TRA yakusanya Trilioni 22 mwaka wa fedha 2021/22, Nauliza tena Nani kama Samia?

TRA yakusanya Trilioni 22 mwaka wa fedha 2021/22, Nauliza tena Nani kama Samia?

Hakuna wa kushindana na Samia mkuu,ameshawaacha midomo wazi..

Mwaka ujao tunataka TRA wakusanye Til.25 yaani til.2 kila mwezi ita make sense na I hope itakuwa hivyo nikiangalia trend ya mwezi Juni.

Kwa makusanyo hayo ni wastani WA Til.1.85 kwa mwezi ambapo ni mbali Sana na kufikia Til.2 kwa mwezi.

Hata hivyo ni mafanikia makubwa kwa Mwaka mmja kutoka wastani WA Til.1.5 hadi Til.1.85 ongezeko la Bil.350 kwa mwezi..
nyie ni watu wakusifia makusanyo wengine tunataka kujua makusanyo hayo yamefanya nini
 
Ukitulia utanielewa ndugu, TRA waseme kwenye ripoti yao kodi imekusanywa kutoka wapi?ununuzi uliofanywa na serikali katika ujenzi wa SGR na Bwawa la Mwalimu na pia ulipaji wa madeni makubwa ya wakandarasi wa hii miradi ya mikakati baada ya kupata mikopo nafuu na uendelezaji wa awamu nyingine mpya za SGR na ujenzi mkubwa uliofanyikq nchi nzima kutokana na fedha za Covid 19 nk vina impact kwenye kiwango cha kodi kilichokusanywa lakini inawezekana tax base imepungua au hata makusqnyo ya kodi za biashara za ndani.kupanda bei kwa bidhaa mbalimbali pia kumeongeza kiwango cha kodi ikiwemo kupanda kwa bei ya mafuta ya nishati na kula...kodi itakayoleta impact itatokana na uwekezaji kqtikq viwandq,utalii,nk...ndiyo maana kuna kipindi huko nyuma kulikuwa na sheria ya kuzuia manunuzi ya serikali kukatwa kodi. Sijui kama unanielewa.
Yaani ukielewa logic ya Economics huwezi uliza hayo maswali yako kwa sababu matumizi ya pesa za mikopo kwenye purchases ni sehemu ya hayo makusanyo..

Hizo pesa zimeingizwa kwenye mzunguko na hivyo kuchochea uchumi zaidi..
 
Ashukuru magufuri alijaribu kutengeneza miundo minu ameikuta nchi iko mahali pazuri aliyepokea toka mzee wa msoga aliikuta bot chungu hakina hela
Hauna taarifa sahihi. Rais Samia hakukuta fedha yeyote. Yale mambwembwe ya TASK FORCE na fedha za Plea bargain kutoka kwa walioitwa "mafisadi" zilikuwa zinawanufaisha Magufuli na watu wake. Miradi yote mikubwa alikuwa anajenga kwa kukopa toka mabenki. ya ndani na nje, huku akiwadanganya wananchi kuwa ni fedha za ndani.

Alichofanya Samia ni ku restructure miradi mikubwa ili imalizike kwa muda wa mbali bila kuleta stress kwenye makusanyo na matumizi. Ndiyo maana tunaona anaweza kuongeza mshahara wa watumishi wa umma na kutoa ajira kwa wahitimu wa vyuo.
 
Ukweli ni kuwa sasa fedha inapatika mtaani hivyo kuwezesha watu wengi kulipa kodi. Kwa mfano nilipo hapa kata ya Maskati Mvomero, mwaka jana muda kama huu debe la mahindi lilinununuliwa kwa mkulima kwa Tsh 5,000 lakini Leo ni Tsh 10,000, kwa Nini mkulima asiishukiru serikali yake? Wilayani Kyerwa mwaka juzi kg ya kahawa maganda ilininuliwa kwa Tsh 950 Leo ni 1650, hapo pato la mtu mmojammoja limeongezeka na raia watatumia huduma mbalimbali na kupitia Hilo tayari serikali inakusanya Kodi ya kutosha.
 
Ndio shida ya wahuni ata kutunga uongo awajui.

TRA imekusunya 99.2% ya budget yao; kwenye mikopo maza amepitiliza ata iliyopangwa kwenye budget.

Halafu waziri juzi tu ametuambia budget imefikiwa 78% kuna short fall ya 22% imesababishwa na nini kama source zote za budget makusanyo ni karibu na 100%.

In the mean time nchi imeongezewa risk ya ku default from low to moderate, imeshushwa uchumi wa kati na kupata non-concessional loans za miradi isiyofadhiliwa na WB imekuwa shida.

Ni sawa na kusema mshahara wako kwa mwezi sh million kumi lakini kila siku unaomba hela ya mafuta nyumba ya jirani; ni kujiongopea mwenyewe.

Watanzania wamewazidi uwezo wa kufikiri propagandist wa ‘bi-tozo; hadithi zao ni za kujitekenya na kucheka wenyewe not consistent with other economic variables.

You do know waziri wa fedha alielezea shortfall ya budget ikiletwa hapa hiyo speech ndio utaona kiwango cha upuuzi wa huyo Kidata.
 
Huyu ni mwajiriwa kodi za wananchi ndio zinamlipa mshara, hela ya matibabu,malazi , usafiri na kiinua mgongo akistaafu iweje iwe siri?
Mnaanza nongwa za kijinga badala ya kuwa wabunifu katika kutafuta riziki, fursa nyingi zimeshaachiwa.
 
Watwambie kabisa na makusanyo ya miamala wanazokata kama vile kutukomoa ni shiling ngapi na kazi zake maana wanakamua mpaka damu, maana siku hizi kodi zinakusanywa mpaka kwenye vibaraza vya watu, mtu kuchukua tu pesa kwenye ATM na ni eneo la bank utawaona hao kodi mia kidogo.
Wakijibu nitag
 
Huoni impacts au una shida mahala? Kipi huoni kama impacts?

Bajeti ya Serikali inapopangwa huo inaonyesha makusanyo na wapi zitatumika,kwa hiyo ni wajibu wako kufuatilia kama fedha zilitumika kama ilivyokusudiwa..

Kwangu mimi ni sahihi kwa sababu Kwa mujibu wa Bunge, serikali uliganikiwa kutekeleza bajeti yake kwa 95%..
Ndio hayo makusanyo ndo yanaenda kugharamikia ma v8 na kuwalipa mapdeiem ila kwenye miradi sijaona impact yake
 
Hayo ni makusanyo kidogo sana kutokana na kodi walizoanzisha za kuwakamua wa tanzania ambazo ni kandamizi .pamoja na hivyo,kwa nini hatuoni mwendelezo wa miradi mikubwa kama sgr na bwawa la umeme (nyerere).kwa makusanyo hayo angalau yangeonesha matumaini ya hii miradi ya kimikakati.

Sent using Jamii Forums mobile app
Chuki imekuzidi
 
Ni ngumu Sana kufanya maandishi kuonekana hela
 
Ashukuru magufuri alijaribu kutengeneza miundo minu ameikuta nchi iko mahali pazuri aliyepokea toka mzee wa msoga aliikuta bot chungu hakina hela
Malaika wako wa Chato angekuwa na chungu kilichojaa hela angeenda kukopa credit suisse bank na kuiingiza nchi kwenye dhahma za kulipa mideni mikubwa kibiashara? Yule ni muharibifu wa nchi ndio maana alikuwa akitegemea kukwapua pesa za watu na na tax force yake.
 
Hauna taarifa sahihi. Rais Samia hakukuta fedha yeyote. Yake mambwembwe ya TASK FORCE na fedha za Plea bargain kutoka kwa walioitwa "mafusadi" zilikuwa zinawanufaisha Magufuli na watu wake. Miradi yote mikubwa alikuwa anajenga kwa kukopa toka mabenki. ya ndani na nje, huku akiwadanganya wananchi kuwa ni fedha za ndani.

Alichofanya Samia ni ku restructure miradi mikubwa ili imalizike kwa muda wa mbali bila kuleta stress kwenye makusanyo na matumizi. Ndiyo maana tunaona anaweza kuongeza mshahara wa watumishi wa umma na kutoa ajira kwa wahitimu wa vyuo.
This Lady Samia is too smart. Every sector now is moving and contributing to the national economy. The true meaning of balanced development.
 
Back
Top Bottom