TRA yakusanya Trilioni 22 mwaka wa fedha 2021/22, Nauliza tena Nani kama Samia?

TRA yakusanya Trilioni 22 mwaka wa fedha 2021/22, Nauliza tena Nani kama Samia?

Hauna taarifa sahihi. Rais Samia hakukuta fedha yeyote. Yake mambwembwe ya TASK FORCE na fedha za Plea bargain kutoka kwa walioitwa "mafusadi" zilikuwa zinawanufaisha Magufuli na watu wake. Miradi yote mikubwa alikuwa anajenga kwa kukopa toka mabenki. ya ndani na nje, huku akiwadanganya wananchi kuwa ni fedha za ndani.

Alichofanya Samia ni ku restructure miradi mikubwa ili imalizike kwa muda wa mbali bila kuleta stress kwenye makusanyo na matumizi. Ndiyo maana tunaona anaweza kuongeza mshahara wa watumishi wa umma na kutoa ajira kwa wahitimu wa vyuo.
Huyo Samia ana muda gani madarakani mpaka aweze kurekebisha Uchumi ulioharibiwa ndani ya miaka 5 Kama tulivyoambiwa kuwa Magufuli aliua Biashara.
 
Kama tumekusanya mapesa yote hayo, watuambie kwanini miradi ya kimkakati imedoda??

Kwanini bado ikatupasa kukopa ili tujenge vyoo??
 
Ashukuru magufuri alijaribu kutengeneza miundo minu ameikuta nchi iko mahali pazuri aliyepokea toka mzee wa msoga aliikuta bot chungu hakina hela
Magufuri alimaliza hela hakuacha kitu maana hela yote alipeleka Chato.
 
Mfumuko wa bei umeongeza mapato & recovery from covid, tozo...just need a little thiking outside the box
 
Hakuna wa kushindana na Samia mkuu,ameshawaacha midomo wazi..

Mwaka ujao tunataka TRA wakusanye Til.25 yaani til.2 kila mwezi ita make sense na I hope itakuwa hivyo nikiangalia trend ya mwezi Juni.

Kwa makusanyo hayo ni wastani WA Til.1.85 kwa mwezi ambapo ni mbali Sana na kufikia Til.2 kwa mwezi.

Hata hivyo ni mafanikia makubwa kwa Mwaka mmja kutoka wastani WA Til.1.5 hadi Til.1.85 ongezeko la Bil.350 kwa mwezi..
Umesahau Makato ya miamala tangu mwaka uanze
 
Achaneni na haya tuambiwe hizo fedha mchanganuo wa matumizi ukoje.tumedanganywa wanafunzi wa kidato cha tano hawatalipa ada wkt watoto wote wamelipishwa ada na cha ajabu hata watoto wanakosa chakula na vitanda havitoshi halafu mnaleta promo humu as if serikali inafanya vzr sana ndo upuuzi wetu wtz cjui serikali ambayo ilikuwa imelala tena bora huko nyuma tulisoma mpaka elimu za juu.
 
Mbona sioni kazi iliyofanywa na hizo fedha.? Ovyoooo
Hata shule tu zinawashinda kuziendesha halafu mnajisifu Mnakusanya acheni uchawa tunataka breakdown ya hayo makusanyo yametokana na nini?
 
Huyu CHAWA ajengewe haraka sanamu lake la UNAFKI kwenye kiburi la Mwamba JPM kule Chato.

Rais Samia hakukuta fedha yoyote [emoji736] wala si fedha yeyote [emoji777].

Je alitoa wapi pesa za kusafiria kwenda nchi za nnje kutafuta wawekezaji, kulipa mishahara na posho wafanyakazi/aliendeshaje nchi?
Nikipata fursa ya kufika Chato nitakunya juu ya kaburi la Mwendazake, wala sihitaji kuchongewa sanamu. Kwenda nje ya Nchi anaweza hata kwenda kwa fedha zake. Wasukuma mna maindi sana Samia akipanda ndege kwenda nje. Muache apande kwa vile Afya inamruhusu, wa kwenu Magufuli Al mlemavu asingeweza kusafiri huku amewekewa betri kifuani
 
Hauna taarifa sahihi. Rais Samia hakukuta fedha yeyote. Yale mambwembwe ya TASK FORCE na fedha za Plea bargain kutoka kwa walioitwa "mafisadi" zilikuwa zinawanufaisha Magufuli na watu wake. Miradi yote mikubwa alikuwa anajenga kwa kukopa toka mabenki. ya ndani na nje, huku akiwadanganya wananchi kuwa ni fedha za ndani.

Alichofanya Samia ni ku restructure miradi mikubwa ili imalizike kwa muda wa mbali bila kuleta stress kwenye makusanyo na matumizi. Ndiyo maana tunaona anaweza kuongeza mshahara wa watumishi wa umma na kutoa ajira kwa wahitimu wa vyuo.
Mshahara upi aliongeza subiri julai usikie watumishi watakavyolalamika.kwanza watumishi wanadhulumiwa pesa kwa kuletewa kikotoo kinachoenda kuwaibia pesa zao
 
Bajeti ya 2021/22 ilikiwa 37T makusanyo ya kikodi ni 22T na makusanyo yasiyo ya kikodi 2T na kufanya jumla ya makusanyo yote ya Serikali 24T.Hivyo,tuna naksi karibu ya 13T-tujipongeze siku tukiweza kujitwgemea kwa bajeti yetu.
 
Nikipata fursa ya kufika Chato nitakunya juu ya kaburi la Mwendazake, wala sihitaji kuchongewa sanamu. Kwenda nje ya Nchi anaweza hata kwenda kwa fedha zake. Wasukuma mna maindi sana Samia akipanda ndege kwenda nje. Muache apande kwa vile Afya inamruhusu, wa kwenu Magufuli Al mlemavu asingeweza kusafiri huku amewekewa betri kifuani
Usukuma hapa unakujaje watu tunajadili makusanyo?kwani humu wote ni wasukuma?mbona unapenda kuendekeza ukabila changia hoja ukabila peleka kwenu kama unaona ni kitu cha maana sababu naona unataka kutambika
 
Ukweli ni kuwa sasa fedha inapatika mtaani hivyo kuwezesha watu wengi kulipa kodi. Kwa mfano nilipo hapa kata ya Maskati Mvomero, mwaka jana muda kama huu debe la mahindi lilinununuliwa kwa mkulima kwa Tsh 5,000 lakini Leo ni Tsh 10,000, kwa Nini mkulima asiishukiru serikali yake? Wilayani Kyerwa mwaka juzi kg ya kahawa maganda ilininuliwa kwa Tsh 950 Leo ni 1650, hapo pato la mtu mmojammoja limeongezeka na raia watatumia huduma mbalimbali na kupitia Hilo tayari serikali inakusanya Kodi ya kutosha.
Kweli ww hujui lolote kwenye maswala ya uzalishaji na uchumi
50kg ya urea ulipokuwa unauza mahindi debe 5000 ulinunua 48000 mpka 52000
Leo kilo 50kg ya urea inanunuliwa kwa 150000 ssa hapo unashangilia kuuza 10000 ww bure kabisa
 
Huyo Samia ana muda gani madarakani mpaka aweze kurekebisha Uchumi ulioharibiwa ndani ya miaka 5 Kama tulivyoambiwa kuwa Magufuli aliua Biashara.
Bado hajafanikiwa kurekebisha uchumi na ndiyo maana kuna malalamiko ya kupanda kwa bei za bidhaa, ukosefu wa kazi, uagizaji mkubwa wa bidhaa toka nje na mahitaji makubwa ya fedha za kumaliza miradi. LAKINI economic indicators zknaonyesha kuwa amechukua hatua mahususi kujenga uchumi kutoka na sera na mikakati ya kufungua Nchi na uwekezaji. Matokeo yake tutayaona 2023/24
 
Nyerere Dam na SGR vipi kwa huo mpunga! tuanzie hapo!
 
Mshahara upi aliongeza subiri julai usikie watumishi watakavyolalamika.kwanza watumishi wanadhulumiwa pesa kwa kuletewa kikotoo kinachoenda kuwaibia pesa zao
Wasukuma hiyo NEGATIVITY yenu dhidi ya Samia itawaua na vijiba vya roho. Rais kaahidi 23% pay rise kuanzia Julai 1, 2022 ila nyinyi hamuamini na hamtaki. Shauri yenu I Magufuli amezikwa na ROHO yake mbaya hatorudi tena
 
Back
Top Bottom