Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Hapa dar es salaam hakuna hata kipande cha kilometa moja cha barabara mpya inayojengwa toka samia kuchukua nchi ....kama kipo nitajiwe ni kipiHuoni impacts au una shida mahala? Kipi huoni kama impacts?
Bajeti ya Serikali inapopangwa huo inaonyesha makusanyo na wapi zitatumika,kwa hiyo ni wajibu wako kufuatilia kama fedha zilitumika kama ilivyokusudiwa..
Kwangu mimi ni sahihi kwa sababu Kwa mujibu wa Bunge, serikali uliganikiwa kutekeleza bajeti yake kwa 95%..