Kakwambia nani sijatimiza wajbu ktk klipa kodi. Nlitegmea ungenambia ww ni mtoza ushuru tu na sio mpangaji wa bajeti lkn unashabikia kuvunja rekodi ya kukusanya tu! Yaani haijalish kwako kna waTz wanashinda, wanalala njaa, watt wanasoma mbl na watu wanakufa kw magonjwa yanayotibika ...nk. kwako ni mapato kuongzeka tu. Rekodi zinavunjwa lkn umaskini unaongezeka!Bajeti ya 10% ya maendleo ndo tnaipigia kelele, rekodi zavunjwa za maksanyo znaishia kwenye mishahara na maposho yenu (90+%). Hatushangai, huenda furaha yako na pongez zote hizo ww ni mnufaika. Tseme nn tena. Kaz iendlee