sababu ya umbumbu wako
Nani aliyejuambia muwekezaji toka nje ya nchi haruhusiwi kukopa katika local bank
Lakini pia hapa Tanzania zipo bank za nje zimefungua matawi hapa Tanzania
Bank Huwa zinaangalia faida hivyo zinamkopesha mtu yoyote endapo wakiona watapata faida
Samahani nakutukana. Wewe huna akili kabisa na utakuwa masikini wewe na kizazi chako milele kwa akili hizoBasi kabla hawajaja wangetumia hizo equipment zao zenye thamani ya collateral kuomba mkopo KWAO!
Hawakopesheki kwao wanadhani watakuja kupeta kwenye mabenki ya wendawazimu wa Afrika.
Wamekutana na ngoma ngumu Ikulu...
Julius Nyerere, aliyekuwa hatetemeki mbele ya Mzungu, Mwarabu na Mkenya, amefufuka katika wafu.
Yaani hao wawekelezaji wanataka mkopo waupate hapa hapa nyumbani, ndo maana wanyonge tunapigwa riba kubwa hata na benki za umma kama CRDB na NMB.
Kwa akili yako unadhani wawekezaji wanawekeza na hela zao za mfukoni????Unapofuka kituo cha uwekezaji, unaeleza aina ya biashara na mtaji unaokuja nao. Vigezo vinayoonyesha wewe umejiandaa au ni tapeli. Kwa taarifa yako kampuni kama hizi ni za Watanzania wajanja wanaotafuta wawekezaji ama kuwauzia au kuingia nao ubia. Kosa lolote kabla ya muwekezaji kukamilisha taratibu zenu ni lako muanzilishi sio waturuki ambao hawajatambiliwa kisheria. Ati amekutwa mtanzania anayelinda mali Waturuki wako kwao, wanasubiri Mkopo unaofanywa na local bank😂😂 kukitokea queries, bank inasubiri walioko uturuki😃😃
Sawa linaweza kuwa kosa ni langu kuchelewesha kukabidhi barua ya kuwa nimefunga biashara,Hapa sasa kosa lako.
Ingawa hoja yako ya msingi kuhusu TRA kuwa waelewa na flexible kea wafanya biashara upo sahihi sana.
Hapo unaingilia uhuru wa watu, mtu akichangia wewe waache waongee wanavyojisikia hapa ni uwanja wa hoja ukileta siasa ukileta hoja makinikia ni wewe tu as long hujavunja sheria, mtu anunue bundle bado mpangie achangiaje nini mekuTatizo la jf wachangiaji wengi nawanaopewa kipaumbele ni wachadema.
Hawawezi kuchangia bila kuinguza siasa zao za kisariti.
Hawa waturuki kama hujui walipoanzisha kile kiwanda walienda moja ya bank (sitaitaja) wakakopeshana kwa njia isiyo halali, kwa maana ya viongozi wa bank hyo nao walikula kupitia mgongo huo.
Nadhamana kubwa ilikuwa ni aridhi kwa maana ya kiwanja na mitambo, lakini mitambo wakathaminisha zaidi ya thamani husika.
Wakapiga pesa, bank nayo ikajifia, ndo moja ya bank zilizofutwa.
Kumbuka pesa niza wanahisa naniza seeikali, waturuki wakasepa, ndo serikali inaendelea kung'ata mmoja mmoja.
TRA wako nao wanadai kodi zao. Kosa liko wapi???
Hakuna kama Lissu. Na bado lazima watanzania tujute kweli kuogopa kukipigania kile kichwa kukaa ikuluTax payers bill of rights ndiyo suluhisho la haya yote.
Mungu akulinde sana Lissu huko uliko.
They dont care.Me bado nawalalamikia TRA kuongeza kodi ya leseni ya udereva toka 40,000 hadi 70,000 (75%). Mtu mzima nimetoka home na elfu 50, nikijua nalipa elfu 40 nabakiwa na hela ya kula, nakutana na bili ya elfu 70. Hivi TRA wanaona kila dereva ni tajiri eenh? Hawajui wengine tunategemea hizo leseni tupate mkate wa siku?
Mnatukamua kila sehemu hadi tutatoka damu badala ya maziwa
Hiyo Tax payer bill huko Bungeni wataenda kuijadiri wakina Babu Tale, MwanaFA , kibajaji, Musukuma, n.kTax payers bill of rights ndiyo suluhisho la haya yote.
Mungu akulinde sana Lissu huko uliko.